Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kibabage atua Twiga na Jangwani

Na John MarwaMlinzi wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Singida Fountain Gate FC Nickson Kibabage ametua mitaa ya Twiga na Jangwani kw kandarasa ya misimu mitatu.Kibabage ametambulishwa usiku mnene...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyie hamuogopi?! Alassane Diao atua na mabao Chamazi

Na John Marwa Shambuliaji la kutosha linalo pachika mabao ya kila aina anetambulishwa kujiunga na Azam FC ikiwa ni muendelezo wa kuimarisha kikosi kuelekea msimu ujao wa 2023/24Azam imemtanbulisha Diao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

*TBS waleta majibu bati zilizokataliwa na Madiwani*

Na Mashaka Mhando TangaCHAMA Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Tanga, kimemaliza mgogoro wa madiwani wa halmashauri ya mji wa Handeni, kukataa bati zilizoletwa kwa ajili ya kuezeka katika shule zao wakidai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo waanza kukopesha simu janja za Samsung

Na Tatu Mohamed, Dar es SalaamMENEJA wa Vifaa vya Intaneti kutoka Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo, Imelda Edward, amesema wameamua kuanza kuwakopesha watanzania simu janja aina ya Samsung baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Malawi Rais wa Malawi Dk....

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Malawi Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wakikagua Timu za Nyasa Big Bullets pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hospitali ya Taifa Muhimbili yapongezwa

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga & Mloganzila kwa huduma nzuri wanazotoa kwa jamii na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

APRM ; SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAJITAHIDI KUTATUA KERO ZA WANANCHI

 Na Magrethy KatenguKatibu Mtendaji APRM Tanzania  Mpango wa hiari wa nchi za umoja wa Afrika kujipima kwa vigezo vya Utawala bora Lamau Mpolo amesema  Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MPANGO AIPONGEZA TANZANIA COMMERCIAL BANK

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Muyama mara baada ya gafla ya kupokea vyumba vitatu vya...

View Article


SERIKALI INATAKA WANANCHI WAPATE HUDUMA HUKO WALIKO - MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inataka kuona wananchi wakipatiwa huduma za afya huko waliko bila kulazimika kuzifuata mbali. “Tumejenga vituo vya afya, hospitali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC TALACK AMEZINDUA MAONYESHO YA MADINI NA UWEKEZAJI LINDI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi  Zainab Telack  amezindua rasmi Maonesho ya Madini na Uwekezaji.Waziri Gao ni mmoja ya wachimbaji wa madini katika wilaya ya Nachingwea mkoani LindiNa Fredy Mgunda,Iringa.Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watakwimu wa Skuli za Msingi wapata mafunzo ya kuwajengea uwezo

 Mkurugenzi Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima Zanzibar,Bi.Mashavu Ahmada Fakih,akizungumza wakati akifungua Mafunzo ya kuwajengea uwezo Walimu na Watakwimu wa Skuli za Msingi Wilaya za Mjini,Kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA KUANDAA MASHINDANO YA UANDISHI WA INSHA KWA...

Katibu Mtendaji wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) , Bw. Griffin Mwakapeje    akizungumza wakati wa Kikao cha Menejimenti ya Taasisi hiyo kilichofanyika leo Julai 6, 2023  katika ukumbi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA ATEMBELEA BANDA LA UTT KWENYE MAONYESHO YA...

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Jenifa Omolo (kushoto), akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU MZUMBE: WATANZANIA NJOONI SABASABA

Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Williamu Mwegoha (kushoto) akipata maelezo kuhusu kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo hicho alipotembelea banda hilo katika Maonyesho ya 47 ya Biashara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Promosheni ya NMB Bonge la Mpango, washindi wakabidhiwa zawadi zao

 Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Temeke, Kidawa Masoud (wa pili kulia) akimkabidhi zawadi ya Runinga mfanyabiashara wa Kariakoo, Jackson Mbilinyi, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muarobaini wakudhibiti tembo vamizi waja

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa amezindua programu  maalum ya ujenzi wa vituo maalum 16 kwa ajili ya kuthibiti wanyama waharibifu  akiwemo tembo katika maeneo...

View Article

Shaka: Rais Samia kioo cha uongozi Afrika

*Asema anayoyafanya anatafsiri kwa vitendo njia za wapigania ukombozi Afrika.*Ataka wananchi, viongozi wa majukwaa mbalimbali na mashirika yamuunge mkonoNa Mwandishi  Wetu, Kilosa MorogoroMJUMBE wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCRA yasisitiza usalama huduma za mawasiliano

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesisitiza umuhimu wa tahadhari na uangalifu katika matumizi ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi. Msisitizo huo umetolewa na Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIRA yajipanga kufikia asilimia 50 ya Watanzania

Mwananchi akizungumza na ofisa wa TIRA kwenye banda la taasisi hiyo ndani ya viwanja vya Sabasaba.Na Selemani MsuyaMAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), imejipanga kutumia miongozo waliotoa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONYANGO ATUA SINGIDA FOUNTAIN GATE FC

Na John MarwaKlabu ya Singida Fountain Gate imekamilisha usajili wa beki Joash Onyango raia wa Kenya kutoka klabu ya Simba SC.Onyango mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>