Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA BODI YA WAKURUGENZI WA GPE...

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE), Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na Makamu Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia ashiriki Mkutano wa Kilimo UAE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mkutano wa Afya unaohusu magonjwa yasiopewa kipaumbele, Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) tarehe 03...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAFUATILIA UADILIFU KATIKA UTOAJI HUDUMA ZA ARDHI- MHE PINDA

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geofrey Pinda akizungumza katika Kongamano la masuala ya Ardhi Tanzania tarehe 4 Desemba 2023 mkoani Morogoro. Na Munir Shemweta, WANMM MOROGORO...

View Article

WAZIRI MKUU AWASILI KATESH, ATOA POLE AENDA KUKAGUA ENEO LA TUKIO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasili wilaya ya Hanang mkoani Manyara na kukutana viongozi wa mkoa huo na wa Serikali na kupokea taarifa ya hali halisi ya tukio la maafa lililotokea jana na kusababisha...

View Article

Tume ya Tehama yapeleka wabunifu 7 kongamano la Afrika

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuhakikisha inakuza ubunifu kwa kampuni changa za Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini, Tume ya Tehama (ICTC) imefanikisha safari ya wabunifu saba kwenda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTCL YANOGESHA 'TWENZETU KILELENI2023'

Na Andrew Chale, KilimanjaroSHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa huduma ya bure ya intaneti kwa washiriki watakaopanda mlima Kilimanjaro katika kipindi cha kampeni ya twenzetu Kileleni2023...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB yang’ara Tuzo za Mwajiri Bora mwaka 2023

Na Mwandishi WetuBenki ya NMB imenyakua tuzo nne kwenye shindano la mwaka huu la Mwajiri Bora wa Mwaka (EYA 2023), ukiwemo ushindi wa pili kwenye mshindi jumla wa tuzo hizo zilizoandaliwa jana jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB Yapokea Tuzo Nne za Mwajiri Bora Tanzania 🏆

Mafanikio makubwa tunayoendelea kuyapata yanatokana na bidii pamoja na ueledi wa wafanyakazi wetu na tunafuraha kutambulika kama Mwajiri Bora nchini Tanzania katika Tuzo zilizotolewa na Chama cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCB yaleta Kapu la MwalimuSanta sokoni

  Meneja Masoko wa Mwalimu Commercial Bank (MCB), Anna Mbajo akizungumza jijini Dar es Salaam leo, kuhusu Kapu la MwalimuSanta katika msimu huu wa Sikukuu. Kushoto ni Elilumba Kinyau kutoka Idara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADINI NI UTAJIRI....KAZI IENDELEEE

Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali (aliyechuchumaa) akipokea maelekezo kutoka kwa Waziri wa Madini, Anthony Mavunde. Kazi Iendelee.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEKEZENI KATIKA MIRADI YA UZALISHAJI KUKUZA AJIRA; MHANDISI. CYPRIAN LUHEMEJA

 NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhandisi Cyprian Luhemeja, ameelekeza Menejimenti ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi...

View Article

GAMONDI AISUKA UPYA SAFU YA ULINZI

NA MWANDISHI WETUMkuu wa Benchi la Ufundi wa Yanga SC Miguel Gamondi, ameweka wazi kuwa watafanyia kazi makosa katika mechi za kimataifa upande wa ulinzi ili kutoruhusu mabao mengi ya kufungwa.Hayo...

View Article

BENCHIKA APEPEA TUZO ZA CAF

NA MAWANDISHI WETUKocha wa Simba, Abdelhak Benchikha ameingia katika orodha ya makocha watatu bora wanaowania tuzo za CAF 2023 ambazo zitafanyika Jumatatu Desemba 11.Benchikha anachuana na Walid...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAYELE, TAU, SHALULILE JINO KWA JINO MVP CAF

NA MWANDISHI WETUMshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele ambaye kwasasa anakipiga Pyramids ya Misri ameingia tatu bora katika tuzo ya mchezaji wa mashindano ya Shirikisho la Soka Barani Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CEO NMB ASHIRIKI MKUTANO WA BENKI YA DUNIA ZANZIBAR

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akizungumza na Rais wa Benki ya Dunia, Ajaypal Singh Banga.Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna ameshiriki uzinduzi wa Mkutano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njaa yakumba milioni 300

Na Selemani Msuya WATU milioni 333 barani Afrika wanakabiliwa na njaa na utapiamlo, hivyo imeelezwa kilimo kinachozingatia Sayansi na Teknolojia ndivyo pekee vinaweza kuwaokoa na kadhia hiyo.Hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATAMBULIKA KIMATAIFA KWA MIFUMO BORA YA USIMAMIZI WA MASUALA YA...

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa kazi (OSHA) Khadija Mwenda, alipokuwa akitoa Taarifa ya Utendaji na mafanikio OSHA ndani ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNYAMA MAWINDO TENA MOROCCO

Na John MarwaWawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAFCL Simba SC leo wanashuka dimbani kumenyana na wababe wa Soka la Morocco katika mchezo wa tatu wa hatua ya makundi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAIDI YA BILIONI 13 ZALETA MIRADI MBALIMBALI WILAYA YA NKASI

NA DENIS MLOWE, NKASI  HALMASHAURI ya Wilaya Nkasi Mkoani Rukwa Katika kipindi cha mwaka 2022/2023 imepokea zaidi ya shilingi bilioni 13.02  kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Chana azindua mpango wa usajili wa watoto chini ya miaka 5 Dar

Waziri wa Sheria na Katiba,Balozi Dkt. Pindi Chana akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa kuanza zoezi la usajili wa watoto chini ya miaka mitano kwa mkoa wa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki....

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>