Mkurugenzi wa Farida Foundation akikabidhi moja ya msaada kwa kaimu Mganga mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle,Huku wafanyakazi wengine wa Hospitali hiyo wakishuhudia.
Mkurugenzi wa Farida Foundation Bi Farida Abdul akiongea na vyombo vya habari na kuelezea ni kwanini ameamua kutoa misaada hiyo katika hospitali ya Palestina,Amesema kwamba Serikali peke yake haiwezi kufika kwa kila mgonjwa na hospitali kwa wakati,kwa hiyo inatakiwa kujitoa kwa mashirika kusaidiana na Serikali ili Hospitalietu Ziweze kuwa na Huduma bora.
Kaimu mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle ameishukuru Taasisi ya Farida Foundation kwa misaada waliyotoa kwani itawasaidia sana kuboresha Huduma zao.
Mlemavu wa Miguu Bwana Marceline Mayemba Akipanda kwenye Baiskeli yake aliyokabidhhiwa na Farida Foundation
Mlemavu wa Miguu Bwana Marceline Mayemba Akiendesha Baiskeli yake mara tu baada ya kukabidhiwa na Farida Foundation
Bi Farida Abdul Akimkabidhi Mlemavu wa miguu bwana Marceline Mayemba Katoni ya Bidhaa ambazo ataanza nazo kama mtaji wa bishara,pia alikabidhiwa katoni tatu za maji,Katoni tatu za Juice na Katoni zingine Vifaa kama pipi,bigijii ili viwe kama kianzio kwa biashara yake.
Bi Farida Abdul Mkurugenzi wa Farida Foundation akikabidhi Mlemavu mwingine Chakula Pamoja na vinywaji.