Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU MBILI ZAIDI ZAPETA RCL

Wakati Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) inaanza kutimua vumbi keshokutwa Mei 12, timu mbili zinakwenda moja kwa moja raundi inayofuata baada ya mabingwa wa Pwani, Kiluvya United kuondolewa na mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA KIKAO CHA SADC CAPE TOWN

Rais Dk. Jakaya Kikwete akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Mratibu wa Asasi ya Bill and Melinda Gates Foundation, Mark Suzman jijini Cape Town, Afrika ya Kusini. Kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo Adam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MPYA WA UMOJA WA FALME ZA KIARABU NCHINI TANZANIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu nchini Tanzania Abdulla Ibrahim AL-Suwaidi,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHISA CRDB WAPEWA SEMINA AICC ARUSHA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akifungua Semina ya Wanahisa wa benki hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha juzi.  Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YAYA TOURE KUIBEBESHA UBINGWA WA FA MAN CITY LEO?

LONDON, EnglandAidha, Toure anaamini kuwa kustaafu ghafla kwa kocha Sir Alex Ferguson wa Manchester United, kutaingozea nguvu na kuibeba Man City katika msimu ujao wa Ligi Kuu na michuano ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom yaungana na UN wiki ya nenda kwa usalama

    Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani Tanzania,Mohamed Mpinga akiongea na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Mapambano , kuhusiana na masuala ya Usalama Barabarani katika kuadhimisha wiki ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AREJEA TOKA AFRIKA KUSINI LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Raymon Moshi mara baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'JAJI WEREMA HAWATENDEI HAKI WATANZANIA'

Na Bryceson MathiasWANANCHI wamekuwa na wasiwasi na hawaelewi kwa nini Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema alitaka baadhi ya mapendekezo ya taarifa kuhusu vigogo walioficha mabilioni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAWANOA WAJASIRIAMALI KUPITIA KONGAMANO LA WANAWAKE

 Mtangazaji wa kituo cha televisheni cha ITV, Rehema Salim (kulia), akiuliza jambo kuhusu Akaunti ya Malkia kwa Ofisa Masoko wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo, mbele ya banda la benki hiyo wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIGAN ILIVYOICHAPA MAN CITY NA KUTWAA UBINGWA WA FA

 Mashabiki wa Wigan na Manchester City, wakiingia kwenye Uwanja wa Wembley jijini London, kushuhudia mechi ya fainali ya Kombe la FA, iliyoisha kwa Wigan kuichapa Man City bao 1-0 na kutwaa ubingwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE AFANYA ZIARA KATIKA VITONGOJI JIMBO LA HAI

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Hai, akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa chama hicho Kijiji cha Mtakuja, Mzee Ally Mbatia. Mbowe yuko katika ziara ya kukagua uhai na kuimarisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIYA YA UPENDO KKKT CHINAGALI YAFANYA MAKUBWA

Mchungaji Mama Kobwe akiweka Wakfu Vifaa vya Jumuia ya Upemdo KKKT Chinangali, walivyonunua kutumia kwenye Ibada za nyumba kwa nyumbaNa Bryceson Mathias. DodomaIBADA za Jumuia zinazomasishwa  na Kanisa...

View Article

TAIFA HILI LINAUMWA?

‘Siku ya Kufa Nyani Miti yote huteleza’Na Bryceson MathiasKILA siku najiuliza Swali, hivi Daudi Mwangosi Mungu amuweke Pema Peponi, angekuwa Mdogo wake na Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meya Musoma; Sina Imani na Vinara wa Katiba

Na Bryceson Mathias MEYA wa Halmashauri ya Musoma na Katibu wa Madiwani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Alex Kasurura (pichani), ameelezea wasi wasi wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tendwa usiwe Kigeugeu

Na Bryceson Mathias LICHA ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, John Tendwa kusema hoja nyingine zinazotolewa na vyama vya upinzani ni za msingi na zinatakiwa kufanyiwa kazi. Wananchi wa Kada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRINGA WAZIPOKEA TUZO ZA SAFARI LAGER KWA SHANGWE

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma, akiwa ameshikilia Tuzo ya Bia ya Safari Lager mara baada ya kuipokea mkoani kwake mwishoni mwa wiki ikiwa ni ziara maalum ya Tuzo hizo kusherehekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 18 WA WANAHISA JIJINI ARUSHA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akitoa mada wakati wa Mkutano Mkuu wa 18 wa Wanahisa wa benki hiyo uliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUICO yakabidhi cheti, rambirambi familia ya Tandau

 Katibu mkuu Taifa wa  Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO),Boniface Nkakatisi, akimpa pole mjane wa marehemu balozi Alfred Tandau, Margareth Tandau,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA SAYANSI KATIKA KITUO CHA TAASISI YA KIMATAIFA...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakizindua rasmi  jengo la sayansi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MCHUNGAJI DKT. MATHEW BYAMUNGU NA MKEWE...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mchungaji Dkt. Mathew Byamungu, wakati akimkaribisha Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Mei...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>