Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA MHESHIMIWA WILLIAM LUKUVI LONGIDO ARUSHA

pWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC maelezo ya uendelezaji wa eneo la Usa-river lililonunuliwa na NHC kwa ajili ya kujenga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWIGA YAWAPA WATANZANIA MATUMAINI

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Selestine Mwesigwa (kulia) akimkabidhi bendera ya Taifa nahodha wa Twiga Stars, Sophia Mwasikili (kushoto) kwenye ofisi za TFF zilizopo Karume, Ilala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KUAGA LEO BUNGENI

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe akifafanua jambo wakati wa vikao vya bunge la mwaka 2014. Zitto anatarajiwa kuaga Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kutogea misuguano kati yake na...

View Article

MUSWADA BINAFSI WA KUANZISHWA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA KUJADILIWA MACHI 31

HATIMAYE muswada binafsi wa kuanzishwa Baraza la Vijana la Taifa uliyowasilishwa bungeni Oktoba 31, 2013 na Mbunge wa Ubungo John, umepangwa kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Machi 31 mwaka huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA WASHIRIKA MAJENZI YA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano mkuu wa kwanza wa Washirika Majenzi ya Kijani wa Afrika Mashariki, uliofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO ANG'ATUKA RASMI CHADEMA

Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU KAZI YA IMETOSHA MOVEMENT HIYO

Kampuni ya Tanzania Distilleries LTD (TDL),imechangia kiasi cha sh.milioni 10 kwa harakati ya Imetosha inayopiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino,ambayo itafanya matembezi ya hisani machi 29 mwaka huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI ARUSHA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kazi ya kugonga kokoto pamoja na akina mama wajasiriamali katika kata ya Elerai mjini Arusha wakati alipowatembelea na kukagua shughuli zao,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAMA AKABIDHI MILIONI MBILI KWA AJILI KUSIDIA MAPAMBANO DHIDI YA MAUAJI YA...

 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akimkabidhi fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni moja Mjumbe wa Kamati Kuu Taifa ya Chama cha Albino Tanzania, Mohamed Chanzi kwa ajili kuunga mkono...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA: MASHEKHE WA BAGAMOYO MMENISHAWISHI KUGOMBEA URAIS 2015

MASHEIKH wapatao 83 kutoka Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, leo wamemkabidhi kiasi cha shilingi 700,000/- za kuongezea kuchukua fomu ya kuwania urais 2015. Mashekhe hao wakiongozwa na Yusuf Surulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIPIGA VIRUGU VIWILI TIMU YA MGAMBO SHOOTING

Mshambuliaji wa Yanga Kph Sherman (kuliao), akitafuta mbinu za kumtoka kiungo wa Mgambo Shooting, Novaty Lufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Mkwakwani...

View Article

MALINZI AWAPONGEZA TWIGA STARS

 Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini –TFF Bw. Jamal Malinzi ametuma salama za pongezi kwa timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) kwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya timu ya...

View Article

Mtibwa kimenuka tena, Waziri aridhia Wafanyakazi kumgomea Mwekezaji

Na Bryceson Mathias, Mvomero.MAANDAMANO na Migomo Kwa Kiwanda cha Sukari Mtibwa mkoani Morogoro, imekuwa kama ni maisha yao ya  kila siku, ambapo pia leo wamemgomea Mwekezaji wa Kiwanda hicho, huku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF MEDIA CUP

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJITOKEZA KATIKA BANDA LA NSSF LILILOPO KATIKA VIWANJA VYA TCC...

 Afisa wa NSSF(Ramadhani Jumbe) akimwandikisha mwanachama mpya katika Banda la NSSF katika wiki ya huduma kwa Wateja NSSF clinic. Meneja Kiongozi wa Idara ya Uhusiano na Huduma Kwa wateja Bi. Eunice...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BULEMBO AGEUKWA NA WAJUMBE WAKE SAKATA LA KWENDA KWA LOWASSA

Mjumbe wa Baraza la Wazazi, Taifa na Mbunge wa Korogwe, Steven Ngonyani 'Prof .Maji Marefu' akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma hii leo juu ya tuhuma za yeye kutajwa na mmoja wa wajumbe wa...

View Article

TPAWU wampasha Waziri; Wadai Mwekezaji Mtibwa amefilisika

Na Bryceson Mathias, Mvomero, MorogoroCHAMA cha Wafanyakazi mashambani na Kilimo Tanzania (TPAWU), wamempasha Naibu Waziri wa Maji, Amosi Makala, wakidai, aiambie Serikali kuwa Mwekezaji wa Kiwanda cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz hazina ya sanaa Tanzania

Na Mwandishi WetuMKOA  wa Kigoma ni hazina kubwa ya vipaji hapa nchini Tanzania. Tangu zamani kulishuhudiwa vipaji vingi toka mkoani humo hasa vya wanamichezo na wasanii. Mfano kwa upande wa kandanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyakazi kumgomea Mwekezaji

Na Bryceson Mathias, MvomeroMAANDAMANO na Migomo Kwa Kiwanda cha Sukari Mtibwa mkoani Morogoro, imekuwa kama ni maisha yao ya  kila siku, ambapo pia leo wamemgomea Mwekezaji wa Kiwanda hicho, huku...

View Article

TGNP YATAKIWA KUBADILISHA MFUMO WA UFUNDISHAJI

NA KENNETH NGELESI, MBEYAWITO umetolewa kwa TGNP Mtandao kubadilisha mfumo wa ufundishaji  kwa kutumia picha zinazoonesha ukatili na unyanyasaji kwa wanawake hali ambayo inawafanya kuendelea kuwa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>