DC KIBAHA- RAIS SAMIA ATOA BILIONI 4 UJENZI WA DARAJA LA KUDUMU MTO MPIJI
NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson Saimon amempongeza Rais kwa kuweza kutoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 4 kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa daraja jipya la kudumu katika...
View ArticleBenki ya CRDB yaadhimisha Siku ya Wajasiriamali Duniani ikitoa Shilingi...
>Yaahidi kuendelea kuwawezesha kwa mitaji nafuu na safari za kimataifa za kujifunza zaidiKaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bruce Mwile (wapili kulia), Mkurugenzi wa Wateja wa Awali na wa...
View ArticleCCM PWANI YAJIPANGA KUSHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
NA VICTOR MASANGU, PWANIChama cha mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu kimejiwekea mipango kabambe ya kuhakikisha kwamba wanapata wagombea wazuri na...
View ArticleVijiji 70 vyanufaika na FORVAC
Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya vijiji 69 vya mikoa ya Tanga, Mkangara, Dodoma, Lindi na Ruvuma vimenufaika kiuchumi, kijamii na mazingira kupitia Mradi wa Kuongeza Mnyororo wa Thamani kwenye Mazao...
View ArticleMISA-TAN yaomba kupunguza ada leseni mitandao ya kijamii
Mwandishi WetuTAASISI ya Habari Kusini mwa Afrika tawi la Tanzania (MISA-TAN), imeiomba serikali kupunguza viwango vya ada ya kuendesha mitandao ya kijamii (Blogs, Online Tv na YouTube ili kuvutia...
View ArticleSAGCOT kuinua kilimo cha viazi mviringo
Na Mwandishi Wetu, Songea KITUO cha Kuendeleza Kilimo Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania (SAGCOT) kimeulezea Mkoa wa Ruvuma kama ni eneo lenye ardhi nzuri inayofaa zaidi kwa uzalishaji wa kilimo cha...
View ArticleBILIONI 346 KUTUMIKA KUIMARISHA USALAMA WA MILKI ZA ARDHI - MAJALIWA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Bunge jijini Dodoma, Juni 28, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Dodoma, Tanzania WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imesaini...
View ArticleWAZIRI MKUU: SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 787 ZA MIKOPO YA WANAFUNZI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika mwaka 2024/2025, Serikali imetenga kiasi cha sh. bilioni 787 kwa ajili ya kukopesha wanafunzi 250,000 wakiwemo 80,000 wa shahada ya kwanza ambao ni...
View ArticleNMB Sabasaba kuhudumia Waoneshaji 3,000, Wananchi 800,000 kwa siku 16
Kaimu Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa Benki ya NMB Ferdinard Mpona (kushoto) akitoa huduma kwa baadhi ya wateja waliofikia kwenye tawi dogo la NMB lililopo kwenye maonyesho ya 48 ya Biashara ya...
View ArticleRAIS WA APIMONDIA APONGEZA UZURI WA HIFADHI YA NGORONGORO; ASEMA NI UZOEFU...
Na Mwandishi wa NCAARais wa Shirikisho la wafugaji Nyuki Duniani (Apimondia), Dkt. Jeff Petiz, ametembelea eneo la hifadhi ya Ngorongoro na kutoa pongezi kwa uongozi wa NCAA kwa jitihada za utunzaji wa...
View ArticleMSOGA MARATHON YAFUNGUA MILANGO KWA WANARIADHA
NA TULLO CHAMBO, RTMSIMU wa Kwanza wa Mbio za Msoga Half Marathon 2024, umefanyika kwa mafanikio makubwa huku Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete akifungua milango kwa wanariadha wa...
View ArticleNHIF IKO KITAANI KWAKO MBAGALA WEMEITIKA
Kaimu Meneja wa NHIF Ofisi ya Mkoa wa Temeke, Canon Luvinga akiwahamasisha Wananchi kujiunga na bima ya afya kwenye wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya NHIF Kitaani Mwako katika viwanja vya Mbagala Zakhem...
View ArticleSERIKALI KUWANUSURU KIUCHUMI WARAIBU WA DAWA ZA KULEVYA - MAJALIWA
*Azindua Sera ya Taifa ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za KulevyaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza Wizara za Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu zikae...
View ArticleRais Samia achangia Milioni 50 Ujenzi wa Madarasa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa mashindano ya kusoma Kurani,Ismail Khalid (kushoto),yaliyofanyika wakati wa Hafla ya Kumbukumbu ya...
View ArticleWAJASIRILIAMALI WAIOMBA SERIKALI KUWAPATIA ELIMU YA UJASIRIAMALI
NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Wajasiriamali wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili waweze kuzalisha bidhaa zenye ubora, ambazo...
View ArticleRais Dkt. Samia ampokea rasmi Msigwa wa CHADEMA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipeana mkono na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ambaye amejiondoa kutoka chama hicho na kujiunga rasmi...
View ArticleWALIOTAFUNA FEDHA ZA MIKOPO YA HALMASHAURI SINGIDA KUSAKWA
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego akizungumza kwenye kikao Maalum cha kujadili hoja za CAG katika Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Singida. Na Mwandishi Wetu Serikali ya mkoa wa Singida...
View ArticleIMEBAKI STORI KWA WANA SIMBA
Na Mwandishi Wetu Clatous Chota Chama amekuwa kwenye rekodi ya wachezaji waliocheza klabu mbili kubwa nchini za Simba na Yanga baada ya uhamisho wake kukamilika rasmi hii leo kuelekea Jangwani.Chama...
View ArticleUTT AMIS yatoa elimu ya Uwekezaji wa Pamoja kwa Wananchi waliofika katika...
Baadhi ya wananchi wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Mkuu Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Uwekezaji ya UTTAMIS, Martha Mashiku kuhusu uwekezaji unaofanywa na taasisi hiyo kupitia mifuko yake ya...
View ArticleNargis aifagili chai ya Tanzania
Na Mwandishi Wetu MISS Tanzania namba tatu mwaka 2003, Nargis Mohamed ametembelea Banda la Chai kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF-2024) na amevutiwa na...
View Article