Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC yanyang’anya mashine za kufyatulia matofari

Katika kuhakikisha kuwa rasilimali za umma zinatunzwa, kutumika ipasavyo na kuhakikiwa, NHC imeendelea kuwakagua vijana waliopewa msaada wa mashine za kufyatulia matofali yatakayowezesha wananchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF WAIBUKA WASHINDI WA JUMLA MAONYESHO YA SABASABA

 Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya Biashara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA HUAWEI YAZINDUA SIMU MPYA YA KISASA YA P8

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS KUWAVAA THE CRANES

Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager leo majira ya saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimba la Nakivubo kucheza na wenyeji Uganda 'The Cranes'.Mecho hiyo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LANG'ARA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA

Afisa Mwandamizi wa Uendelezaji Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Salvatory Hinju akitoa maelezo namna Shirika la Nyumba linavyofanya kazi zake kwa Wateja waliofika kwenye banda la...

View Article


Hali ya Ugaidi ni Shwali

JESHI la Polisi limesema, Hali ya Ugaidi iliyokuwa inawatishia Wananchi wa Kata ya Kibindu wilayani Bagamoyo hasa vijiji vya Pera, Kwaluhombo na Njeura mpakani mwa Mvomero, sasa ni ShwaliKamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMITASHUMTA na Changamoto zake

Meneja mauzo wa Isere Sports, Rasul Ndee akionesha aina ya mipira inayofaa kuchezewa katikaviwanja mbalimbali hapa nchini. (Picha na Mpiga Picha Wetu) Mkurugenzi wa Masoko wa Isere, Abbas Ally...

View Article

DC Mwanga watoa hofu na kuwapongeza Wananchi

Na Bryceson Mathias, Kibindu BagamoyoKUFUTIA Kukamatwa na Kuuawa kwa Magaidi, ambapo jana Matatu yalidakwa na Polisi   na Silaha ya SMG, Risasi 50, Nondo Fupi 45 na Mabomu, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,...

View Article


TAIFA STARS 1- THE CRANES 1

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager imetoka sare ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC DAR AONGOZA HARAMBEE YA WAANDISHI YA MEDIA CAR WASH FOR CANCER DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadick akiosha pikipiki ya Blogger Mroki Mroki 'Father Kidevu' (kushoto kwake)  wakati wa harambee  kuosha Magari katika viwanja vya Leaders Club kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAMA ATOA MSAADA KWA VITUO 10 VYA YATIMA DAR

 NA FRANCIS DANDEKAMPUNI ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, jana ilikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo 10 vya kulea yatima ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia makundi maalumu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBATIA AZUNGUMZIA MWENDENDO MBOVU WA BUNGE

Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR Mageuzi, James Mbatia akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu na mwenendo mbovu wa Bunge.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA YATOA HUDUMA KWA UMAKINI MAONESHO YA SABASABA

 Wateja wakipatiwa Huduma katika Banda la Benki ya Posta. BAADHI ya Wananchi wakikodolea macho huduma zinazotolewa na Benki ya Posta. WAKIJISAJILI kuwa na akaunti katika Benki hiyo. WAKIJISAJILI kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA JERRY SILAA WA ILALA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA

Meya wa Ilala, Jerry Slaa akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM, Diwani wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utoaji huduma za afya bure waendelea kuvutia wengi Sabasaba

Baadhi ya wateja kwenye Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwa wamepanga foleni kusubiri kumuona daktari ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MAVUNDE AIASA JAMII KUACHA UKATILI DHIDI YA WATOTO

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Anthony Mavunde akizungumza wakati wa tamasha la kupinga na kukataa vitendo vya kikatili dhidi ya watoto, lililofanyika katika viwanja vya mnara wa Mashujaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MKUU WA TANZANIA OTHUMANI CHANDE ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA...

 JAJI Mkuu wa Tanzania, Othumani Chande (katikati) akiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara, Jacqueline Maleko, pamoja viongozi wa Tantrade na Mahakama Kuu kutembelea Maonesho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTIKILA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WATIA NIA WA CCM

Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dares Salaam leo kuhusu nia yake ya kutaka kuwafungulia mashtaka makada wa CCM kwa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>