Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABA WAFARIKI DUNIA KWA KUSOMBWA NA MAJI, RPC ATOA TAHADHARI

 Wananchi waliokubwa na mafuriko katika Kijiji cha Timbolo Kata ya Sambashe mkoani Arusha. Wananchi wa Kijiji cha Timbolo Kata ya Sambashe mkoani Arusha  wakiendelea na juhudi za kuunasua mwili wa bibi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Akutana na Rais wa Ivory Coast Mheshimiwa...

Rais Mstaafu na Mjumbe Maalum wa Kamisheni ya Kimataifa ya Elimu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jana tarehe 23Februari 2016 amekutana na kufanya mazungumzo  na Rais wa Ivory Coast, Mhe. Alassane Ouattara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE RITTA KABATI KUSAIDIA UJENZI WA OFISI MANISPAA YA IRINGA

MBUNGE wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akimkabidhi mifuko ya saruji kwa ajiri ya ujenzi wa jengo la ofisi ya chama katika kata ya Ruaha kwa mwenyekiti wa...

View Article

KIPYENGA CHA UCHAGUZI DRFA CHAPULIZWA,MCHAKATO KUANZA RASMI KESHO

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA,imetangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi wa kuwapata viongozi wa chama hicho watakaokiongoza kwa kipindi kingine cha uongozi.Mwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA, MBOWE WASHUHUDIA YANGA WAKIADHIBIWA 2-1

Mashabiki wa soka wakiingia uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo kushuhudia pambano la Simba na Yanga. Simba imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande).p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; font:...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MUSEVENI AWASILI DAR ES SALAAM KWA ZIARA RASMI YA KISERIKALI YA SIKU MBILI

Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni akipokea shada la maua mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kuanza ziara rasmi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Thobias Andengenye kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, tukio lililofanyika Ikulu jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIMIKAJI WA MIFUMO YA UMEME, TEHAMA, VIYOYOZI PAMOJA NA USHAURI WA KIHANDISI...

Jengo Jipya la Bodi ya Mfuko wa Barabara lililopo mjini Dodoma ambako Idara ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) imetoa ushauri wa kihandisi katika usimikaji wa mifumo ya TEHAMA, Umeme,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI CHAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUZUIA VUMBI KWA...

 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, akipokea vifaa vya kuzuia vumbi kwa askari wa usalama barabarani  kutoka kwa msamaria mwema, Tahir Othman (kulia) ,aliyejitolea vifaa hivyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIWANI WA BUGURUNI AMEWAAGIZA VIONGOZI WA KATA KUWAKAMATA NA KUWACHUKULIA...

Diwani wa Kata ya Buguruni,Adamu Fugame (Cuf) akishirikiana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala,Msongela Palela na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,Edward Mpogolo (kulia) wakifanya usafi katika maeneo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS YOWERI MUSEVENI AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU MBILI NA KUREJEA NCHINI KWAKE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA ASHINDA KILI MARATHON 2017

 Mshindi wa kwanza wa Kilomita 21 ya Kilimanjaro Marathon yaliyozaminiwa na Tigo, Mtanzania, Emmanuel Giniki, akimaliza mbio wakati wa mashindano yaliofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro kwa udhamini wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKUNA MABADILIKO YA UTAWALA ZANZIBAR: BALOZI SEIF IDI

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akitoa salamu katika hafla ya makabidhiano ya  vifaa vya Michezo kwa Timu zinazoshiriki Mashindano ya Kombe la Jimbo Unguja hapo ukumbi wa CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK.SHEIN AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO

Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa majimbo ya Unguja CCM na Vijana wakiwa katika hafla ya kukabidhi vifaa vya Michezo vilivyotolewa na Mhe,Mohamed Raza Daramsi Mwakilishi wa Jimbo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAFUTA RUFAA ZILIZOFUNGULIWA NA SERIKALI DHIDI YA LEMA

Wakili wa mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, Peter Kibatala, akiwafafanulia jambo viongozi wakuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), baada ya mahakama ya Rufaa kufuta rufaa mbili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAISHUKURU AfDB KUKUBALI KUFADHILI MIRADI YA UJENZI WA BARABARA NA...

Na Benny Mwaipaja, WFM, Dar es SalaamWaziri wa Fedha na Mipango ameishukuru Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa kukubali kuendelea kufadhili miradi ya maendeleo ya kipaumbele hususani ya ujenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA ILALA AFUNGUA RASMI DARAJA LA BONYOKWA-KINYEREZI

 Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko, akihutubia wananchi baada ya kufungua rasmi  daraja linalounganisha Kata ya Bonyokwa na Kata ya Kinyerezi katika Manispaa ya Ilala,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA JESHI LA ULINZI TANZANIA ALA KIAPO CHA UADILIFU KWA VIONGOZI WA UMMA

 Kamishna wa Maadili kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela(wapili kushoto) akimkaribisha Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Venance Salvatory...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPUNI YA BINTI FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA...

  Mkurugenzi wa Taasisi ya Binti Foundation, Johari Sadiq, akimkabidhi vifaa vya shule Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Mwananyamala Kisiwani, Tuwaje Mohamed kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma...

View Article

VITA YA DAWA ZA KULEVYA ZANZIBARA YASHIKA KASI

Na Talib Ussi,  ZanzibarMaafisa 15 wa jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharbi Unguja wanatuhumiwa na kushiriki katika biashara ya madawa ya kulevya Visiwani Zanzibar.Kauli hiyo ilitolewa jana na mkuu wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>