Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Nchi hii,Watuhumiwa Waharifu Wanapongezwa?

Na Bryceson MathiasKATIKA Serikali ya aina yoyote duniani, Jamii, Madhehebu ya Dini, Asasi za Kiraia na Vyombo mbalimbali vya kutetea Haki za binadamu, hakuna anayeweza kumpongeza au kumtunuku mtu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hakimu kukosekana kwa sababu nyepesi, hatua gani zichukuliwe?

Na Bryceson Mathias KUMEKUWEPO na wimbi la baadhi ya Mahakimu, kutokuwepo mahakamani kuhukumu kesi walizopangiwa kwa mfululizo, hivyo kushindwa kuhukumu kesi na kukwamisha mwendelezo wake na watuhumiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaombeleza kifo cha Mangwea

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO  SALAAM ZA RAMBIRAMBI KUTOKANA NA KIFO CHABW. ALBERT MANGWEA, (Man Ngwair)1/06/2013.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA CCM MAKAMBAKO JIONI HII WAFANA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kimama akihutubia mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni hii kwenye Uwanja wa michezo mjini Makambako mkoani Njombe. Katibu wa NEC,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALICE ASHINDA TAJI LA REDD'S MISS DAR CITY CENTER

 Mshindi wa Redd's Dar City Center, Alice Isack (katikati) akiwa na mshindi wa pili, Clarah Paul (kulia) na mshindi wa tatu, Fatma Hussein (kushoto). (Picha na Habari Mseto Blog) Miss Tanzania 1999,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA JOPO LA WATAFITI WA MASUALA YA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano wa Jopo la Watafiti wa Masuala ya Uchumi Afrika (AERC) kujadili athari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASATA YAANZA KUYAFANYIA KAZI MAOMBI YA WASANII

NaElizabeth JohnBARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kushirikiana na Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz), kesho wanatarajia kuzikutanisha taasisi mbalimbali zinazohusika na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBADENI AIUNGA MKONO SERIKALI HOFU YA KUPELEKA TIMU SUDAN

Na Elizabeth JohnLICHA ya serikali kuingiwa na hofu ya kupeleka timu Sudan kushiriki michuano ya Kagame, Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Abdallah Kibadeni amesema anaiunga mkono na ni vema kuangalia hali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATATU KUIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MASHINDANO YA KUOGELEA

Na Elizabeth JohnCHAMA cha kuogelea Tanzania (TSA) kimechagua wachezaji watatu ambao wanatarajia kuliwakilisha taifa katika mashindano ya Dunia ambayo yanatarajia kuanza kutimua vumbi Julai 18 hadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHIKU AISAMBAZA 'SAUTI YAKE'

Na Elizabeth JohnMWANADADA ambaye anatesa katika tasnia ya muziki wa hip hop, Chiku Keto, ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Sauti yangu’ ambao umeanza kufanya vizuri katika vituo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKUVWANGA AISAMBAZA ALBAMU YA 'KATO'

Na Elizabeth JohnMSANII kutoka kundi la Orijino Komedi, Isaya Mwakilasa ‘Wakuvwanga’ ameachia albamu yake ya kwanza inayojulikana kwa jina la ‘Kato’ ambayo imeanza kufanya vizuri katika soko la muziki....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

President Kikwete and former Japanese Prime Minister Yoshiro Mori speaks on...

 A cross section of the participants to the high level panel on ““Accelerating the Global  Fight against Infectious Diseases,” held as TICAD V official side event in Yokohama, Japan this morning claps...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SALSHIA ISDORE NDIYE REDD'S MISS GEITA 2013

Mshindi wa taji la Redd’s Miss Geita 2013, Salshia Isidore (katikati) akiwa mwenye furaha wakati wa kupiga picha ya pamoja na warembo wqenzake Stella Magerezi (kulia) aliyeshika nafasi ya pili na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akutana na Mwenyekiti wa mambo ya nje wa bunge la Japan

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Japan Mh.Katsyuki Kawai wakati mwenyekiti huyo alipomtembelea na kufanya naye mazungumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAMBANO LA NSSF MEDIA ALL STARS NA WABUNGE KATIKA PICHA

 Wachezaji wa timu ya wanawake ya mpira wa Peter ya Media NSSF All Stars wakikaguliwa kabla ya mpambano na tinu ya Bunge ya mpira wa Peter wakati wa mchezo wa kirafiki uliochezwa katika Uwanja wa...

View Article


Mkulanga yaomba Chadema Iwasaidie

Na Bryceson Mathias , aliyekuwa MkulangaBAADHI ya Wazazi, Walimu na Wananchi walio wengi wa Vikindu, Kisima na Tambaani Wilaya ya Mkulanga, wamekiomba Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADEMA) na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI ATAKIWA KUSAFISHA TANROAD

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Ujenzi John Magufuli, ametakiwa kukomesha vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watendaji wasiowaaminifu wa Mamlaka ya Barabara Tanzania (TANROADS), vya kuuza maeneo ya hifadhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABERE MARANDO AMPIGIA DEBE NGWATA

Na Mwandishi WetuMAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani, Mabere Marando, amewaomba wakazi wa Kata ya Mianzini kumchagua Ngwata Saulo, ili akasimamie fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI MACHO KWA WABUNGE

Dk. Yasinta Shobola akimchukuwa vipimo, Mbunge wa Mfindi Kusini(CCM), Mendrad Kigola wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA LATOA UFAFANUZI

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA03  Juni, 2013Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limepata ujumbe  kupitia simu za mkononi ambao umesambazwa kwa wananchi mbalimbali ukisadikishwa kuwa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>