Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AJIPANGA KUMTAMBULISHA 'KIJANA WA LEO'

Na Elizabeth JohnNYOTA wa muziki wa bongo fleva nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ anatarajia kuachia kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Kijana wa Leo’.Akizungumza jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YONDANI: NILIDHAMILIA KUPELEKA UBINGWA YANGA

Na Elizabeth JohnBEKI Kisiki wa Mabingwa wapya wa Soka Tanzania Bara, Yanga, Kelvin Yondan, amefunguka kuwa uamuzi wake wa kuihama Simba msimu uliopita, ulidhamilia kuhamisha ubingwa kuupeleka mitaa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU ZAENDELEA MTWARA, MMOJA ADHIBITISHWA KUFARIKI KATIKA VURUGU HIZO

 Gari la wagonjwa la Manispaa ya Masasi likiteketea kwa moto baada ya kutokea vurugu leo. Barabara ikiwa imefungwa kwa kuweke magogo na mawe. Mkazi wa Mtwara akinawa uso baada ya kupigwa mabomu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA JWTZ KUPITIA AKAUNTI YAKE YA TANZANITE

Brigedia Jenerali wa JWTZ, Paul Peter Massao akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei Makao Makuu ya Jeshi hilo.MazungumzoLuteni Jenerali, Paul Mella akizungumza wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule za Kata zajiendesha kwa Fedha za Walimu Wakuu

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Rombo, Judethadeus Mboya.Mkuu Msaidizi wa Sekondari ya Nduweni, Venance MrambaNa Thehabari.com, RomboCHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), Wilaya ya Rombo kimesema shule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAY DEE AFYATUA ALBAMU YA SITA

Na Elizabeth JohnMSANII nyota wa kike katika muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amesema yu katika hatua za mwisho za kukamilisha albamu yake ya sita.Akizungumza wakati...

View Article

VIDEO YA RAIS KIKWETE ALIPOZUNGUMZIA VURUGU ZA MTWARA JANA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'Darasa’ ajipanga kulikabili soko la muziki kivingine

Na Elizabeth JohnMSANII nyota wa miondoko ya hip hop, Sharifu Thabiti ‘Darasa’ amepanga kuwa na utaratibu rasmi wa kuuza albamu yake ya kwanza ambayo iko katika hatua za mwisho kukamilika.Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘One Time’ ya Rich Mavoko kideoni

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba  vizuri na kibao chake cha ‘One Time’, Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ ameachia video ya kazi hiyo ambayo imeanza kufanya vizuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afande Sele kuachia albamu ya ‘Amani na Upendo’

Na Elizabeth John MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini ambaye anauwakilisha mkoa wa Morogoro, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ ameachia albamu yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Amani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chilly Willy, Dodoma Wine, CXC Africa kudhamini Redds Miss Sinza 2013

Na Mwandishi WetuWAKATI jumla ya warembo 13 wamejitokeza kuwania taji la Redds Mid Sinza 2013 iliyopangwa kufanyika Juni 7, kwenye ukumbi wa Meeda Club, kampuni ya Tanzania Distillers Limited (TDL),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flaviata Matata atoa wito kwa serikali kuhusu ajali ya MV Bukoba

Na Mwandishi WetuMWANAMITINDO wa kimataifa wa Tanzania, Flaviana Matata ameiomba serikali kutangaza Mei 21 ya kila mwaka kuwa siku maalum ya maombolezo ya wasiku maalum ya maombolezo  ya wahanga wa MV...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

H BABA AHIMIZA 'KUFUNGA ZIPU'

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa bongo fleva nchini, Hamis Ramadhan ‘H Baba’ ameachia kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Funga zipu’ na imeanza kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BFT YAOMBA WADHAMINI

Na Elizabeth JohnKOCHA wa timu ya taifa ya ngumi, Remmy Ngabo, ameitaka serikali na wadau wa ngumi nchini, kujitolea kudhamini kambi ya mabondia 16 ambao wanajiandaa na mashindano ya Majiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wabunge wasiwe watoro majimboni Mwao!

Na Bryceson Mathias KATIKA hali isiyo ya kawaida nchini, baadhi ya wabunge wameyatelekeza majimbo yao kwa kutorudi kusikiliza kero za wananchi na kutimiza ahadi zao. Imefikia baadhi ya wanasiasa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE YUPO BERLIN, UJERUMANI

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye (katikati) akikaribishwa na baadhi ya viongozi wa chama cha SPD mjini Berlin, Ujerumani alipowasili jana kuhudhuria sherehe za miaka 150 ya kuzaliwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATHIBITISHIA UMMA KWAMBA PSPF IKO IMARA NA HAITAKUFA

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Ndugu. Adam H. Mayingu  tuzo ya kuwa Mfuko wa kwanza wa Hifadhi ya Jamii Tanzania kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TMK Wanaume Halisi waibuka na ‘Fitina’

Na Eliabeth JohnKUNDI la Muziki la wanaume Halisi ‘TMK Wanaume Halisi’ linajipanga kutambulisha ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la ‘Fitina’ hivi karibuniAkizungumza jijini Dar es Salaam, mmoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diaomond, Ney wa Mitego ndani ya Maisha Club J'pili

WASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ney wa Mitego na Diamond Platinum wanatarajia kuendelelea kuzindua video ya wimbo wao wa 'Muziki gani' katika ukumbi wa Maisha Club, Jumapili.Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAB, TRANSAFRICA ZAZINDUA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA

 Meneja wa DAB barani Afrika, Carlo Fuccella, akifunua pazia maalum kama ishara ya uzinduzi wa ushirikiano wa kibiashara na Kampuni ya TransAfrica Water uliofanyika juzi jijini Dar es Salaam. DAB...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live