Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONGAMANO LA WILDAF LA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

 Mkurugenzi wa Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WILDAF), Dk Judith Odunga akizungumza na washiriki wa kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lililofanyika Dar es Salaam....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANISPAA YA UBUNGO YABAINISHA MPANGO WA KUKUZA UCHUMI NA KUPUNGUZA UMASIKINI...

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe Boniface Jacob akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake. (Picha zote na Nassir Bakari).Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe Boniface Jacob...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAMZIKA MAMA MDOGO WA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakari Zuberi, akiongoza sala ya maiti ya mama mdogo wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete mjini Bagamoyo. (Picha na Said Powa). Waziri Mkuu mstaafu, Kassim...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YATOA SIKU 14 KWA WADAIWA BILI ZA UMEME KULIPA, VINGINEVYO HUDUMA YA...

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidSHIRIKA la Umeme Tanzania, (TANESCO), limetoa siku 14 kwa Wateja wake wote linalowadai kulipa madeni yao, vinginevyo litasitisha utoaji wa huduma ya nishati kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Pasaka kufanyika Uwanja wa Uhuru

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha Pasaka, Alex Msama, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya tamasha hilo litakalofanyika Aprili 16 kwenye Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD

Naibu Mkurugenzi Mtendaji Huduma Shirikishi wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa tiba kwa uongozi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road. Kushoto ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI MJINI DODOMA

 Rais John Magufuli akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma. Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, pamoja na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. (Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SSRA WAADHIMISHA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MISAADA HOSPITALI YA...

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wakiwa na baadhi ya vifaa kwa ajili ya kukabidhi Hospitali ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAHAMASISHA WAKULIMA

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Tumaini Magesa, akizungumza na viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao (AMCOS), wakati wa uhamasishaji wakulima wilayani humo. Mpango huo umeanzishwa na NSSF kwa ushirikiano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB BENKI YAFUNIKA TULIA MARATHON JIJINI MBEYA

  Naibu Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson akipokelewa na Mkurugenzi wa Masoko, Tully Mwambapa, wakati wa mashindano ya mbio za Tulia Marathon zilizofanyika kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya leo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YADHAMINI MBIO ZA TULIA MARATHON

Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF limedhamini na kushiriki katika mbio za Tulia Marathon zilizofanyika mkoani mbeya Machi 11. Mgeni rasmi wa mbio hizo   mh. Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Nape...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli akipokewa na Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana alipowasili Makao Makuu ya CCM, mjiniDodoma leo kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM. Mwenyekiti wa CCM, Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA MBUNGE WA MBUNGE LEMA

 Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), akiongea na wananchi kwenye Uwanja wa shule ya msingi Ngarenaro jijini Arusha. (Picha na Grace Macha)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA NJIA YA MSALABA KATIKA...

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akijumuika na waumini wengine katika misa ya Njia ya Msalaba katika Kanisa Kuu la Katoliki la Mtakatifu Paulo wa Msalaba mjini Dodoma.Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALINZI KUFUNGA KOZI YA MAKOCHA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi kesho Jumatatu, Machi 13, 2017 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya kufunga kozi ya ukocha ngazi ya ‘Intermidiate’ kwa...

View Article


GERMANY REQUESTS FOR TANZANIA’S SUPPORT FOR UN SECURITY COUNCIL SEAT

Staff Writer, Tanzania Information services- MAELEZOGermany has requested Tanzania to support its candidacy for the United Nations’ Security Council seat at the elections scheduled for June...

View Article

KAMPUNI YA OVANS YAKARABATI UWANJA WA MICHEZO WA SHULE YA MSINGI MBINGA

NA STEPHANO MANGO,MBINGA KATIKA kuhakikisha kwamba jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano hapa nchini zinaendelea kuungwa mkono, Kampuni ya Ovans Construction Limited iliyopo...

View Article


DC Chunya awataka wauazaji wa viroba kujisalimisha

NA KENNETH NGELESI, CHUNYAMWENYEKITI wa kamati  ya Ulinzi na Usalama na Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Rehema Madusa amewataka wafanyabiashara wote walioficha pombe kali zilizofungashiwa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGWATU AWAAGIZA WATUMISHI KUZIBA MIANYA YA UVUJAJI MAPATO VIVUKO VYA...

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu akijibu swali la mmoja wa wafanyakazi wa vivuko vya Kigongo/ Busisi wakati alipokua akisikiliza changamoto na kero zinazowakabili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AFUNGUA SEMINA ELEKEZI YA MABADILIKO NDANI YA CHAMA KWA WENYEKITI NA...

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akifungua semina elekezi kuhusu mabadiliko ndani ya Chama, kwa Wenyeviti na Makatibu wa mikoa na wa wilaya na watendaji, leo katika Ukumbi wa Sekretarieti katika...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live