MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI
Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo. Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleNHC YAZINDUA UUZAJI WA NYUMBA ZA BIASHARA NA MAKAZI ZA MOROCCO SQUARE,Waziri...
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mauzo ya nyumba za biashara na makazi-Morocco Square uliofanyika jijini Dar es Salaam,...
View ArticleJK kuongoza maelfu kuombea amani Jumapili Oktoba 4,Makhabane, Mahlangu watua...
Msanii wa nyimbo za Injili raia wa Uingereza, Ifheanyi Kelechi (katikati) , akiwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam, tayari kutumbuiza katika...
View ArticleMAMA SAMIA AMALIZA ZIARA SIMIYU
Kinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati wa mkutano wa kampeni...
View ArticleRAIS KIKWETE AMTEUA MWAKAPALILA KUWA MHASIBU MKUU WA SERIKALI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax:...
View ArticleMAHAFALI YA SITA YA BODI YA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI
Mwenyekiti wa Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi, Dk. Sr Hellen Bandiho akifungua rasmi kusanyiko la mahafali..............................................................................Wataalam wa...
View ArticleLOWASSA AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mh....
View ArticleOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) YASEMA PATO LA TAIFA LIMEONGEZA KWA AILIMIA 7.9
Mkutano na waandishi wa habari ukiendelea. Waandishi wa habari wakichukua taarifa hiyo.Wapiga picha wakichukua picha katika mkutano huo.Na Dotto MwaibaleOFISI ya Taifa ya Takwimu imesema pato la taifa...
View ArticleWAFANYAKAZI BOA BENKI KUPEPERUSHA BENDERA YAO NA CCBRT MLIMA KILIMANJARO...
Naibu Mkuruenzi wa BOA benki, Wasia Mushi akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na wanao kwenda kupeperusha bendera ya benki hiyo pamoja na bendera ya CCBRT katika kilele cha mlima wa...
View ArticleBENKI KUU YA TANZANIA YAANZISHA MFUMO MPYA WA MALIPO KWA MASAA 24 UTAJULIKANA...
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bernard Dadi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu benki hiyo kuanza kutumia mfumo...
View ArticleBOA yazindua huduma mpya ya Wari
Afisa Masoko wa Bank Of Africa (BOA), Daniel Sarungi akielezea huduma mpya ya Wari iliyozinduliwa na benki hiyo kwa ajili ya utumaji na upokeaji wa fedha kimataifa.Mkuu wa ICT wa BOA, Bwana Willington...
View ArticleLOWASSA AFUNIKA KWA NYUMBANI KWA DK. SLAA
Sehemu ya wananchi wa Mji wa Karatu, wakionyesha furaha yao baada ya kuiona Chopa inayotumiwa na Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward...
View ArticleBUZWAGI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI BORA WA MWAKA
Meneja wa Idara ya Maboresho ya Biashara wa Mgodi wa Buzwagi Bwana Richard Ojendo wa kwanza kushoto akipokea tuzo ya heshima ya utumishi uliotukuka ya meneja wa mgodi, “General Manager Prestegious...
View ArticleBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA MKOANI GEITA
Benki ya CRDB kupitia tawi lake la mjini Geita imechangia ujenzi wa vyumba vya madarasa katika Shule za Msingi Mwatulole na Shule ya Msingi Geita ambayo baadhi ya majengo yalibomolewa na mvua kubwa...
View ArticleKAYUMBA JUMA AZOA MILIONI 5O ZA BONGO STAR SEARCH
Mshiriki wa Shindano la Bongo Star Search, Angela Marry Kato akiimba wakati wa fainali ya shindano hilo. Mshiriki wa BSS, Jacky akiimba. Mshiriki wa BSS, Jacky akiimba. Nassib Fanabo. Majaji. Kelvin...
View ArticleNSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ABITAT JIJINI DAR ES SALAAM
Ofisa Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mselem Mwanamsoga akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara, Edward Sungura (kulia), wakati...
View ArticleMGOMBEA MWENZA WA CHADEMA JUMA DUNI HAJI AHUTUBIA MKUTANO MJINI DODOMA
Mgombea mwenza wa Chadema, Juma Duni Haji akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Chang’ombe mkoani Dodoma. Wakazi wa Dodoma wakimsikiliza mgombea mwenza wa...
View ArticleCHADEMA YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA MWANASIASA MKONGWE JONAS MALLAH
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Arusha Mjini kimesikitishwa na kuhuzunishwa na kifo cha mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini, Ndugu Estomih Jonas Mallah ambaye alipata kuwa...
View ArticleUFAFANUZI WA IDADI YA VITUO VYA KUPIGIA KURA OKTOBA 25
Ndugu,Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kailima Ramadhani amefafanua jinsi mabavyo Tume ya taifa ya uchaguzi ilivyo gawanya vituo vya wapiga kura kote nchini. Katika ufafanuzi huo...
View ArticleLOWASSA APATA MAPOKEZI YA NGUVU MJINI TARIME
Vijana wa Mjini Tarime wakiongoza mapokezi ya Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, alipowasili mjini Tarime kwa Mkutano wa...
View Article