Quantcast
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA ZAHANATI YA POLISI ZANZIBAR

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akipokea zawadi ya mfano wa mashua kutoka kwa mwakilishi wa kikundi cha ulinzi shirikishi cha shehia ya Stone Town, Saidi Mkweche wakati wa sherehe za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Washindi watatu wa Tigo “Miliki Biashara Yako” ibuka na Bajaji wapatikana

 1. Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga (kulia) akizungumza na mmoja wa washindi watatu wa "Miliki Biashara Yako" katika droo ya kwanza ya promosheni hiyo mapema jana.  Katikati ni Bi. Chiku Saleh,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA MAZISHI YA WANAJESHI LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, (wa tatu kulia) akijumuika na Vingozi na Waislamu wengine katika kuwaswalia  Merehemu Sgt. Shaibu Shehe Othman, na Cpl...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA MAKAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa wajumbe wa Chama cha  Makampuni ya Simu za mkononi na Bw. Manoj Kohli wa Airtel ambaye pia ni Mkurugenzi wa Pamoja wa chama hicho alipokutana nao kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KKKT Dodoma kutumia Mil.32.9 kumalizia Nyumba ya Askofu Ngowo

Askofu wa Dayosisi ya Dodoma Amoni Kinyunyu akiwa na Kamati ya kumalizia Nyumba ya Askofu Mstaafu Festo Ngowo.Na Bryceson Mathias, DodomaASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUTARU NA WANANCHI MKOANI ARUSHA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, (wa tano kutoka kushoto) akishiriki swala ya Magharibi na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wa Mkoani Arusha, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXIM BANK YAPATA CHETI CHA UTAMBUZI KWA KUFANIKISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Anthony Grant (kulia) akijadiliana na mabalozi wanaowakilisha nchi mbali mbali hapa Tanzania jijini Dar es Salaam jana baada kupokea cheti cha kutambua mchago wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahojiano na wadau wa GENN Radio (Kansas U.S.A)

Katika beti hii tunawakaribisha sana katika Mahojiano haya baina ya Jamii Production na wadau wakuu wa Global Entertainment and News Network (GENN) iliyopo Kansas City nchini Marekani.Katika mahojiano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOSE MOURINHO AZIDI KUMTEGA WAYNE ROONEY

KUALA LUMPUR, Malaysia“Nitawachagua wachezaji wa England katika kikosi changu kwa ajili ya timu ya taifa na nitawachagua wao kwa ajili ya kocha wa timu yao ya taifa. Nitafanya kila kitu kwa wachezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARCELONA: MAN UNITED INAPOTEZA MUDA TU!

BARCELONA, HispaniaChanzo cha ndani klabuni Nou Camp kimefichua kwamba, Rais wa Barca amesisitiza kuwa klabu yake haitomuuza kiungo wake Fabregas, hata kama Man United itatuma ofa ya tatu - baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AWASILI BUKOBA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU SITA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Kagera Mhe. Fabia Massawe baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Bukoba leo tayari kuanza ziara ya kikazi ya siku sita mkoani humo. Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWAHILI TV MTAANI KUNANI

Na Alex KassuwiKwa wanakijiji wenzangu, miaka 30 iliyopita nisingeliweza kuamini ninayo yaona na kuishi hivi sasa. Kwa kifupi tuliona waakija kijijini kama mapadri, wataalamu waa mashirika toka nje ama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANALYAKU-MWANZA MABINGWA BALIMI NGOMA KANDA YA ZIWA 2013.

 Mabingwa wa Mashindano ya Ngoma Kanda ya Ziwa yanayojulikana kwa Balimi Ngoma Festival 2013,kikundi cha Mwanalyaku kutoka Wilani Magu Mkoani Mwanza wakishangilia na Kombe mara baada ya kuibuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS YATUA UGANDA KUIVAA THE CRANES

 Wachezaji wa timu ya Taifa Stars na viongozi wao wakiwasili nchini Uganda kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya The Cranes.KAMPALA, UgandaTaifa Stars imewasili salama hapa Kampala tayari kwa mechi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI APOTEA AKIELEKEA SHULENI TANGU JUMATATU 22 MWEZI HUU

Pichani ni Mather Joseph mwenye umri wa mika 16. ni manfunzi wa Chuo cha ufundi cha St. Peter Parish aliondoka nyumbani akielekea shuleni huko Oysterbay akiwa amevalia ngua za shule sketi ya damu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA MAREKANI WAIPONGEZA TTCL KWA KUTOA HUDUMA BORA ZA MAWASILIANO...

  Kiongozi wa ujumbe kutoka ubalozi wa Marekani hapa nchini Bw.Jeff Shrader akitoa shukrani zake kwa uongozi na wafanyakazi wa TTCL alipotembelea makao makuu ya Kampuni hiyo. Afisa Mkuu wa Mauzo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzazi pasipo mipango unavyowatesa wanawake Kishapu

 Bi. Rejina Moshwa (37) mkazi wa Kijiji cha Isoso akizungumza na mwandishi wa habari kutoka Clouds FM, Aziz KindambaPaschal Kulwa Manyinzi (42) mkazi wa Kijiji cha Isoso akiwa katika picha na baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) WAFUTARI

 ais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akifuatana  na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Watu wa Zanzibar Abdullrahman Mwinyijumbe,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JICA YAIKABIDHI TANESCO TRANSFOMA MPYA

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme (Tanesco), Felchesmi Mramba amesema kuwa, asilimia 90 ya ukatikaji wa umeme nchini unasababishwa na miti kugusa nyaya.Mramba alisema hayo leo baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAYERN MUNICH YAICHAPA BARCELONA 2-0 NA KUTWAA KOMBE LA ULI HOENESS

 Daniel van Buyten (katika) akinyanyua juu Kombe la Uli Hoeness, ambalo Bayern Munich ilitwaa jana usiku baada ya kuichapa Barcelona ya Hispania kwa mabao 2-0.Wachezaji wa Bayern wakipozi kwa picha...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>