Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AVUTIWA NA NGUO ZINAZOTENGENEZWA NA KAMPUNI YA BINTI AFRICA...

Rais Jakaya Kikwete akichagua mashati yaliyomvutia kwa ubora yanayotengenezwa na Kampuni ya Binti Africa Unique Colorful Quality ya Jijini Dar es Salaam akiongozwa na Ofisa Mtendaji Mkuu na Meneja mwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA NEMBO MPYA YA AMREF HEALTH AFRICA...

Mkurugenzi wa Amref Health Africa Tanzania Dr. Festus Ilako (wa kwanza Kushoto) Akimkaribisha Waziri wa Afya Dr. Seleman Seif Rashid kuzindua Nembo Mpya.Waziri wa Afya, Mwenyekiti wa bodi ya kimataifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEOMbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishiriki  kubeba  nguzo.Mbunge wa jimbo la  Ludewa  Deo...

View Article

KIINGILIO MECHI YA TAIFA STARS, MSUMBIJI 7,000

Kiingilio cha chini cha mechi kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Msumbiji (Mambas) itakayochezwa Julai 20 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kitakuwa sh. 7,000.Tiketi zinapatikana kwa mfumo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH. ANGELA KAIRUKI AFUNGA MAFUNZO YA WAAMUZI WA MCHEZO WA RIADHA DAR

 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki akizungumza wakati wa kufunga kozi ya waamuzi wa mchezo wa Riaadha.(Picha na John Dande) Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU KUANZA SEPTEMBA 20

Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na michezo Mh. Said Ally Mbaruk akimkabidhi vifaa vya michezo kwa meneja wa timu ya Mafunzo Inspecta Hamis Ally. (Na Mpiga Picha Wetu)  Michuano ya Ligi Kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA VIWANJA VYA SABA SABA‏ JIJINI DAR.

Mmoja wa wateja wa Fastjet akipata maelezo ya huduma ya kununua Tikieti ya Ndege kupitia Mtandao wa simu.  Lucy Mbogoro, Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet akitoa maelezo katika banda la Fastjet...

View Article

Wakulima Momba waipa changamoto Serikali

Na Keneth Ngelesi, MOMBAWAKULIMA wa Mahindi katika kijiji cha Isanga kata ya Nkangamo wilayani Momba Mkoani Mbeya wameiomba serikali kuweka  utaratibu kupanga bei elekezi ya pembejeo za kilimo ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA...

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimlaki Mgombea Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi cha FRELIMO, Filipe Nyusi alipowasili leo jioni Julai 9, 2014, kwenye Uwanja wa Ndege wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ziarani Lushoto na Bumbuli

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi walihiudhuria mkutano wa Hadhara huko Bumbuli Wilayani Lushoto.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Wabunge wa Lushoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR Dk. SHEIN ZIARANI PEMBA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mshauri wa Rais Uwekezaji Bw.Abrahman Mwinyi Jumbe (kushoto) akipotembelea shamba la ufugaji wa samaki la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA ARDHI MH. SIMBACHAWENE ALIPOTEMBELEA BANDA LA NSSF MAONYESHO...

Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mh. George Simbachawene akipata ufafanuzi kuhusu mradi wa Dege Eco village kutoka kwa Mhandisi Julius Nyamuhokya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI LINAUZWA

 MAKER: FORDMODEL: FORD EXPEDITION V8YoM: 2000CC: 5400COLOR: SILVERMAWASILIANO: 0713327106/0756673327

View Article


Ghana FC yatota kwa yachapwa 4-2 na Terminal FC

                 Na Keneth Ngelesi, MBEYA TIMU  ya soka na kituo kikuu cha mabasi Mkoani Mbeya Terminal FC juzi ilifanikiwa kuondoka ka kitita cha shilingi 100,000/ baada ya kuibugiza bila hurumu timu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOPO LA WAHARIRI LATEMBELEA MIRADI YA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU WA NHC MTANDA,...

Jopo la Jukwaa la Wahariri takriban 85 wametembelea miradi miwili, mmoja wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda mkoani Lindi na mwingine wa nyumba za makazi za kati na juu zilizopo eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII MWAJUMA JIMAMA AFUNGA NDOA NA MELELA MUSSA

Msanii wa filamu Mwajuma Thabiti 'Mwajuma Jimama' akiwa katika pozi na mume wake Melela Mussa baada ya kufunga ndoa hivi karibuni Ilala bungoni na kufuatia na sherehe kubwa bwana harusi ni...

View Article

KIINGILIO MECHI YA SERENGETI BOYS 2,000/-

Mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Afrika Kusini (Amajimbos) itachezwa kwa kiingilio cha sh....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA WAWAUNGISHA WAUZA SAMAKI PANGANI

 Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakinunua samaki katika kibanda huko Bweni Wilaya ya Pangani juzi wakati Rais alipokwenda kuzindua mradi wa maji na kuweka jiwe la msingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MH: NAMELOK SOKOINE ATIMIZA AHADI YAKE KWA KIKUNDI CHA VIKOBA- ARUSHA

Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Arusha, Namelok Sokoine (kushoto), akikabidhi Shs. milioni 5 kwa Mwenyekiti wa Vikoba Kata ya Engutoto, Bilhuda Kisasa,  ikiwa ni sehemu ya mchango wake wa shs....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU...

Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya Vyombo vya ndani na Tende mzee Said Khamis Mnyika wa kijiji cha Changarikwa kata ya Mbwewe kama...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>