Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live
↧

KUKATIKA KWA UMWEME DAR TANESCO WAOMBA RADHI

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO), imesema tatizo la kukosekana kwa huduma hiyo katika baadhi ya maeneo kulikojitokeza wiki iliyopita kulisababishwa usafishaji wa visima vya gesi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA...

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji, Dk Anacleti Kashuliza (wa pili kulia) akiweka saini makubaliano ya ushirikiano kati ya FCDL na TAWOFE katika kuboresha utengenezaji wa samani nchini....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILUVYA UNITED YAIFUNGA SINZA STAR 3-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI YA MICHUANO YA...

 Kikosi cha Kiluvya United kikifanya mazoezi mepesi kabla ya mechi yao ya Ligi ya Dk. Mwaka Sports Extra Ndondo Cup 2014 katika Uwanja wa Makurumla dhidi ya Sinza Star. Kiluvya United ilishinda 3-0....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC watathmini utekelezaji wa ujenzi wa miradi

Meneja wa NHC Mkoa wa Tabora, Erasto Chilambo akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Isikizya zilizopo wilayani Uyui mkoani Tabora kwenye semina ya mameneja na...

View Article

Benki ya Posta kutoa Mkopo wa basi kwa timu ya Mbeya City FC

Na Kenneth Ngelesi, MBEYABANKI ya Posta nchini (TPB) imekubali kutoa mkopo wa basi lenye dhamani ya shilingi milioni 300 kwa timu ya Soka ya Mbeya City FC kwa ajili ya safari mbalimbali za kushiriki...

View Article


TFF YAJIBU SHUTUMA ZILIZOTOLEWA NA WAKILI NDUMBARO

Oktoba 31 mwaka huu kupitia vyombo vya habari Wakili Damas Ndumbaro alitoa shutuma mbalimbali dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Tunapenda kuuleza umma wa Watanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAMA AMPONGEZA JK UJENZI WA KIDONGO CHEKUNDU DAR

 Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati akitoa pongezi kwa Rais Jakaya Kikwete baada ya kuzindua Kituo cha Michezo cha Kidongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA SEIF RASHIDI AZINDUA RASMI GHETTO RADIO KATIKA HOSIPITALI YA...

Waziri wa Afya Mh. Seif Rashid akiongea na Wauguzi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Temeke, Wafanyakazi wa Ghetto Radio ya Sibuka Fm pamoja na wadau mbalimbali wakati wa uzinduzi Rasmi wa Radio hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA SEIF RASHIDI AZINDUA RASMI GHETTO RADIO KATIKA HOSIPITALI YA...

Waziri wa Afya Mh. Seif Rashid akiongea na Wauguzi wa Hospitali teule ya Mkoa wa Temeke, Wafanyakazi wa Ghetto Radio ya Sibuka Fm pamoja na wadau mbalimbali wakati wa uzinduzi Rasmi wa Radio hiyo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afungua msikiti wa Kijiji cha Tasani...

  Maustadhi wa baadae wakifurahia ufunguzi wa Madrasa yao ya Shafiiyat iliyopo Tasani Makunduchi uliofanywa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimuwakilisha Rais wa Zanzibar na...

View Article

VIJANA WAASWA KUJIUNGA NA SKAUTI

NA KENNETH NGELESI, MBEYA  MKURUGENZI wa kampuni ya Tugeme Interprises ya mjini Tukuyu mjini Rungwe,Tumaini Mwaijande amwapongeza wazazi nchini kwa uamuzi wa kuwaruhusu watoto wao kujiunga na skauti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI WARIOBA APATA KIPIGO KUTOKA KWA VIJANA WALIOVAMIA MKUTANO WA KUJADILI...

Mtoa mada katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa, Jaji Joseph Warioba akitoa mada kabla ya mkutano huo kuvunjika katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Saam leo. (Picha zote na Francis...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msama Auction Mart yakamata mitambo, kazi feki za mamilioni

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), moja kati ya mashine 4 za  kurudufu CD  feki zilizokamatwa katika eneo la Kimara jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSONDO WAMETIMIZA MIAKA 50 YA UHAI WA BENDI YAO

 Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964, Msondo Ngoma Music Band imesherehekea jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA KAIRUKI YAPATA TUZO YA UBORESHAJI VIWANGO VYA HUDUMA YA AFYA

 Mkurugenzi Mkuu wa Hospital ya Kairuki, Dk. Asser Mchomvu akiwa amebeba tuzo aliyokabidhiwa na na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal (katikati). Kushoto ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA UWEKEZAJI YA ULAYA (E.I.B), YAIPIGA JEKI BENKI YA CRDB

Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akiwasili ukumbini wakati wa hafla ya utiaji saini wa mkataba wa mkopo wa sh. Bilioni 43 kutoka Benki ya Uwekezaji Ulaya. Kulia ni...

View Article

KOCHA NOOIJ KUTAJA KIKOSI STARS

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Mart Nooij keshokutwa (Novemba 5 mwaka huu) atatangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi ya kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) itakayochezwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA, MMOJA ALAMBA TIKETI YA...

Meneja wa Karakana wa Kampuni ya Toyota Tanzania Ltd, Josee Alverace (kushoto) na Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee (katikati) wakimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa jumla, Maria Robi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA HANDENI KUFANYIKA DESEMBA 31

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMDAU wa muziki wa dansi Tanzania ambaye pia ni Mchumi wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Kata ya Makumbusho, Yusuphed Mhandeni, amesema kuna haja kubwa wadau kuliunga mkono...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk. Kigwangala ahimiza amani nchini

Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangala akizungumza na vikundi mbalimbali mbalimbali vya Joging vilivyoshiriki katika tamasha la Mbio za Amani lililoshirikisha wawakilishi kutoka pande...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>