Benki ya CRDB yawakaribisha wananchi kupata huduma katika Maonesho ya Sabasaba
Afisa wa Benki ya CRDB kutoka Tawi la Temeke, Edna Ecomay, akiwa tayari kuwahudumia wateja katika Tawi la benki hiyo lililopo katika viwanja vya Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba).Afisa...
View ArticleROBERT MUNISI APITA KWA KISHINDO UCHAGUZI KIBAFA
Na Khadija Kalili, PWANI ROBERT Munisi kwa mara ingine tena ameibuka na ushindi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani katika uchaguzi uliofanyika leo Julai 2...
View ArticleDk Mpango mgeni rasmi tamasha la washairi
Na Mwandishi WetuMAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufungaji wa tamasha la ushairi lililoandaliwa na Taasisi ya Usanifu wa Kiswahili na Ushairi Tanzania (UKUTA) kwa...
View ArticleTSB yawafunda WAWATA kuhusu kilimo, fursa na masoko ya mkonge
Na Mwandishi Wetu, TangaBODI ya Mkonge Tanzania (TSB), imetoa elimu ya kilimo cha zao la Mkonge, masoko na fursa zitokanazo na zao hilo kwa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), katika Semina ya...
View ArticleWA SENEGAL WATUA AZAM KUONGEZA NGUVU
Na John Richard MarwaKlabu ya Azam imemtambulisha makocha wawili raia wa Senegal ikiwa ni kuendelea kulijenga benchi la ufundi la Kocha Mkuu Youssouph Dabo.Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Azam FC...
View ArticleDkt. Mpango afungua Tawi la 229 la NMB Buhigwe
NA MWANDISHI WETU, KIGOMAMTANDAO wa Matawi ya Benki ya NMB nchini umezidi kutanuka, baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango kuzindua Tawi la 229 la NMB Buhigwe, alilosema linaenda...
View ArticleWAZIRI MKUU AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MADAS
*Awataka wazingatie miiko na maadili ya viongozi wa umma, WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Makatibu Tawala wa Wilaya zote Tanzania Bara watekeleze majukumu yao kwa kuzingatia utawala bora, miiko...
View ArticleSerikali kujenga Bwawa la Yongoma
Na Mwandishi Wetu, SameSERIKALI imesema kupitia Bajeti ya mwaka 2023/2024, imepanga kufanya upembuzi yakinifu, usanifu wa kina kwa ajili ujenzi wa Bwawa la Yongoma lililopo wilayani Same mkoani...
View ArticleSerikali kuja na mpango wa kuongoa shoroba
Na Selemani MsuyaKAMATI ya Kitaifa ya Kuongoa Shoroba (NWCRC) imesema Serikali ipo katika mchakato wa kuandaa mpango makakati wa kuongoa shoroba 61 zilizopo, huku kipaumbele kikiwa ni kuanza na shoroba...
View ArticleKampuni 5000 zashiriki sabasaba
Na Selemani MsuyaKAMPUNI 5666 za ndani na nje ya nchi zimeshiriki kwenye Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba yanayofanyika katika Viwanja vya Julius...
View ArticleKatibu Mkuu Wizara ya Nishati atembelea Banda la TANESCO katika Maonesho ya...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba ametembelea Banda la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), mara baada ya kushiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya...
View ArticleWananchi wajitokeza Banda kwenye Maonesho ya Sabasaba
Wananchi wakipata taarifa za huduma zinazotolewa na Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ikiwemo uhakiki wa Anwani za Makazi katika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...
View ArticleONANA KAMA MLIVYOSIKIA
Na John MarwaKlabu ya Simba imemtanbulisha kiungo mshambuliaji rai wa Cameroon Willy Essomba Onana kuwa sehemu ya kikosi chao kuanzia msimu ujao.Onana amefungua dirisha la usajili kwa wekundu wa...
View ArticlePromosheni ya ‘Bonge la Mpango’ ya Benki ya NMB yafikitia tamati, Wateja...
Mkuu wa Idara ya Mtandao wa Matawi wa Benki ya NMB, Donatus Richard (katikata), akionesha sehemua ya zawadi zitakazotolewa kwa washindi wa Droo ya mwisho ya Bonge la Mpango – Moto Uleule iliyofanyika...
View ArticleMradi wa LNG kuzingatia maeneo mitano muhimu
Mkurugenzi Mkuu wa PURA, Mhandisi Charles Sangweni akiangalia kifaa ambacho kinaonesha namna Mradi wa LNG utakavyokuwa.Mkuu wa Kitengo cha Ushirikishwaji wa Wazawa na Uhusishwaji wa Wadau wa PURA...
View ArticleELIMISHENI WANAWAKE JUU YA FURSA ZA MIKOPO YA HALMASHAURI; MHE. MASANJA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja amewataka wana Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoani Mwanza kuelimisha wanawake na vijana...
View ArticleWANACCM WATAKIWA KUJITOKEZA KUMLAKI MWENYEKITI UWT TAIFA MARY CHATANDA...
NA STEPHANO MANGO, SONGEA MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Pius Chatanda anatarajia kufanya ziara ya kikazi Julai 7 mwaka huu katika kata za Halmashauri ya Wilaya ya...
View ArticleMkuu wa Wilaya Handeni aagiza Bati zilizonunuliwa kuchukuliwa sampuli...
Na Mwandishi Wetu, HandeniMKUU wa Wilaya ya Handeni, wakili Albert Msando, ameagiza kuchukuliwa sampuli za bati kwa ajili ya kupimwa na Shirika la Viwango nchini (TBS) ili kuthibitisha ubora baada ya...
View ArticleMSAADA WA KISHERIA WATOLEWA BURE BANDA L A CHUO KIKUU MZUMBE SABASABA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Cha Uhasibu Tanzania, Prof. William Pallangyo, akipata maelezo kutoka kwaMkurugenzi wa Kimataifaji na Baraza la Wahitimu Chuo Kikuu Mzumbe, Dk. Lucy Massoi, kuhusu...
View ArticleRais Samia Suluhu Hassan Atembelea Bunge la Malawi, aweka Shada la Maua...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Bunge la Malawi zilizopo Jijini Lilongwe tarehe 6 Julai, 2023. Kulia...
View Article