Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

KAMPENI YA UGAWAJI WA DAWA ZA KUKINGA NA KUTIBU MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI...

Ndugu Wananchi,Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele, hususan Kichocho na Minyoo ya tumbo yameathiri sehemu kubwa ya jamii katika mkoa wetu wa Mwanza. Magonjwa haya huleta mahangaiko makubwa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KADA WA CCM ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Wakili wa Kujitegemea, Elias Nawera (katikati), akizungumza na wanachama hicho na viongozi mbalimbali wakati akitangaza nia ya kugombea nafasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA...

 Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza.Baadhi ya wanafunzi wakisoma vipeperushi vyenye taarifa kuhusu Mfuko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA...

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuzindua rasmi uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa (Biometric Voters Registration BVR) mkoani Kagera katika Manispaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA AMI YAFUNGWA RASMI KWA MADENI

Meneja Biashara wa Kampuni ya Udalali ya Mem, Elieza Mbwambo (kulia), akimkabidhi funguo Meneja wa Kampuni ya Navtej Bains, Zulfiqar Hassanali, baada ya kampuni hiyo kuwaondoa wapangaji Hospitali ya...

View Article


STAND UNITED FC YAWASHUKURU MASHABIKI WAKE

Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wakazi wa mkoa wa shinyanga,mikoa yote kanda ya ziwa na mashabiki wetu wote walioko nchi nzima na sehemu mbalimbali duniani kwa kutoa ushirikiano wao wa dhati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu sita washikiliwa kwa kukutwa na viungo vya Albino

Na Antony Sollo ShinyangaJESHI la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga linawashikilia watu sita  kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya Albino wakiwa katika harakati za kuviuza viungo hivyo.Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bayport yazindua huduma mpya ya mikopo ya viwanja kwa Watanzania wote

 Mkurugenzi wa Bayport Financial Services, John Mbaga, akizungumza jambo katika uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo ya viwanja katika mradi wa Vikuruti, Kibaha, mkoani Pwani. Uzinduzi huo ulifanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBA WANAOUA WANANCHI KUDHIBITIWA-MASASI

 Katibu Tawala wilaya ya Masasi, Dunford Peter akimwonyesha ramani Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ya sehemu ya mto huo, wakati waziri huyo alipotembelea mto Ruvuma katika kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS CHOVU YAWASILI SALAMA

Kikosi cha timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars' kilichoshiriki michuano ya Cosafa na kuondolewa patupu baada ya kufungwa mechi zote.Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imewasii salama leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA VIUNGO VYA ALBINO- KAHAMA

Mwalimu Bahati Kilungu Maziku.Waganga wa jadi Elizabeth au Shija Makandi Sweya (kushoto) na  Regina au Tatu Kashinje Nhende.Bilia Masanja Mhalala Mganga wa jadi Abubakar Ally Magazi Muhoja John Shija....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPINDI CHA MBONI SHOW CHAAZIMISHA MIAKA MITATU KWA KUTOA MSAADA HOSPITALI...

 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Uzazi na Magonjwa ya Akina mama wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dokta Mathew Kallaga (aliyepokea kwa niaba ya uongozi) vifaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAENDESHA KAMBI YA KUPIMA AFYA BURE MKOANI TANGA

Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), litaendesha  kambi za upimaji wa Afya bure kwa wakazi wa Tanga.Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na  kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa...

View Article


HOTUBA YA RAIS KIKWETE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo, Jumamosi, Mei 23, 2015 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa...

View Article


HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA...

Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kukushukuru Katibu Tawala Msaidizi ambaye ni Afisaelimu wa Mkoa na Viongozi wenzako katika seksheni ya Elimu kwa kunialika kufungua Mashindano haya ya Umoja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO TENA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, mjini Dodoma leo, May 24, 2015. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBOWE AZINDUZI KITABU CHA UTEKELEZAJI AHADI ZA JIMBO LA KAWE

 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima wakati wa mkutano wa hadhara uliokwenda sambamba na uzinduzi wa kitabu cha utekelezaji...

View Article

KAMATI YA UTENDAJI TFF YAKUTANA

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF imeketi katika ukumbi uliopo makao makuu ya Shirikisho uwanja wa Karume.Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>