Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

ONYANGO ATUA SINGIDA FOUNTAIN GATE FC

$
0
0

Na John Marwa

Klabu ya Singida Fountain Gate imekamilisha usajili wa beki Joash Onyango raia wa Kenya kutoka klabu ya Simba SC.

Onyango mwenye umri wa miaka 30 amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Singida Fountain Gate FC.

Onyango anaungana na Pascal Wawa na kuiongoza klabu hiyo katika michezo ya Ligi Kuu Soka Tanzania Bara NBC PL, Azam Sports Federation Cup na Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAF CC.




Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>