Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE ALINANOSWE ANAWATAFUTA NDUGU ZAKE WALIOPOTEZANA MIAKA KUMI ILIYOPITA

 Mzee Alinanoswe Aspain Mwambapa mzaliwa wa Tukuyu Mbeya anawatafuta ndugu zake wakiwemo kaka zake na dada zake  baada ya kupotezana nao kwa Zaidi ya miaka Kumi iliyopita.Kwa mujibu wa Mzee huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio yaliyojiri kwenye Kiwanja cha Ndege cha Bukoba

 Baadhi  ya madarasa ya Shule ya Msingi Tumaini iliyopo kata ya Kashai, wilaya ya Bukoba Mjini ikisubiri kuhamishwa kutokana na usalama baada ya kuwa karibu na eneo la Kiwanja cha Ndege cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAFFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUCHAPA KAZI KWA BIDII

Mkuu wa wilaya ya Longido mkoa wa Arusha, Godfrey Chongolo akizungumza wakati wa zira ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Mh. Suleiman Jaffo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA GATI NAMBA 2 KATIKA BANDARI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ataka benki zipunguze riba

p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; font: 14.0px 'Times New Roman'; min-height: 16.0px} p.p2 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; font: 48.0px 'Times New Roman'} p.p3 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px;...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE PIA AWEKA JIWE LA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Alhaji Aliko Dangote mara baada ya kuwasili kiwandani hapo kwa ajili  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ahadi za Rais Dkt. Magufuli zatekelezwa katika ziara yake mikoa ya Kusini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki la Watakatifu Wote Jimbo la Mtwara Fr. Patrick Mwaya mara baada ya mahubiri katika Kanisa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMAINGO YATOA ELIMU BURE WAKAZI DAR KUHUSU UJASIRIAMALI

 Mkurugenzi wa Taasisi  ya Namaingo Business Agency Tanzania Limited, Ubwa Ibrahim akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika Makao Makuu ya Taasisi hiyo, Ukonga, Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AHUTUBIA WANANCHI WA MTWARA KATIKA VIWANJA VYA MASHUJAA MKOANI MTWARA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Mtwara katika siku ya mwisho wa ziara yake katika Viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara.Rais wa Jamhuri ya Muungano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AIPA "MENO" TANESCO. ZANZIBAR NA TAASISI NYETI SASA KUKATIWA...

NA K-VIS BLOGRAIS John Pombe Magufuli, amelipongeza Shirika la Umeme Nchini, (TANESCO) kutokana na kasi yake ya kusambaza umeme nchini hususan vijijini.Rais aliyasema hayo Machi 5, 2017 wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA CHEMBA YA BIASHARA, VIWANDA NA KILIMO AHIMIZA WATANZANIA KUTUMIA...

Rais  wa Chemba ya Biashara,viwanda na kilimo, Ndibalema Mayanja, amewataka wananchi na wafanyabiashara wa Mikoa ya Mwanza na Kagera kuchangamkia soko la awali la hisa za TCCIA Investment...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO

 Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini Dkt katika picha ya pamoja na viiongozi mbalimbali baada ya uzinduzi  rasmi ya Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa  Ngerengere...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais TCCIA awashika sikio Kagera, Mwanza

 Rais wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA), Ndibalema Mayanja, akizungumza kwenye mkutano na wadau mbalimbali wa biashara jijinMwanza. Kushoto ni mshauri wa TCCIA mkoa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo, Malvik wageukia huduma bima ya afya

 Mkuu wa Huduma za Kifedha kwa Simu wa Tigo, Ruan Swanapoel, akizungumza katika uzinduzi wa huduma ya BimaMkononi. Kushoto ni Meneja wa Milvik Tanzania, Tom Chaplin. Mkuu wa Huduma za Kifedha kwa Simu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. NDALICHAKO AZINDUA BODI MPYA YA MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA (TEA)

 Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako akiongea na wajumbe wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi huo ambapo ameielekeza Bodi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAUNI ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA ABEID AMANI KARUME, AAGIZA...

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na Maafisa wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar, wakati wa ziara ya kukagua udhibiti wa uingiaji wa Dawa za Kulevya Visiwani humo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA GIRL GUIDES TEMEKE YA KUMUENZI MWASISI WA TGGA DUNIANI

 Baadhi ya wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari wakiwa katika matembezi ya Maadhimisho ya Chama Cha Girl Guides Tanzania (TGGA) ya kumuenzi mwanzilishi wa chama hicho Duniami, Roden Barden Powell...

View Article


Operesheni ya Viroba Yaibua Wafanyabiashara Wasiokuwa na Vibali vya TFDA

Na: Lilian Lundo – MAELEZOOperesheni ya kuondoa pombe kali zilizofungwa katika vifungashio vya plastiki (viroba) inayoendelea nchi nzima imeibua wafanyabiashara wanaofanya biashara ya pombe bila kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIFUNDISHA SOKA KILUVYA UNITED, YAIPIGA 6-1

p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; font: 18.0px Times}  Saimon Msuva akiwania mpira na beki wa Kiluvya United, Aloyce Nkya.  Beki wa Kiluvya United, Aloyce Nkya (kushoto), akimtoka, Hassan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA PROF. MBARAWA KWENYE KIVUKO KIPYA CHA MV KAZI KITAKACHOTOA HUDUMA...

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mh.Profesa Makame Mbarawa akikagua mojawapo ya injini ya kivuko cha MV KAZI wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kivuko hicho. Kulia kwake...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live