Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

KIIZA ATUA DAR, KUSAJILIWA NA SIMBA

$
0
0
Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka Uganda, Hamis Kiiza (wa pili kulia) akiwasili leo katika Uwanja wa Ndege wa  Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya Julai 3 kabla ya kuingia mkataba na Klabu ya Simba. (Na Mpiga Picha Wetu)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>