Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YAZINDUA KITUO CHA UMEME KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

WAZIRI wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Umeme cha Kisutu Jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ulaya na Biashara ya Nje, Dk...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA KIWKETE AWASILI ADDIS ABABA, ETHIOPIA, KUHUDHURIA MAADHIMISHO YA...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na maafisa wa ubalozi pamoja na wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais amtembelea Sheha Aliyetiwa Tindi kali

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuangalia Sheha wa Shehia  ya Tomondo Wilaya ya Magharibi Unguja,Mohamed Saidi Kidevu,(kulia) jinsi alivyoathirika na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mungu angemteua Nkamia kugawa Haki, Wandishi wangepata?

 Na Bryceson Mathias NAJIULIZA; Kama Mungu angemteua Mbunge wa Jimbo la Kondoa Kusini Juma Nkamia (CCM) kugawa Baraka na Haki kwa Viumbe, Wandishi, Wahariri, na Klabu mbalimbali za waandishi wa habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

30 TWIGA STARS WAITWA KAMBINI

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya wanawake ya mpira wa miguu (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amewaita kambini wachezaji 30 ikiwa ni mwendelezo wa kuijenga na kuiimarisha timu hiyo.Twiga Stars itakuwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA SIKU YA AFRIKA KATIKA PICHA

Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) nchini Tanzania, Tonia Kandiero (kulia) akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim ya Tanzania Anthony Grant (Kushoto) wakati wa hafla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FC BAYERN MUNICH MABINGWA WA ULAYA 2012/13

 Nahodha wa FC Bayern Munich ya Ujerumani, Phillip Lahm akiwa ameshikilia taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya, walilolitwaa jana usiku baada ya kuichapa Borussia Dortmund pia ya Ujerumani kwa mabao 2-1...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS KWENDA ADDIS ABABA LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuondoka leo (Mei 26 mwaka huu) usiku kwenda Addis Ababa, Ethiopia ambapo itaweka kambi na kucheza mechi moja ya kirafiki kabla ya kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAHIRI WA SHINDANO LA BIBI BOMBA WAFANYIKA LEO KWENYE VIWANJA VYA LEADERS...

Mshiriki wa shindano la Bibi Bomba, Bi. Veronica Kayombo (katikati) akionesha umahiri wa kuimba nyimbo wakati wa mchujo wa kuwatafuta washiriki 10 watakaoingia katika nyumba kwa ajili ya shindano hilo...

View Article


MCHUJO WA KUMTAFUTA BIBI BOMBA WAFANYIKA JIJINI DAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MARAIS WASTAAFU, AHUDHURIA KIKAIO CHA AMANI DRC CONGO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim kuhusiana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA ESG YAONESHA NIA YA KUWEKEZA TANZANIA

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Uwekezaji ya Afrika Kusini (ESG), imetenga dola milioni 600 kwa ajili ya kuwekeza nchini katika ujenzi wa miradi mikubwa ya barabara, Bandari, reli pamoja na kuongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Soko la Mangula Makambako lawa maarufu kwa kuuza mboga za majani

Mama Joshua akipanga vizuri mboga za majani aina ya figili tayari kwa kusubiri wateja,leo katika soko la Mangula,Makambako. Picha na Adam H. Mzee

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WAKABIDHI PICHA YA KUCHORA YA RAIS JAKAYA KIKWETE

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam akipokea picha ya Rais Jakaya Kikwete iliyochorwa na wasanii wa Kikundi cha Manuari Dar es Salaam kwenye tamasha na mastaa chipukizi lililofanyika juzi Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA: CCM IMEDHAMIRIA KUZOA KATA ZOTE 25

 NA BASHIR NKOROMO, IRINGACHAMA Cha Mapindizi (CCM) kimesema kimedhamiria kushinda kwenye kata zote 25 katika uchaguzi mdogo wa madiwani ambao kampeni zake zinaendelea katika kata mbalimbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASEMAVYO WANANCHI DHIDI YA KEJELI ZA NKAMIA KWA MCT, TEF NA WAANDISHI

Juma Nkamia, Mbunge wa Kondoa KusiniNa Byceson MathiasMei 25, mwaka huu, niliandika makala iliyobeba mahudhuhi ya swali kuwa; kama Mungu angemteua Mbunge wa Jimbo la Kondoa Kusini, Juma Nkamia (CCM)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOROGWE VIJIJINI WAPEWA SEMINA YA KILIMO CHA ALIZETI

 BAADHI ya Wajumbe wa  Baraza Kuu la Wanawake (UWT) wilaya ya Korogwe Vijijini wakiwa kwenye semina ya ujasiriamali wa kilimo cha alizeti iliyoandaliwa na Mjumbe wa  Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCLAYS YATANGAZA WADHAMINI WA MATEMBEZI YA HISANI YA 'STEP AHEAD'

Meneja wa Mawasiliano na Huduma za Jamii wa Benki ya Barclays, Tunu Kavishe (kushoto) akizungumza na waandishi wakati wa kutangaza wadhamini wa Matembezi ya Hisani ya ‘Step Ahead’ ambayo yamelenga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA: MNAOJIPITISHA URAIS KABLA YA WAKATI TUSILAUMIANE

NA BASHIIR NKOROMO, IRINGAKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amesisitiza kwamba Chama kitamwadhibu bila huruma mwanachama yeyote anayejipitisha-pitisha katika maeneo mbalimbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA WA OFISA WA BUNGE, ERNEST ZULU

 Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilila (kushoto) akimpa pole Theresia Mlekani ambaye ni mke wa Ofisa Habari Mwandamizi wa Bunge, Ernest Zulu wakati alipokwenda kuwapa pole wafiwa nyumbani kwao Ubungo...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>