Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba, Yanga zaibomoa Mbeya City

Nyota wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi, akisaini mkataba kujiunga na klabu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, mbele ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Collin Frish, jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA MABENKI YA AKIBA DUNIANI (WSBI) KANDA YA AFRIKA

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Sabasaba Moshingi akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu mkutano wa mabenki ya Akiba Afrika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

C-SEMA:BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

 Mratibu wa utetezi na ushawishi wa SOS nchini, John Batista akitoa maada katika  Semina iloyowashirikisha wanachama wa Chama cha Waandishi wa habari za watoto(TAJOC),Watunga sera na watoa maamuzi...

View Article

Familia yaridhia ndugu yao kuuawa

Na Mwandishi Wetu, MvomeroBAADA ya wananchi, viongozi wa siasa, serikali, dini na polisi mkoani Morogoro kushusha pumzi ya kuona matukio ya wizi sugu wa jambazi la kutisha, Frank Mwambaswa, maarufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MATUMAINI YAANZIA DODOMA

 Waziri Mkuu mstaafu, Edward lowassa akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari mjini Dodoma kuhusu mambo mbalimbali pamoja na safari ya matumaini. Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jordan Business Delegation

 Jordan Business Delegation is in the country for three days with the aim of strengthening the trade relationship between Jordan and Tanzania business communities that would enable smooth movement of...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAID NDEMLA ASAINI KUICHEZEA SIMBA

Said Ndemla akisaini mkataba wa kuichezea klabu ya Simba mbele ya Rais wa klabu hiyo, Evance Aveva.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisaini kitabu cha wageni alipowasili ofisini kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda, (katikati). Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU

Familia ya Mchungaji Fanuel Solomon wa Mruma Ugweno – Kilimanjaro wanasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa, Mama Salome Fanuel Solomon kilichotokea Ugweno siku ya Ijumaa tarehe 22/05/2015....

View Article


Chadema yawaonya viongozi wa dini mamluki

Na Bryceson Mathias, MvomeroWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Mvomero wamewaonya viongozi wa dini waliotia nia ya kugombea uongozi katika chama chao wasithubutu kuwa...

View Article

STARS KUINGIA KAMBINI KESHO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajiwa kuingia kambini kesho jumatano katika hoteli ya Tansoma iliyopo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri kuwania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOMBI YA MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI

Katika Maisha yetu Wanaadamu Ibada ni Jambo Muhimu saana. Uzuri , Usafi wa sehemu ya kuabudu ni Moja katika mambo mazuri yenye kupendeza katika kila Nafsi ya Binaadamu.Katika Nyumba (Msikiti)  huu ,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NYALANDU ASAINI MKATABA NCHINI MSUMBUJI JANA

  Waziri wa maliasili na Utalii, lazaro Nyalandu akimsikiliza waziri wa Ardhi na Maendeleo vijijini, Celso Coreia jana mjini Maputo kabla ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kuhifadhi Pori la akiba la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONYESHO YA TANO YA HOMES EXPO KUANZA MEI 29

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya EAG group, Zenno Ngowi akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maonyesho ya tano ya Tanzania Homes Explo yatakayoanza Mei 29...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA MPIRA WA KIKAPU YA MAJIJI KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI YAANZA DAR

 Kocha ya timu ya Dar City ya Tanzania, Joseph Matle akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu yake wakati ilipocheza na timu ya KCC ya Uganda kwenye mashindano ya ubingwa wa Majiji kwa nchi za Afrika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bayport: Wa mikoani nao wanaweza kukopa viwanja vya Kibaha

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayaport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo,imesema hata Watanzania wanaoishi mikoani wanaweza kutumia fursa ya kukopeshwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YAKAMILISHA MAANDALIZI UBORESHWAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA KWA MIKOA 4

Maandalizi ugawaji wa mashine kwa ajili ya kuandikisha wanchi katika daftari la wapiga kura kwa Kanda ya 5 Tano kati ya Sita yamekamilika leo Mei 29, 2015 zaidi ya Biometric Voter Registration (BVR)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe wa Maofisa wa Umoja wa Benki za Akiba Duniani Kanda ya Afrika...

Meneja wa Tawi la Benki ya Posta Zanzibar Ndg Justin S.Nandonde akisalimiana na kumkaribisha wageni wake walipotembelea Tawi hilo Zanzibar kujionea utendaji wa Benki ya Posta Tawi la Zanzibar wakiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WASHINDA NAFASI YA UENYEKITI MJI MDOGO WA HIMO

Baadhi ya wajumbe waliohudhuria katika uchaguzi huo kutoka vyama mbalimbali vya siasa.Mwenyekiti wa mji mdogo wa Himo Hussein Jamal akizungumzamara baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA...

Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>