Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KATIKA SHULE YA SEKONDARI LUSWISWI...

 Meneja wa TTCL Mkoa wa Mbeya, James Mlaguzi akisoma taarifa ya msaada uliotolewa na kampuni hiyo katika shule ya Sekondari Luswisi. Mbunge wa Ileje aliyemaliza muda wake,Aliko Kibona akitoa shukrani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI

Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM na Mwanasheria wa siku nyingi, Emmanuel Tamila Makene (kulia) akipokea fomu za kugombea kuteuliwa kugombea kuteuliwa kuwania Ubunge Jimbo la Kinondoni katika uchaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Mapema wiki iliyopita Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilitembelea miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini ili kukagua utekelezaji wake. Miradi hiyo ni pamoja na Kituo cha kuzalisha samaki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASHERIA LUSAJO WILLY AJITOSA UBUNGE KINONDONI

 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akijaza akiwa na fomu yake mara baada ya kuchukua katika Ofisi Kuu ya CCM wilaya ya Kinondoni leo.  Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni...

View Article

HOMA YA MICHUANO YA KAGAME YAZIDI KUPAMBA MOTO

Homa ya michuano ya Kagame inazidi kupamba moto kufuatia vilabu mbalimbali zinazoshirki michuano hiyo kuanza kuwasili jijini Dar es salaam zikiwa na vikosi vyao kamili kwa lengo la kusaka Ubingwa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA SIERRA LEONE ATEMBELEA HOSPITALI YA KAIRUKI

 Waziri wa Kazi Viwanda na Ustawi wa Jamii wa Sierra Leone Dk. Methew Teambo akiwa Ndani ya chumba cha CT SCAN machine ya kisasa inayotumika kuchunguza maradhi mbalimbali ya binadamu alipotembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Maarufu wa Filamu Ajiunga na ACT Wazalendo

Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA NA AFC LEOPARDS, KIINGILIO BURE

Rais wa Simba, Evans Aveva akimkabidhi kadi mpya ya uanachama wa Simba msanii wa Bongo Move, Yvonne Cherrie 'Monalisa'  wakati wa hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mtendaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMON MPANJU AJITOSA KUGOMBEA JIMBO LA KAWE

Mwenyekiti wa wa Shirikisho la vyama vya Watu wenye ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) Amon Anastaz Mpanju ambaye pia alikuwa Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba Mpya amejitokeza hii leo sambamba na wana CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANASHERIA MAKENE AREJESHA FOMU KUGOMBEA JIMBO LA KINONDONI

Mwansheria na Kada wa Chama cha Mapinduzi, Emmanuel Makene (katikati) akiwa ameambata na mkewe Dk. Sarah Makene kurejesha fomu za kuomba ridhaa ya wana CCM Kinondoni kuteuliwa kugombea Ubunge katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa Habari Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini

Mwandishi wa Habari za Michezo na mdau wa maendeleo ya wilaya ya Handeni, Kambi Mbwana, mwenye fulana ya CCM, akikabidhiwa fomu ya kuwania Ubunge, Jimbo la Handeni Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBARA AKABIDHI BOTI ZA UVUVI KWA VIJANA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akimkabidhi Boti na Mshine yake Kiongozi wa Vijana Sita wa Kijiji cha Fujoni walioamua kuacha matumizi ya Dawa za kulevya.XXXXXXXXXXXXXXMakamu wa Pili wa Rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIKULUPI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE WA VITI MAALUM,VIJANA -MBEYA ,ATOA...

Bi. Chikulupi Njelu Kasaka Mgombea Ubunge Viti Maalum Vijana Mbeya Bi. Chikulupi Njelu Kasaka (Kushoto) akikabidhiwa Fomu ya Kuomba Ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge wa Viti maalum Vijana Mbeya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAANZA VIBAYA MICHUANO YA KAGAME YACHAPWA 2-1 NA GOR MAHIA

Golikipa wa Gor Mahia, Boniface Oluoch akiokoa penalti iliyopigwa na benki wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro'. (Picha na Francis Dande)Beki wa Gor Mahia ya Kenya, Sibomana Abouba akimzuia mshambuliaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI...

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA,KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA...

 Mhariri Msanifu wa Gazeti la Mtanzania,Khamis Mkotya akipokea fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge katika wilaya ya Chemba kutoka kwa Katibu wa Wilaya hiyo CCM,Asia Mohammed jana katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTEMVU APOKEA MSAADA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea...

View Article

Gharama za Udiwani, Ubunge zawaudhi watia Nia Dodoma.

Na Bryceson Mathias, Kilimani DodomaGHARAMA za Laki. 110,000/- kwa Fomu ya Udiwani, na Sh.600,000/- kwa Ubunge, zimewaudhi Watia Nia wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wasiokuwa na Kipato, kwamba kwa hatua...

View Article

KOCHA SIMBA KUZISOMA YANGA, AZAM KAGAME

NA CLEZENCIA TRYPHONEKOCHA Mkuu wa Klabu ya Simba Dylan Kerr amesema atahakikisha anaifuatilia michuano ya Kombe la Kagame iliyoanza kutimua vumbi juzi hasa zikishuka dimbani Yanga, Azam FC na KMKM za...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>