Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI MACHO KWA WABUNGE

$
0
0
Dk. Yasinta Shobola akimchukuwa vipimo, Mbunge wa Mfindi Kusini(CCM), Mendrad Kigola wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma.
Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Said Bungala (kulia) akipima macho wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma.
Mbunge wa Mufindi Kusini (CCM), Mendrad Kigola akipima macho wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>