Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Star Times, Star TV watunishiana msuli

DAR ES SALAAM, TanzaniaMAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA), imeitaka Kampuni ya Sahara Media Group kurudisha chaneli yake kwenye mtandao wa StarTimes kabla ya  saa 10:00 jioni.Akizungumza na wandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDD'S MISS KINONDONI WAFANYA USAFI HOSPITALI YA MWANANYAMALA

Na Elizabeth JohnWAREMBO wanao wania taji la  Redds Miss Kinondoni 2013/2014, leo wamefanya usafi katika hospitali ya Mwananyamala pamoja na kujionea hali ilivyo mbaya kwa wagonjwa.Akizungumza baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA KUJADILI RASIMU YA KATIBA MPYA

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Kikao hicho kilikuwa cha siku moja na maalum kwa ajili ya kupokea rasimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri aichangishia KKKT Bwigiri Mil. 8

Na Bryceson Mathias, Bwigiri Chamwino IkuluNAIBU Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Agrey Mwanri, Jumapili 8, 2013, amechangisha Milioni 8 katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YASHIRIKI MAONYESHO BUNGENI

Waziri wa Nchi ya Ofisi ya Waziri mkuu (Sera,Utaratibu na Bunge), William Lukuvi akipata maelezo kutoka kwa ofisa wa benki ya NMB  Diana Kimaro mara alipotembelea banda la NMB katika maonyesho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA USALAMA WA CHADEMA APATA DHAMANA

Mkurugenzi wa Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, kabla ya kupata dhamana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAONYESHO YA MAKAMPUNI BUNGENI YAFANA

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mh William Lukuvi akipata maelezo toka kwa wafanyakazi wa TTCL. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Uratibu na Bunge) Mh William...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB YADHAMINI KONGAMANO LA WASOMI WA VYUO VIKUU NCHINI

Meneja wa Biashara wa benki ya CRDB tawi la UDOM, Danford Muyango akitoa mada kongamano la kimataifa la vyuo vikuu vya Afrika Mashariki kuhusu ujasiriamali, ubunifu na uongozi. Vijana wasomi walikutana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA KILL MUSIC TOUR 2013 LAZINDULIWA LEO

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa Kili Music Tour 2013 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kala Jeramiah na Nasssib Abdul 'Diamond'.  Msanii wa muziki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AAGANA NA BALOZI WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo Jumatano Juni 12, 2013 amekutana na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Klaus Peter Blandes, ambaye amefika ofisini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA MTANANGE WA KUKATA NA SHOKA KATI YA NMB NA WABUNGE UWANJA WA...

Timu ya Benki ya NMB ipo kwenye maandalizi makubwa ya mechi kati yao na wabunge ambayo itachezwa siku ya jumamosi kwenye viwanja vya Jamhuri  hapa Dodoma. Ili kufanikisha mtanange huo Benki ya NMB...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi wa Kike aliyepiga picha za utupu atimuliwa kazi

WP AmisaJeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imemfukuza kazi askari wake wa kike, WP Amisa, aliyekuwa akifanya kazi kituo cha Polisi Magomeni kutokana na utovu wa nidhamu.Kamanda wa Kanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKOSE IJUMAA HII NYUMBANI LOUNGE MIAKA 13 YA LADY JAYDEE KATIKA MUSIC

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TTCL ILIVYOSHIRIKI MAONESHO KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Steven Masele akiweka saini katika kitabu cha wageni baada ya kupata maelezo kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na TTCL. Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Sera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali iingilie Mahakama Zisiwafanye Wananchi Wasifanye Kazi

Na Bryceson MathiasUTAKAFITI nilioufanywa katika Mahahakama mbalimbali nchini, Ucheleweshaji wa Kesi na kutokuwepo kwa Taarifa Mahususi kuhusu kutohukumiwa kwa kesi, kunawafanya wananchi kupoteza muda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI AWAASA WASTAAFU WA NSSF

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori (kulia) na  Meneja Kiongozi, Uhusiano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMFUNGULIA MASHITAKA MSIGWA

*NI KWA KUMHUSISHA NA UJANGILI, BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU*ATAKA FIDIA SH. MILIONI 350PETER MSIGWA DAR ES SALAAM, TanzaniaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amefungua...

View Article


Mchawi wa kinachoitwa Umaskini wa Nchi yetu ni Nani?

Na Bryceson MathiasWATAWALA na hasa Viongozi walio wengi, wamekuwa wakidai nchi yetu ni Maskini jambo ambalo wananchi na wadau wa mambo ya kiuchumi na Sheria wanapinga kwamba si maskini, ila...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIPANGO YA MAZISHI YA MSANII LANGA KUFANYIKA MIKOCHENI

 Mipango ya mazishi ya msanii wa muziki wa Hip Hop, Langa Kileo inafanyika nyumbani kwao Mikocheni mtaa wa Ursino jijini Dar es Salaa, Msanii huyo wa wa Hip Hop alifariki dunia Juni 13 katika hospitali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI USIKU WA TUZO 'KTMA 2013 - KIKWETU KWETU'

 Mshindi wa tuzo tatu za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013, Kala Jeremiah (katikati) akitoa neno la shukrani. Kushoto ni Mtayarishaji D Classic aliyefanya wimbo Dear God uliompa Jeremiah tuzo...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live