Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia aridhia ombi la kutenga Siku Maalum ya Mashirika ya Umma kutoa Gawio

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akipokea Gawio la Sh. Bilioni 57.3 kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Dkt. Edwin Mhede (kushoto)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia apokea Gawio la Bil. 637, Msajili wa Hazina asema kiasi...

NA MWANDISHI WETUWAKATI Serikali ikipokea kiasi cha Sh. Bilioni 637.122, kama gawio na michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma, Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu, amesisitiza kuwa kiasi hicho sio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENYE ULEMAVU, WANAWAKE, VIJANA WAHAMASISHWA KUJIANDIKISHA KUWA WAPIGA KURA

Mjumbe wa Tume, Jaji (Rufaa) Mhe. Mwanaisha Kwariko akizungumza wakati akifungua mkutano wa Tume na wawakilishi wa watu wenye ulemavu, uliofanyika leo tarehe 11 Juni, 2024 jijini Dar es Salaam ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TCB BENKI IMETUNUKIWA KWA MAGEUZI MAKUBWA YALIYOSHUHUDIWA KATIKA TAARIFA YAKE...

 DAR ES SALAAM TCB Benki imetunukiwa tuzo kwa kuwa moja ya taasisi zilizofanya mageuzi makubwa ya kiutendaji na kiuendeshaji kama ilivyoonekana katika taarifa yake ya fedha ya robo ya kwanza ya mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakulima Chunya waomba kujengewa maghala ya nafaka

Na Mwandishi Wetu, MbeyaWAKULIMA wa mazao ya nafaka wilayani Chunya mkoani wa Mbeya wameiomba serikali kuwajengea maghala ya kuhifadhia mazao  ili kuepuka uuzaji holela wa mazao yao kwa wachuuzi kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGEUZI YA MASHIRIKA YA UMMA NI CHACHU YA MAENDELEO

Na Mwandishi Wetu Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt Samia Suluhu Hassan akipokea  gawio kutoka mashirika na taasisi za umma na kampuni ambazo Serikali ina Hisa chache, Msajili wa Hazina Nehemiah...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubadhirifu wa kutisha Msikitini

Na Mwandishi Wetu, Mwanza WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini nchini (RITA), imebaini ubadhirifu mkubwa wa kiasi cha shilingi bilioni moja za Kitanzania katika Msikiti wa Ijumaa uliopo Jijini Mwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kilimo tishio kwa watoto

Na Selemani MsuyaWAKATI Juni 12, 2024 dunia ikitarajia kuadhimisha siku ya utumikishwaji wa mtoto duninia, takwimu zinaonesha zaidi ya watoto milioni 5 wanatumikishwa nchini Tanzania, huku watoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRENI YA UMEME KUANZA SAFARI YAKE KESHO

Na Magrethy Katengu, Dar es SalaamShirika la Reli Tanzania (TRC) limezindua  kampeni ya uelewa kuhusu kuanza kwa  huduma za usafiri wa Treni katika kiwango Cha kimataifa (SGR) zitakazoanza mwisho wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYOMBO VYA HABARI NGUZO MUHIMU UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tume na wahariri wa vyombo vya Habari kuhusu  maandalizi ya Uboreshaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINE ZA KISASA ZA KUHESABIA FEDHA KUTUA NCHINI

Mkurugenzi wa Kampuni ya Avowal (T) Ltd, Mbogolo Kushaha (kulia), akipokea hati ya usambazaji na uuzaji wa mashine za kisasa za kuhesabia fedha kwenye mabenki na taasisi za kifedha na vifaa vyake toka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIRI YA GAWIO KUBWA TFS HII HAPA

Na Selemani Msuya KAMISHNA wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma ya Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo ametoa siri iliyosababisha washike nafasi ya tatu kwa taasisi za serikali zilizotoa gawio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT WAZALENDO : TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA INAVUNJA...

Na Magrethy Katengu, Dar es SalaamCHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema kitendo cha Wizara Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kinavunja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB Yatoa Gawio la Tsh Bilioni 57.4 kwa Serikali

Benki ya NMB imetoa gawio la Tsh. Bilioni 57.4 kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INEC yawataka wanasiasa kusoma sheria ya uchaguzi

Na Selemani Msuya WAKATI vyama vya siasa vikiitaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa, tume hiyo imevishauri vyama hivyo vikasome Kifungu cha 10 (1) (C) cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mkuu Dk. Biteko aipongeza EWURA

 Na Jasmine Shamwepu, DodomaNAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dkt. Doto Biteko amezindua taarifa za utendaji katika Sekta ndogo ya Umeme, Gesi Asilia na Mafuta kwa mwaka 2022/2023 huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI SILAA ATOA SIKU 90 WATHAMINI KUWA NA MIHURI YA KIDIJITI

Na Jasmine Shamwepu, DodomaWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa ametoa siku 90 kwa Bodi ya Usajili ya Wathamini (VRB) kuzindua mihuri ya Wathamini ya kisasa yenye alama za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MAGOTI ASHIRIKI MAZISHI YA MWENYEKITI WA BAMITA

NA VICTOR MASANGU, KISARAWE Mkuu mpya  wa Wilaya ya Kisarawe Mh. Petro Magoti  leo Jumamosi ameungana na mamia ya  wananchi wake wa kutoka sehemu mbali mbali za Kisarawe kwa ajili ya kushiriki mazishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFAHAMU MSEMAJI MPYA WA SERIKALI THOBIAS MAKOBA

Thobias Makoba, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali. Bw. Makoba anachukua nafasi ya Mobhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine. Kabla ya Uteuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Akiba Benki yatoa elimu ya fedha kwa wadau

Na Mwandishi WetuBenki ya, Akiba imesema itaendelea kuunga mkono serikali kwa kutoa elimu ya fedha huku ikiboresha huduma zake nchi nzima ili kusaidia kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchochea  kukua...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>