Familia ya Mchungaji Fanuel Solomon wa Mruma Ugweno – Kilimanjaro wanasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa, Mama Salome Fanuel Solomon kilichotokea Ugweno siku ya Ijumaa tarehe 22/05/2015.
Mazishi yatafanyika kijijini Mruma, Ugweno siku ya Ijumaa 29/05/2015.Taratibu za mazishi zinafanyika kwa mtoto wa marehemu Mbazi Fanuel Solomon Kunduchi Beach, Dar es salaam.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA – JINA LAKE LIHIMIDIWE