Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

MICHUANO SOKA JIMBO LA TEMEKE YAANZA KUTIMUA VUMBI DAR

$
0
0
Mchezaji wa Yombo Vituka Brighton Sapa (kushoto), akipambana na mchezaji wa  timu ya Kata ya 14, Rashid Kapate, wakati wa mechi ya fungua dimba ya Michuano ya Soka Jimbo la Temeke, Mtemvu Cup 2015, leo kwenye Uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke Dar es Salaam. Katika mechi hiyo timu hizo zimetoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. (Picha na Bashir Nkoromo)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>