Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all 19659 articles
Browse latest View live

BABA MTAKATIFU FRANSIC ZIARANI MAREKANI

$
0
0
Na Muandishi Wetu Swahilivilla.Blog
Baba Mtakatifu Francis jana aliwasili nchini Marekani kuanza ziara ya kwanza kuwahi kuifanya nchini humo maishani mwake.
Pope Francis is scheduled to address Americans on the front lawn of the White House on Wednesday. Pictured above on Tuesday at the airport, being welcomed to the U.S. by President Obama  and his family
Baba Mtakatifu Papa Francis akiwa katika mapokezi chini ya  Rais Obama na familia yake
Kwa kawaida marais wa Marekani huwapokea wageni rasmi Ikulu ya nchi hiyo, lakini alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kijeshi wa Andrews ulioko nje kidogo ya jiji la Washington, Baba Mtakatifu alipata heshima ya kulakiwa na Rais Obama na familia yake.
Mbali na gwaride la heshima, miongoni mwa waliokuweko kwenye mapokezi hayo rasmi ni pamoja na Makamo wa Rais wa Marekani Bwana Joe Biden na aila yake, watoto wa shule, na viongozi wa Kanisa Katoliki.
Akiwa jijini Washington, Baba Francis atafanya mazungumzo na Rais Obama, kukhutubia kikao cha pamoja cha Mabaraza ya Bunge la Marekani pamoja na kuongoza Ibada mbalimbali.
Ziara yake hiyo ya siku sita, pia itamfikisha kwenye miji ya New York na Philladelphia.
Akiwa jijini New York, Baba Francis ambaye ni kiongozi wa nne wa Vatican kuitembelea Marekani, atatembelea Umoja Wa Mataifa na eneo la Kituo Cha Biashara kiclichoteketezwa kwenye mashamulizi ya Septemba 11, 2001.
Kiongozi huyo wa Kanisa la Katoliki, atamalizia ziara yake katika jiji la Philladelphia, ambako anatarajiwa kuhudhuria kwenye Mkutano wa Familia wa Wakatoliki Duniani.
Miongoni mwa mambo yatakayopewa kipaumbele katika mzungumzo na khotuba zake nchini humu, ni pamoja na utoaji mimba, ndoa za jinsia moja, usawa katika maswala ya kiuchumi na kijamii, mazingira na uhamiaji.
Baba Francis amewasili Marekani akitokea Cuba baada ya kukamilisha ziara yake nchini humo.
Wachambuzi wanaona kuwa kuanza ziara yake nchini Marekani akitokea nchini Cuba, kunatoa ujumbe fulani kukhuasian na kuanza tena kwa mahusiano ya Kibalozi kati ya Marekani na Cuba baada ya kuvunjika kwa muda usipungua nusu karne.
Aidha kuingia Marekani akitokea Cuba kunatoa ishara juu ya mgogoro wa wakimbizi wanaoingia Marekani wakitokea nchi za Amerika ya Kusini.
Kwa upande mwengine, ziara hiyo inakuja katika wakati ambao Kanisa Katoliki limekuwa likikabiliwa na kashfa za ngono katika miaka ya hivi karibuni.
Aidha, inakuja katika wakati ambao harakati za ndoa za jinsia moja zikiwa zimepamba moto nchini Marekani.
Maswala hayo pia yamekuwa yakichukua nafasi za mbele katika kampeni za wagombea urais wa Marekani ambazo tayari zimeshamiri nchini humu.
Mbali na baraka inazotarajiwa kuletwa na Baba Mtakatifu chini humu, ziara hiyo pia itakuwa na athari zake za kiuchumi kutokana na usalama wa hali ya juu utakaokuwepo wkati wa ziara hiyo.
Baadhi ya mashirika ya utumaji vifurushi na mizigo kama vile UPS na Fedex, tayari yametangaza kutotoa huduma katika baadhi ya maeneo ambayo Baba Francis atatembelea.

Prof. Kapuya afichua ukweli

$
0
0

Na Hosea Joseph, Kaliua

MGOMBEA ubunge wa jimbo la Kaliua, Tabora, (CCM), Profesa Juma Kapuya amefichua mjadala uliokuwa ukiendeshwa na wapinzani wake juu ya matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo katika uongozi wake.

Akizungumza na wananchi wakati akiomba kura Kata ya Kamusekwa, alibainisha kuwa yeye sio fisadi kwakuwa kila jambo liko wazi juu ya matumizi ya fedha hizo.

Alisema wapinzani wake wamekuwa wakiwapotosha wananchi kuwa anatumia fedha za mfuko huo jambo ambalo linaweza kuondoa imani nakuibua mgogoro usio na tija kinyume na ukweli ulivyo.

"Fedha za mfuko wa jimbo hapewi mbunge kwani zinatumwa Halmashauri milioni 70 kwa mwaka na matumizi yake hufanyiwa ukaguzi yakinifu na mara nyingi nimepongezwa sana kwa kuzisimamia kwa maendeleo ya Halmashauri na kupata hati safi" alisema Kapuya.

