Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

WAZIRI CHIZA: CHANGAMKIENI FURSA ZA UWEKEZAJI VISIWANI COMORO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Mhandisi Christopher Chiza aliwaeleza baadhi ya wafanyabiashara kutoka Tanzania, kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji visiwani humo wakati alipotembelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA BINGWA 2015, YAIFUNGA POLISI MORO 4-1

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm akishangilia baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara msimu wa mwaka 2015-16. Simon Msuva (kushoto) akishangilia na Amis Tambwe baada ya Tabwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WA WANYAMAPORI KUAJIRIWA KAMA WANAJESHI, POLISI

 Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro, Nyalandu akisaini kitabu cha wageni katika Taasisi ya Taaluma ya wanyamapori Pasiansi. Kulia ni Mkuu wa Taasisi hiyo, Lowaeli Damalu. (Picha na Loveness...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALINZI AWAPONGEZA YANGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans, Yusuf Manji kufuatia timu yake kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

THAMANI YAPOROMOKA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 20

 Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za bunge jijini Dar es Salaam kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi. Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AFANYA ZIARA KATIKA VIJIJI...

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuhusu eneo la hifadhi  lililoombwa kwa ajili ya upanuzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI

Dodoma, Aprili 28, 2015, Kufahamu ukweli kwamba Dodoma ni mji mteule na wenye kuendelea kwa kasi hapa nchini na mji uliobahatika kuwa miongoni mwa mji wenye chuo kikubwa hapa Tanzania, Airtel...

View Article

KATIBA INAYOPENDEKEZWA SEHEMU YA PILI

MAMLAKA YA WANANCHI 7-(1) Wananchi ndio msingi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YAENDELEA NA KAMPENI YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA CHF KATIKA...

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) Bw, Rehani Athumani akikabidhi mashuka kumi kwa Khatib Said mwenyekiti wa kijiji cha Chumo Wilayani Kilwa mkoani Lindi yaliyotolewa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alikiba, Diamond Platinumz vitani KTMA 2015

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, Pamela Kikuli, (katikati) akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza wateule wanaowania tuzo za muziki za Kilimanjaro (KTMA 2015). Kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA YAJIVUNIA UTENDAJI BORA KWA MWAKA 2014 ULIYOIPA FAIDA NONO

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Sabasaba Kitewita Moshingi, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza utendaji wa benki hiyo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATUNA MPANGO WA KUWANUNULIA WACHEZAJI NYUMBA, MAGARI-YANGA

 Mkuu wa Idara ya Sheria wa Klabu ya Yanga, Frank Chacha akionyesha gazeti lililoandika habari za kununuliwa nyumba na magari kwa wachezaji wa timu hiyo. (Picha na Francis Dande)Msemaji wa Yanga, Jerry...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA KISARAWE MH. SUBIRA MGALU AZINDUA RASMI SHINDANO LA MAMA...

 Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisanga Kata ya Masaki Wilayani Kisarawe Bwana Mohamed Shomoi Mlembe akimkaribisha Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mh. Subira Mgalu kuzundua Rasmi Shindano la mama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YAPATA FAIDA YA BIL. 95.6 BAADA YA KODI 2014

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akizungumza katika kongamano la wawekezaji wa benki hiyo lililofanyika jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)Mkurugenzi Mtendaji wa Benki...

View Article

SIMBA WATAKIWA KUMLIPA CHANONGO MIL 11

Klabu ya Simba SC inatakiwa kumlipa mchezaji Haruni Chanongo sh. 11,400,000,  kufikia Aprili 30, 2015 vinginevyo Sekretarieti ya TFF itaanza kukata mapato ya Simba ili kumlipa mchezaji huyo. Iwapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU AAGIZA ASKARI WA MAREKANI...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana juu ya askari wastaafu wa Marekani wanaodai kuwa nchini kupambana na ujangili. (Picha na Loveness...

View Article

KILA LA KHERI YANGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini - TFF, Jamal Malinzi amewatakia kila la kheri Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CC) timuYoung Africans katika mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE ZA MEI MOSI DAR

Wafanyakazi wakiimba wimbo wa mshikamano wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi yaliyofanyika kimkoa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo. (Picha zote na Francis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DTB MABINGWA KOMBE LA MAEI MOSI DAR

Hatari katika lango la NSSF. (Picha zote na Francis Dande)Mshambuliaji wa timu ya Benki ya DTB, Kelvin Chale (kushoto) akimtoka James Godfrey wakati wa mchezo wa fainali ya michezo ya Bonanza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Floyd Mayweather amdunda Manny Pacquiao kwa pointi

 Bondia Floyd Mayweather baada ya kumdunda kwa pointi Manny Pacquiao.Bondia Manny Pacquiao akitupiana makonde na mpinzani wake. Floyd Mayweather akimtupia makonde mpinzani wake.

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live