Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

CRDB, SUGECO yawawezesha vijana wa Kitanzania kwenda Denmark kujifunza masuala ya Kilimo

$
0
0

 Mkuu wa Uendeshaji wa Biashara Changa Taasisi ya CRDB Bank Foundation, Fadhili Bushagama (kulia), akimkabidhi fedha Robinson Pallangyo muda mfupi kabla ya kupanda ndege kuelekea Denmark kwa ajili ya kwenda kujifunza masuala ya Kilimo. Benki ya CRDB imewezesha vijana Danson Shabani na Robinson Pallangyo kwenda nchini Denmark kujifunza masuala ya kilimo. (Na Mpiga Picha Wetu).




































Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles