Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CBA YAIBUKA BINGWA MASHINDANO YA SOKA YA MABENKI NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII

 Baadhi ya wafanyakaz wa CBA Tanzania na Mkombozi wakishangilia uhamasisha timu zao uwanjani.Mkurugenzi wa CBA Tanzana Julius Mcharo akibadilishana mawazo na Meneka Masoko wa Benki ya Mkombozi grace...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAZINDUA KADI MPYA ZA KI-ELKTRONIKI KWA WANACHAMA WAKE

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Rais wa Simba Evans Aveva alisema ‘’Simba inaendeleza falsafa yetu ya utendajii  kifanya kazi ‘’maneno machache vitendo vingi’’, baada ya kuboresha upatikanaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAVUTIA WENGI MAONYESHO YA SABASABA

Dar es Salaam, Tanzania BENKI ya CRDB imewataka Watanzania kutembelea banda lao ili kupata huduma mbalimbali za Fedha.Akizungumza katika Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba...

View Article

DC Mwanga Kuwatoa Hofu na Kuwapongeza Wananchi

Na Bryceson Mathias, Kibindu BagamoyoKUFUTIA Kukamatwa na Kuuawa kwa Magaidi, ambapo jana Matatu yalidakwa na Polisi   na Silaha ya SMG, Risasi 50, Nondo Fupi 45 na Mabomu, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA MABIBO BEER YAIDAI TUME YA USHINDANI (FCC) SH.TIRIONI MOJA

 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kupinga uamuzi wa tume ya ushindani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU ARUDISHA FOMU ZA WADHAMINI

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (katikati) akiwa na mkewe baada ya kurudisha fomu za wadhamini kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya ya CCM. Kushoto ni Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI MSIBA TENA JAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO

Na Dotto MwaibaleKAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YASAIDIA KAMATI YA AMANI YA DINI

Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa  akizungumza wakati wa hafla fupi ya kukabidhi hundi ya Shilingi milioni 12 kwa ajili maandalizi ya Futari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

APPRECIATION

The family  of the late Judge(Rtd) Anthony Bahati  of  Oysterbay - Dar es-salaam  would like to express  our heartfelt thanks   to relatives, friends, neighbours, and well wishers who  joined us...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA...

Kijana Abel Machanga mwenye umri wa miaka 24 amelazwa Hospital ya Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19, Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS YAWAFUATA THE CRANES

Kocha mkuu wa Taifa Stars, Charles Mkwasa (katikati) akiongea na waandishi wa habari leo.Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager inaondoka nchini leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT PID yatoa huduma za uuzwaji wa fomu za viwanja

Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam, yanayoendelea katika mabanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA ARUDISHA FOMU LEO MJINI DODOMA, ATEMA CHECHE KWA WANAOMTUHUMU

WAZIRI Mkuu Mstafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF yatoa huduma za afya bure Maonesho ya Sabasaba

Dk. Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF. Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANTEL YATOA SH.MILIONI 5 KUSAIDIA CHAMA CHA MAALBINO TANZANIA KUTOA ELIMU...

Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose (katikati) akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu ushirikiano wao na chama cha Maalbino Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Adv. Anthon Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mpira wa Miguu kuwania Kombe la DC na kushirikisha timu 24 kutoka maeneo mbalimbali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSLIM AWATAKA WAKAZI WA ILALA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA KUJIANDIKISHA...

Mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye pia ni mtia nia wa Jimbo la Ilala, Muslim Hassanali, akihutubia leo mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIIZA ATUA DAR, KUSAJILIWA NA SIMBA

Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka Uganda, Hamis Kiiza (wa pili kulia) akiwasili leo katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA WMA

 WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii wakati alipofungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mfumo wa usimamizi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU (MB), AFUNGUA MKUTANO WA SIKU...

Imetayarishwa na theNkoromo Blog  WAZIRI waMaliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii alipowasili kufungua mkutano wa majadiliano kuhusu...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>