Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA MISIKITI YA ILALA MKOA WA DAR ES SALAAM WAOMBA DUA KWA MWENYEZIMUNGU...

 Dua ikisomwa. Viongozi na sehemu ya waumini walikuwa msitari wa mbele katika Dua.  Dua ikiombwa kwa MWENYEZIMUNGU ili amponeshe haraka Rais wetu mpendwa. Sehemu ya waumini walioshiriki katika Dua ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete atolewa nyuzi katika mshono-Afya yake yazidi kuimarika

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita.Rais Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA...

 Mwili wa Mwandishi wa Habari marehemu Baraka Karashani ukiwasili katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Mwili wa marehemu Baraka Karashani ukiwasili katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABDULRAHMAN KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika uwanja wa michezo wa Ilulu mjini Lindi wakati akihitimisha ziara yake mkoani humo leo kabla ya kuendelea na ziara mkoani Mtwara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tabata yaingia fainali ya mkichuano ya Dk. Mwaka baada ya kuichapa Black Six 1-0

Nusu ya fainali ya kwanza ya mashindano ya DR. MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP imepigwa hapo jana kwenye uwanja wa Bandari maeneo ya Tandika Mwembe Yanga kati ya Tabata FC na Black Six, mchezo ulimalizika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KUANZA NOVEMBA 25

Mratibu wa Shirika la Wanawake katika Maendeleo barani Afrika (WiLDAF), Judith Odunga akifafanua jambo wakati wa akitoa taarifa kuhusu Siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia, inayotarajiwa kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE KAMATI YA SIASA TAWI LA MAKANGIRA ATOA MSAADA WA JEZI

Mjumbe Kamati ya Siasa tawi la Makangira Msasani, Suzana Msangi (CCM), (kulia), akimkabidhi zawadi ya jezi kiongozi wa timu ya watoto wa  wenye umri chini ya miaka 12 ya Namanga , Omari Hamisi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamia kushiriki maonensho ya elimu Dar

Na Mwandishi WetuZAIDI ya washiriki 500 na watembeleaji 350,000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kwanza ya kimataifa ya elimu nchini (TIEE).Akizungumza jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAENDESHA SEMINA KWA WAAJIRI, WANACHAMA

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hab Mkwizu (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kulia) na Meneja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BMTL yaja na mashine za kutuma fedha benki

Meneja Mkuu wa BMTL, Deepak Kumar Khara akizungumza wakati wa hafla ya utambulisho wa bidhaa mpya za kampuni hiyo.  Baadhi ya wageni waalikwa. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya BMTL, Mike Holtham...

View Article

BASATA yatoa msukumo Tamasha la Krismasi

Na Mwanishi WetuSERIKALI kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemtaka Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama kuongeza ufanisi zaidi katika Tamasha la Krismasi mwaka huu kwa sababu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OPARESHENI DELETE CCM YAVUNA WANACHAMA 350 MKOANI SINGIDA

Wananchi wapatao 350 waliokuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Msange, Jimbo la Singida Kaskazini, Wilaya ya Singida Vijijini, mkoani Singida wakiwa wameshika kadi za Chama cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT-AMIS YAFANYA MKUTANO WA TATU WA WAWEKEZAJI

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Uwekezaji Nchini (UTT-AMIS), Joseph Kuzilwa akizungumza wakati wa Mkutano Maalum wa Tatu wa Wawekezaji uliofanyika jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mtendaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA JEREMIAH AFANYA UZINDUZI WA VIDEO NA AUDIO YA NYIMBO YAKE MPYA YA...

Mwanamziki wa Hip hop, Kala Jeremiah amezindua video yake ya Wimbo Usikate Tamaa  aliomshirikisha Nuruwell katika Ukumbi wa Maisha Club, jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Katika uzinduzi huo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELGIJI WATEMBELEA MAENEO YA UWEKEZAJI...

 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza akiukaribisha ujumbe wa Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubelgiji ambao wametembelea mkoa wa Pwani kujionea fursa za uwekezaji.Mkuu wa Mkoa wa Pwani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA

Upande wa Kushoto unavyoonekanaUpande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AATMAKE: SUZUKIMODEL: ESCUDOMODEL NUMBER: TDIIWBODY TYPE: STATION WAGONCOLOR:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA MBABA BAY

 Baadhi ya wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiingia kwenye gati la Bandari ya Mbaba Bay iliyopo wilayani Nyasa mkoani Ruvuma. Mratibu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAJA NA UNI255 KUTOA FULSA KWA WANAFUNZI VYOU VIKUU KUFAIDI INTANET...

 Mkurugenzi wa Airtel Huduma kwa Wateja,Bi.Adriana Lyamba akimkabidhi kombe Nahodha wa timu ya Simba ya UDOM kwa kuibuka washindi wa mashindano ya Airtel Uni 255,yaliyofanyika katika viwanja vya...

View Article

WATANZANIA KUPIGIA KURA JEZI YA TIMU YA TAIFA

Watanzania wanatakiwa kupigia kura jezi ya timu ya Taifa ya nyumbani na ugenini kupitia mtandao wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wa www.tff.or.tzambapo jezi hizo zimewekwa.TFF ilipokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GAPCO YAZINDUA KADI MAALUM ZA SAFARI ZITAKAZOWEZESHA DEREVA KUPATA UNAFUU WA...

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa kundi la makampuni ya Gapco, Dk. Macharia Irungu akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa kadi maalum za Safari zitakazomuwezesha dereva kupata unafuu wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>