Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAIFUNDISHA SOKA MGAMBO JKT. YAIFUNGA 6-0

  Golikipa wa Mgambo JKT, Kulwa Manzi akiwa chini baada ya kupishana na mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe (kulia) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viingilio Redd’s Miss Tanzania vyatajwa *Mike Ross, Lady Jaydee kutumbuiza

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino Agency, Hashimu Lundenga akifafanua jambo wakati akitangaza viingilio vya shindano la Redd’s Miss Tanzania jijini Dar es Salaam jana, ambapo VIP, itakuwa Sh. 100,000 na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaagiza Ununuzi wa Mahindi Safi na Bora

Na Mwandishi WetuWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. William V. Lukuvi (pichani)amewaeleza wakala wa Hifadhi ya Chakula NFRA kuzingatia ubora na usafi wa ununuzi wa mahindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU YA MIAKA 6 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN

Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)  Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika mitano sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925-18/09/2007)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKOMAA NA MAWAZIRI

Sasa kuongozana na Mawaziri mguu kwa mguuAsema kazi yake ya kuijenga chama inahitaji watu makini kama mtu hawezi kasi yake awapishe.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa kwa kahawa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bia ya Ndovu yaanzisha kampeni kuwalinda tembo

4..Meneja wa kinywaji cha Ndovu special Malt Pamerla Kikuli akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya udhamini wa bia ya ndovu kwenye kilele cha siku ya siku ya Tembo kitaifa...

View Article

MIL 58/- ZAPATIKANA MECHI YA SIMBA, MGAMBO

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Mgambo Shooting Stars iliyochezwa jana (Septemba 18 mwaka huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 58,365,000.Watazamaji 10,241...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Zanzibar Dk.Shein azungumza na Katibu Mtendaji SADC

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt.Stergomena L.Tax,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi kumuaga  Rais, baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADHI YA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 20, 2013

©2013 theNkoromo Blogwww.bashir-nkoromo.blogspot.com

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAIPIGA JEKI ROCKY CITY MARATHON 2013

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo nchini BMT, Dioniz Malinzi akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa mbio za Rocky Marathon.  Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ LATOA UFAFANUZI KUHUSU AJIRA

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANOSimu ya Upepo  : “N G O M E”                Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo  :                              DSM  22150463...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CCM DMV JIJINI WASHINGTON D.C.

   Viongozi CCM DMV wakijadiliana jambo kabla ya kikao cha Faragha na Mhe. Rais Kikwete leo Sept 19,2013 jijini Washington DC, Marekani. Picha na SwahilitvPicha na Swahilitv Mh. Rais Jakaya Mrisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE BUSEGA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lamadi kwenye Viwanja vya Kisesa wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu na kuwaambia wananchi kuwa muda wa walimu kuendelea kupata tabu umeisha...

View Article


Mwanakijiji Kalenga awakumbuka wajawazito Hospital teule ya Iringa awapa...

Na  Francis Godwin ,IringaMKAZI  wa  Kalenga wilaya ya  Iringa  mkoani  hapa Bw Jackson Kiswaga ametoa msaada  wa  vitenda viwili vyenye  thamani  ya Tsh milioni 3.6 kwa  Hospital teule  ya wilaya  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIKAKATI YA KUBORESHA SHULE ZA JUMUIYA YA WAZAZI YAANDALIWA

Katibu wa CCM wilaya ya muheza mkoani Tanga, Josephine Thomasi (aliyesimama) akimkaribisha Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoani humo, Dk.Edmund Mndolwa, wakati wa ziara yake ya kutoa shukrani kwa...

View Article


VINARA SIMBA KUWAKABILI MBEYA CITY VPL

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inaingia raundi yake ya tano kesho (Septemba 21 mwaka huu) kwa mechi huku vinara Simba wakiwakaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Uwanja wa Mkwakwani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AZINDUA MADRASA HIDAYA-TUL ISLAMIYA KIDOTI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekliti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuzindua Madrasa Hidayatul Islamia katika  Kijiji cha Kidoti Wilaya  ya Kaskazini A Unguja,(kulia) Mkuu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAPINZANI KUFANYA MKUTANO MKUBWA JANGWANI LEO, POLISI WAZUIA MAANDAMANO YAO

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam kwa ajili ya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said...

View Article

WANAHARAKATI WATAKIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>