Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. MAHANGA ATEMBELEA KIWANDA CHA TBL MWANZA

 Mkurugenzi Mtendaji wa TBL ,Roberto Jarrin (kulia) na katibu Mkuu wa TUICO, Boniface G Nkakatisi (kushoto) wakitiliana saini mkataba wa hiyari wa maboresho ya maslahi ya wafanyakazi wa TBL.Katikati ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA MFUKOWAUCHAGUZIWA MKOA WA MAGHARIBI KICHAMA

 Baadhi ya WanaCCM na Wakereketwa na Viongozi wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mfuko wa uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi,Kichama uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Nje ya Mji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAFALI YA NANE YA CHUO CHA WAALIMU WA SHULE ZA AWALI CHA NEW MONTESSORI...

 Mkurugenzi Mtendaji na Mkuu wa Chuo hicho, Denis Msangi akizungumza na wahitimu katika mahafali hayo yaliyofanyika Shule ya Msingi ya Mnazi Mmoja Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Haris...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umoja wa Ulaya: Tutapigania Uhuru wa Habari siku zote

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza katika maadhimisho ya Uhuru wa habari duniani...

View Article


Waziri Tizeba ataka timu za Wizara zishiriki Ligi Kuu

Na Mwandishi  MaalumNaibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo ziendeleze michezo kwa wafanyakazi wao makazini na kuhakikisha wanashiriki michuano  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyalandu aahidi kuwapa gari polisi

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiwa ndani ya gari la Polisi wakati wa ziara yake wilayani Biharamulo. (Picha na Loveness Bernard)Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro nyalandu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAITAFUNA AZAM FC, YAIFUNGA 2-1

 Kikosi cha Azam FC kilichoanza leo. (Picha na Francis Dande)Kikosi cha Simba.Waamuzi wa mchezo wa Simba na Azam wakiwa katika picha ya pamoja na manahodha wa timu zote kabla ya mchezo. Beki wa Azam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NYALANDU ATOA MAGARI KUSAIDIA POLISI, ASKARI WA WANYAMAPORI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyalandu awacharukia wahamiaji haramu

NA LOVENESS BERNARD, BIHARAMULOWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka wahamiaji haramu waliovamia kwenye mapori ya akiba, kuondoka mara moja kabla hatua kali za kisheria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMO WA MABASI WAINGIA SIKU YA PILI LEO

 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani akijariobu kuendesha moja ya mabasi yaliyokuwa yamegoma katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam, kufuatia mgomo wa madereva wa mabasi, malori...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Lucy Owenya atembelea kujionea athari za mafuriko TPC

Mbunge wa viti maalum, Lucy Owenya (Chadema) akitazama magodoro pamoja na mahindi yakiwa yamewekwa juu ya Choo baada ya kutokea kwa mafuriko katika kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri makazi ya...

View Article

VPL KUENDELEA KESHO

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa mchezo mmoja utakaopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, wenyeji timu ya Azam FC watawakaribisha Mabingwa wapya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YATOA MAAZIMIO YA KAMATI KUU

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) akifafanua jambo leo wakati akitoa Tamko la Maadhimio ya Kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam juzi. (Picha...

View Article

ABIRIA WALALAMIKIA OFISI YA MKUU WA MKOA WA MBEYA

NA KENNETH NGELESI,MBEYABAADHI ya abiria jiji Mbeya wamwtupia lawama Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas kwa kushindwa kufika katika kituo cha mabasi kwa lengo la kuwa julia hali abiri ambao wamekwama kwa siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI WATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA POLISI CHANG'OMBE

 Askari wakisaidia kushusha kwenye gari saruji iliyotolewa msaada na Kampuni ya Konyagi ya  Tanzania Distilleries Limited (TDL), kwa ajili ya ujenzi wa Kituo cha Polisi Chang'ombe, kitengo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA: UFAFANUZI KUHUSU KANUNI UWIANISHAJI WA MAFAO YA PENSHINI YA...

UTANGULIZI:Hivi karibuni kumekuwa na taarifa katika baadhi ya  vyombo vya habari juu ya kauli ya baadhi ya vyama vya wafanyakazi juu ya kanuni ya uwianishaji mafao ya pensheni kwa wale wanaostaafu kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUMBA 354 ZAATHIRIKA NA MVUA ZANZIBAR

 Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya kukabiliana na Maafa Zanzibar ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Mzee  Salhina Abdi Mkufau wa Shehia ya Jang’ombe ambye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLATTER AIPONGEZA YANGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu DunianI - FIFA, Joseph Blatter ametuma salamau za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi kufuatia klabu ya Young Africans kutwaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yakabidhi vitabu vya sayansi kwa Shule ya Sekondari ya King’ongo Dar...

Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (wa pili kushoto), akikabidhi vitabu vya masomo ya sayansi vyenye thamani ya milioni 4/-, kupitia Mradi wa ‘Airtel Shule Yetu’ kwa baadhi...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>