Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA ALLY SYKES JIJINI DAR

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mjane wa marehemu Ally Sykes, Zainab Ally, wakati alipofika kuhani msiba huo wa mwasisi wa TANU, aliyefariki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HADIJA SAID AIBUKA MSHINDI WA TAJI LA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 KITAIFA

Msiss Utalii Tanzania 20012/13 Hadija Said (katikati) akiwa kapika picha ya pamoja na Lucy Noel (kushoto) na mshindi tatu Theresia Kilomo  Washindi wa tano bora wakiwa katika picha ya pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sera ya Gesi: Maoni ya Awali #RasimuyaGesiAsilia #TanzaniaNaturalGasPolicy

Jana wabunge tumegawiwa rasimu ya Sera ya Gesi Asilia. Leo Wizara ya Nishati na Madini itaendesha semina kwa wabunge kuhusu sera hiyo.Draft 3- The Natural Gas Policy of Tanzania -2013(Rasimu ya Sera ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAWAONYA WANAOJIPITISHA KUOMBA KUCHAGULIWA KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewaonya na kuwapiga marufuku, makada na wanachama wake wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao, kutothubutu kuanza kujipitipitisha kwa wapiga kura...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA 14 WA BARAZA LA USIMAMIZI WA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano wa 14 wa baraza la usimamizi wa Mawasiliano Afrika, uliofunguliwa leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI KUJIWINDA NA WAMOROCCO

Kikosi cha Taifa StarsDAR ES SALAAM, TanzaniaWakati huo huo; Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), limemteua mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania, Leslie Liunda, kuwa mtathimini wa waamuzi (referee assessor)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF WAJIWEKA KANDO SAKATA LA USAJILI WA NGASA YANGA

Mwenyekiti wa Yanga Lawrance Mwalusako, akimtambulisha mshambuliaji Mrisho Ngassa jana katika Makao Makuu ya klbu hiyo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani Dar es Salaam.DAR ES SALAAM,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FLAVIANA MATATA ASHIRIKI MISA YA AJALI YA MV BUKOBA

 Flaviana Matata akiwa Baba ake mzazi katika Misa ya  maombelezo  Ajali ya MV Bukoba ambapo Flaviana alimpoteza Mama yake mzazi, Igoma,Mwanza Flaviana Matata akiwasha mshumaa ikiwa ni ishara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AONGOZA KIKAO CHA CC LEO, DOM

 1. Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe, wakati wa Kikao Cha Kamati Kuu (CC) ya CCM, kilichofanyika leo May 21, 2013, kwenye ukumbi wa Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWENYEKITI MSTAAFU WA KAMATI TENDAJI YA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Bunge la China, Lu Youngxiang (wa pili kushoto) aliyeongozana na ujumbe wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM ibadilike; Ikinipuuza, Italia na kusaga Meno 2015

Na Bryceson MathiasCHAMA cha Mapinduzi (CCM) kinahitajika kibadilike, hasa wakati huu ambao wananchi wana uelewa mpana kuhusu Haki zao, na akama hakitafanya hivyo, amini usiamini kwa mtaji wa Kero...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONI NA MAPENDEKEZO YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) JUU YA...

1.0. UTANGULIZISheria ya Mabadiliko ya Katiba Sura ya 83 (kifungu cha 18 (3)) imetoa wajibu kwa tume wa kuunda Mabaraza ya Katiba kwa ajili ya kupitia na kutoa maoni juu ya Rasimu ya Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YATOA TAMKO KIKAO CHA WABUNGE WAKE

Mei 19, 2013 Chama Cha Mapinduzi kilifanya kikao cha siku moja na wabunge wanaotokana na CCM, kikao hicho kilifanyika mjini Dodoma ambapo pamoja na viongozi wengine wa juu wa CCM kikao hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAMUZI WA AFRIKA KUSINI KUICHEZESHA STARS

MOROCCO Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limemteua mwamuzi kutoka Afrika Kusini kuchezesha mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika kati ya Tanzania (Taifa Stars) na wenyeji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS; SERIKALI IKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WASOMI

Na Mwandishi WetuMAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharibu Bilal amesema Serikali iko tayari kushirikiana na Wasomi nchini katika tafiti mbailimbali wanazofanya ili ziweze kuliletea Taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI SPECIAL

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YOUNG KILLER AIPONGEZA SERIKALI

Na Elizabeth JohnMKALI wa  muziki wa kizazi kipya nchini, Young Killer ameipongeza serikali kwa kuamua kurudia kutoa upya matokea ya kidato cha nne ya mwaka jana.Akizungumza jijini Dae es Salaam, Young...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMA MNAZARETI AHOJI 'TUPO WANGAPI'

Na Elizabeth JohnNYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Suma Mnazareti amesema anatarajia kuachia kibao chake kipya hivi karibuni kinachokwenda kwa jina la ‘Tupo wangapi’.Akizungumza jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MR. BLUE AIBUKA NA 'NIPENDE'

Na Elizabeth JohnMKALI wa muziki wa kizazi kipya, Heri Samil ‘Mr Bluu’ anatarajia kuachia kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Nipende’.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mr Bluu...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live