Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI MAKAME KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAKE TONGWE MUHEZA, TANGA

Mke wa Jaji Lewis Makame, Marry Makame akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililokuwa na mwili wa mume wake, marehemu Jaji Lewis Makame  wakati wa kutoa heshimna za mwisho kwenye viwanja vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Real Madriad Legends yaitwanga Tanzania 3-1

Wachezaji wa akiba wa timu ya Tanzania 11.Kikosi cha Tanzania 11 kilichoanza. Benchi la ufundi la Tanzania 11. Luis Figo akisalimiana na wachezaji wa Tanzania 11. Peter Manyika akisalimiana na Luis...

View Article


TAMASHA LA MICHEZO YA MAJESHI YA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI,...

Mzunguko wa nane wa tamasha la michezo ya Majeshi na Utamaduni kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki imefunguliwa rasmi tarehe 20 Augusti 2014  na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA 2014 JIONI YA LEO JIJINI TANGA...

 Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,almaarufu kama Mzee Njenje akizungumza machache mbele ya wasanii mbalimbali wa bongofleva waliofika nyumbani kwake Sahare,nje kidogo ya jiji la Tanga,kumjulia hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji ya mji morogoro, awataka viongozi...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA

Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi katika kijiji Iringa Mvumi Jimbo la Mtera mkoani Dodoma ambapo Chama cha mapinduzi kimeendelea kuuelimisha umma juu ya masuala ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la fiesta 2014 lawa gumzo mkoani Tanga

Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisaBarnaba Boy akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoni Tanga mwishoni mwa wikiWadau nao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA), YAKITOZA FAINI KITUO CHA TELEVISHENI...

Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Margaret Munyagi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Agosti 22, 2014 jijini Dar es Salaam, wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOYOTA YAFANYA BONANZA MAALUMU LA KUWAPONGEZA WAFANYAKAZI WAKE

 Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watoto wa chekechea wamtoa machozi Filikunjombe

 Mbunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe akiwa na watoto wa Chekechea kutoka Kata ya Madilu, wilayani Ludewa wakati wa ziara ya kuwatembelea. Watoto wa Kituo cha Chekechea Kata ya Madilu wakisoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKONGWE WA REAL MADRID WAKWEA MLIMA KILIMANJARO

 Wakongwe wa Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi cha ngoma kilichokuwa kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kabla ya kuelekea Mlima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete atunuku Kamisheni TMA Monduli

 Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa majeshi wa kwanza Mzalendo Jenerali Mirisho Sarakikya muda mfupi baada ya kuwasili katika chuo cha jeshi Monduli tayari kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI, WAKUU WA WILAYA WAPYA IKULU LEO

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dk.Sira Ubwa  Mamboya kuwa Waziri wa Kilimo na Maliasili katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla Dk.Sira...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA...

Mkuu wa Wilaya ya Same Bw. Herman Kapufi akisisitiza jambo juu ya Mafunzo ya  Mradi wa kuijengea Jamii Uwezo Wa Kupunguza Athari Za Maafa katika Wilaya yake  wakati timu ya Wataalam Kutoka Ofisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAALIM SEIF ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA POLISI

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiwasalimia maafisa wa Polisi Makamo Makuu ya Polisi Zanzibar.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA...

 Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB anayeshughulika na huduma ya China Deski, Ibrahim Masahi (kulia), akitoa ufafanuzi kuhusu huduma maalum za kibenki kwa ajili ya kusaidia wafanyabiashara na wawekezaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa serikali ya wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro baada ya kuwahutubia chuoni hapo Agosti 25, 2014.  Rais Jakaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOZI YA WAAMUZI NA MAKOCHA YA COPA COCA-COLA YAANZA DAR

Mkufunzi wa FIFA Felix Tangawarima akizungumza wakati wa ufunguzi wa kozi ya waamuzi na makocha ya Copa Coca-Cola iliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Na Mpiga Picha Wetu)  NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KATA YA KING'ONGO, DAR

 Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa King'ongo, Demetrius Mapesi (kulia),akimtwisha ndoo ya maji Radhia Said baada ya kuzindua mradi wa kisima cha maji mwishoni mwa wiki kilichojengwa kwa msaada wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live