Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF IDD AWATAKA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WENYE KULETA MAENDELEO

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri  wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe Ustaadhi Kundi Choum Haji kutekeleza ahadi aliyoip[a...

View Article


Mwenyekiti wa Chadema akamatwa na Polisi

Na Bryceson Mathias, Kilosa, MorogoroMWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tawi la Mbigiri Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro, Maftaha Hamisi Shabani, amekamatwa na Polisi Dumila,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KIVULI WA ELIMU APINGA SERIKALI KUWATAKA WALIMU KUJIELEZAKWA WAKUU WA...

Waziri Kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lyimo (Chadema) akifafanua jambo jijini Dar es Salaam leo, kuhusu matatizo katika sekta ya elimu. Kushoto ni Katibu wa Bawacha, Grace Tendega. (Picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bayport Financial Services yazidi kuchanja mbuga, yazindua tawi la 80...

Na Mwandishi Wetu, IlejeTAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo kwa watumishi wa wa umma na kampuni zilizoidhinishwa, mwishoni mwa wiki ilizindua tawi lake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk. Slaa anguruma Marekani

Dk Slaa , mkewe Josephine na Meya wa Indianapolis Dk Slaa akitoa muhadhara.Dk Slaa, mkewe Josephine na wataalamu wa Katiba, Profesa  J.M Curtis na Dickson Ramsey.NA ANDREW MSECHUKATIBU Mkuu wa Chadema,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA, KUZIKWA DAR

MWANAMUZIKI wa nyimbo za asili na mtayarishaji wa vipindi vya radio, Chigwele Che Mundugwao, amefariki dunia leo saa moja asubuhi, akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa...

View Article

VACANCIES

 Dira Newspaper Co Ltd. publisher of Dira ya Mtanzania and Pata Habari is looking for motivated and highly experienced individuals to fill the position of:POSITION: EDITOR (4 POSTS)MAIN...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA SIKU YA HEDHI DUNIANI, MTANDAO WA HEDHI SALAMA WAENDESHA SEMINA...

 Kutoka kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambao pia ni watengenezaji wa Pads za Glory, Katikati ni Mlezi wa wanafunzi Hilda Minja na Sara Mugele ambaye ni Dean of...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHUANO SOKA JIMBO LA TEMEKE YAANZA KUTIMUA VUMBI DAR

Mchezaji wa Yombo Vituka Brighton Sapa (kushoto), akipambana na mchezaji wa  timu ya Kata ya 14, Rashid Kapate, wakati wa mechi ya fungua dimba ya Michuano ya Soka Jimbo la Temeke, Mtemvu Cup 2015, leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI WA 'TUMA PESA NA SimBanking' AKABIDHIWA GARI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi akizungumza katika hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa shindano la ‘Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’. Mkurugenzi Mtendaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO ANGURUMA TABORA

 Zitto akionyesha nguo za chama za Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Wilaya ya Urambo Bakari Humbe, aliyeamua kuhama Chama Cha Mapinduzi. (Picha na Said Powa)Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC YAANZA MAFUNZO YA UCHAMBUZI WA MIFUMO YA COMPUTER

Afisa Mchambuzi wa Mifumo ya Computer wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Amos Madaha akizungumza katika semina ya siku nne ya matumizi ya fomu mbalimbali za uandikishwaji wa wapiga kura (BVR) ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAIZINGIRA NYUMBA YA ASKOFU GWAJIMA, APANDISHWA KIZIMBANI LEO

 Nyumba ya askofu Gwajima ikiwa chini ya ulinzi wa Polisi wakati yeye mwenyewe akiwa ndani yeye na familia yake. Ulinzi uliimarishwa kila kona nyumbani kwa askofu Gwajima. Ulinzi mkali nyumbani kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA ACT MKOANI SHINYANGA

Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Anna Mngwhira, akiwahutubia wakazi wa mji wa Kahama Mkoani Shinyanga jana kwenye viwanja vya CDT,wakati wa mkutano wa chama hicho wakutafuta uungwaji mkono kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ASHIRIKI KATIKA BONANZA LA VILABU VYA JOGGING MKOA WA DAR ES SALAAM,...

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akianza mazoezi wakati akishiriki katika bonanza la Jogging lililoandaliwa na Kundi la Kaza Moyo Jogging Club la Ukonga Sitakishari ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msama afafanua yanayojiri Kituo cha Honoratha

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu taarifa za upotoshwaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusiana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU: UMOJA WETU NDIO UTATUFANYA TUSONGE MBELE

Waziri wa maliasili na utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na aliyewahi kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha, Joshua Kileo (Kulia) baada ya ibada katika Kanisa la KKKT usharika wa mjini Kati siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO, MWANZA

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha jijini humo. (Picha na Said Powa) Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa ACT-Wazalendo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa KKKT Askofu Dk Alex Malasusa amuingiza kazini Msaidizi wake Mch....

Mkuu wa KKKT Askofu Dk Alex Malasusa akimuingiza kazini Msaidizi wake Mch. Chediel Lwiza wakati wa Ibada iliyofanyika Kanisa Kuu la Azania Front jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wachungaji pamoja...

View Article

TFF YAPOKEA MAOMBI YA KAGAME CUP 2015

Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini TF, leo hii limepokea maombi toka Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), likiitaka Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano hayo ngazi ya...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>