Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

News Up Date; Hamis Tambwe asaini Yanga, Maximo atimuliwa

$
0
0
Habari tulizozipata sasa hivi zinasema aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Hamis Tambwe amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu yake Mpya ya Yanga huku kocha mkuu wa timu hiyo Marco Maximo kibarua chake kikiota nyasi baada ya kutimuliwa. Habari kamili zitawajia kadri tutakavyokuwa tukizipata.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>