Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAZINDUA KADI MPYA YA TEMBO CARD CHINA UNIONPAY

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei wakati wa hafla ya uzinduzi wa kadi mpya ya Tembo Card China UnionPay. Mkurugenzi wa Masoko Utafiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANGAZO LA MSIBA WA VICKY KITOSI (DOTTO)

FAMILIA ya Mzee Augustino Mgonja wa Pugu Kajiungeni Dar es Salaam na Familia ya Marehemu Bwana na Bibi Henry Kitosi (Mwakitosi) wa Iringa zinasikitika kutangaza kifo cha Mtoto wao, VICTORIA KITOSI...

View Article


WANANCHI na Wakulima wapigwa mabomu wakipinga Wafugaji kulisha mazao yao

Na Bryceson Mathias, MvomeroMAANDAMANO ya amani ya Wananchi na Wakulima kwenda Kituo cha Polisi Turiani katika Halmashauri ya Manispaa ya Mvomero Morogoro wakipinga wafugaji kulisha eka tatu za mahindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WASHIRIKIANA KUTOKOMEZA 'ZERO' MASHULENI

Na Elizabeth JohnWASANII wa muziki wa hip hop na bongo fleva nchini, wakutana na kutengeneza wimbo maalumu unaokwenda kwa jina la ‘Tokomeza zero’ kwa lengo la kuhamasisha wanafunzi mashuleni kupenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'DOGO' WA SIR NATURE ASIKIKA REDIONI

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba na kazi yake inayojulikana kwa jina la ‘Haipotei’, msanii wa muziki wa bongo fleva, Juma Kassim ‘ Sir Juma Nature’, anatarajiwa kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCELONA YABANWA UGENINI SPANISH SUPER CUP 2013, MESSI AUMIA HUKU NEYMAR...

Mshambuliaji Lionel Messi akitafakari mchezo ulivyokuwa ukienda wakati Barcelona ilipokuwa ikiumana na Atletico de Madrid na kutoka sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Vicente Calderon kuwania ubingwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TID MNYAMA AISAMBAZA 'RAHA'

Na Elizabeth JohnBAADA ya kutamba na kibao cha ‘Kiuno’ msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khalid Mohamed ‘TID’ anatarajiwa kusambaza kibao chake kipya hivi karibuni kinachokwenda kwa jina la...

View Article

KAMANDA GURUMO ATUNDIKA MAIKI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 15

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Moto waunguza mitambo ya Songas Dar

  Askari wa Kikosi cha zimamoto na Uokoaji wakizima moto uliokuwa unawaka katika mitambo ya kuzalisha umeme ya songas, Ubungo jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Francis Dande) DAR ES SALAAM,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU YA CCM KUKUTANA KESHO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo.         Na Mwandishi Wetu                   Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA CHADEMA BEYA

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa jiji la Mbeya, katika mkutano wa hadahara wa Mabaraza ya Wazi ya kujadili rasimu ya katiba,...

View Article

RAIS KIKWETE NA MAMA SALAMA KIKWETE WALIVYOPOKEWA KWA SHANGWE HARARE, ZIMBABWE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: SWAHILI RADIO YAZINDUA APP YA ANDROID PHONES, IPHONE,...

Swahili Radio baada ya kupokea maombi mengi ya wasikilizaji wetu kutoka sehemu mbalimbali duniani, tunapenda kuwatangazia kuwa Radio yetu kwa sasa inapatikana bila mkwaruzo katika simu za viganjani za...

View Article

Ubovu wa Katiba iliyopo!

Na Bryceson Mathias ‘Chuma hakiunganishwi na udongo’, Kikiunganishwa huachia. WANANCHI wengi na Wanasiasa, wamekuwa wakishutumu sera mbovu zilizopo za ‘kuwabeba’ wageni (wawekezaji), kutokana na...

View Article


DC Mvomero amjia juu OCD kwa kupuuza Maagiyo ya Serikali

Na Bryceson Mathias, MvomeroMKUU wa Wilaya ya Mvomero na Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama, Antony Mtaka, akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama, Agosti 19, alimjia Juu Kamanda wa Polisi (OCD) wa Wilaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS ROBERT MUGABE ALA KIAPO

 Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akila kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013  Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC Mvomero amjia juu OCD kwa kupuuza Maagizo ya Serikali

Na Bryceson Mathias, MvomeroMKUU wa Wilaya ya Mvomero na Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama, Antony Mtaka (pichani), akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama, Agosti 19, alimjia Juu Kamanda wa Polisi (OCD) wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ KUTOA TAARIFA ZA KUTOROKA KWA LUTENI KANALI SEROMBA

         JWTZ litatoa taarifa kuhusu kutoroka kwa Luteni Kanali Coelestine Seromba.  Kwa mujibu wa taarifa kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo, taarifa hizo zotatolewa Agosti 24.Imetolewa na:Kurugenzi ya...

View Article

VPL KUANZA KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2013/2014 inaanza kutimua vumbi kesho (Agosti 24 mwaka huu) katika viwanja saba tofauti huku mabingwa watetezi Yanga wakianza kutetea ubingwa wao kwa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>