Aidha, Kapuya aliwaomba wakazi hao wamchague na chama kwaujumla kwakuwa amekuwa akitumia fedha za mshahara na misaada ya rafiki zake kuwasaidia wananchi katika mahitaji mbali mbali na hata katika shughuli za maendeleo.

Pia Kapuya alitangaza irani ya chama chake na kuahidi yaliyomo mengi ni yakuwasaidia wananchi wa jimbo lake hasa katika suala la miundombinu ya barabara na reli ya Kaliua Mpanda hadi Karema kwa kiwango cha kimataifa.

"Nawaahidi sitawaangusha kwani mkimchagua Magufuli kwakishindo hatutapatashida kwa lolote maana nimtekelezaji na mfatiliaji makini katika kila kazi inayomhusu" alisema Kapuya.

Kapuya alitumia fursa hiyo kumnadi mgombea udiwani wa chama
chake wa Kata ya Kamsekwa, Athumani Saidi ili achaguliwe na
kukamilisha utatu wa uongozi unaoendana bila kuchanganya.

Nkone, Lissu, Mwangila waahidi makubwa Tamasha la Amani Dar

$
0
0
 Mwenyekiti wa maandalizi ya Tamasha la Kuombea Amani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Alex Msama akifafanua jambo kuhusu maandalizi ya tamasha hilo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mwimbaji wa nyimbo za injili, Christopher Mwahangila na Upendo Nkone. (Picha na Francis Dande)
 Mwimbaji wa nyimbo za injili, John Lissu akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya Tamasha la kuombea Amani Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, tamasha hilo limeandaliwa na Kampuni ya Msama Promotions na litakafanyika Oktoba 4 kwenye Uwanja wa Taifa. Kushoto ni mwimbaji Christopher Mwahangila na Upendo Nkone.
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Jesca Honore 'BM' akiimba wimbo wa 'Napokea' Jesca ni mmoja wa waimbaji watakaopamba tamasha la Amani la kuombea Uchaguzi Mkuu na Taifa.


NA MWANDISHI WETU

WAIMBAJI  mahiri wa nyimbo za injili nchini waliotajwa kushiriki Tamasha la Uchaguzi Mkuu litakalofanyika Oktoba 4, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, wameelezea walivyojipanga kufanikisha malengo ya tukio hilola kihistoria.

Wakizungumzia Tamasha hilo kwa nyakati tofauti katika mkutano wa utambulisho wao, baadhi ya waimbaji waliothibitishwa, wameelezea kufurahia kuwa miongoni mwa waimbaji watakaotumbuiza maelfu katika tamasha hilo la kuombea amani na utulivu Uchaguzi Mkuu.

Kwa upande wake Upendo Nkone, alisema ni faraja kwake kuwa miongoni mwao waimbaji katika tukio hilola kumsihi Mungu ajalie hali ya amani na utulivu wakati na baada ya uchaguzi mkuu kwani amani ndio msingi wa mafanikio ya kila kitu.

“Nafarijika kuwemo katika orodha ya waimbaji katika Tamasha hilo. Watanzania tukumbuke taifa linahitaji maombi kwani linapita katika kipindi kigumu ambacho bila msaada wa Mungu, ni mtihani mgumu ambao katika nchi nyingi tu, umekuwa chanzo cha mifarakano,” alisema Upendo.

Naye Christopher Mwangila, mbali ya kushukuru kupata nafasi hiyo, pia amewasihi wapendwa katika Kristio Yesu, wapenzi na mashabiki wa muziki wa injili kujitokeza kwa wingi siku hiyo ya kupaza sauti kwa Mungu autangulie uchaguzi huo uwe wa amani.

Kauli hiyo iliungwa mkono na mwimbaji mwingine, John Lissu ambaye pamoja na shukrani kupata nafasi ya kushiriki, pia ametumia fursa hiyo kuwasihi wapenzi na mashabiki wa muziki wa njili na wote wenye upendo kwa nchi yaokujitokeza siku hiyo.

Naye Matha Mwaipaja, alisema anamshukuru Mungu kupata fursa na kumjalia kipaji cha uimbaji, hivyo ana kila sababu kushiriki tukio muhimu kama hilo la kuombea amani ya nchi kwa kuzingatia kuwa, viongozi hutoka kwa Mungu.

Mwimbaji mwingine aliyetoa neno kuelekea Tamasha hilo, ni Jesca Boniface Magupa ‘BM’ akisema amejiandaa vizuri kuipamba siku hiyo akishirikiana na wengine mahiri wa ndani na nje ya nchi akiamini sauti za kumsihi Mungu uchaguzi uwe wa amani, hazitapotea bure.

WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA LEO

$
0
0
Aliyekuwa WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani amefariki Dunia leo nchini India, mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili nchini Tanzania siku ya Jumamosi kwa ajili ya mazishi. 

Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka katika vyanzo vyetu vya habari zimesema kuwa marehemu Celina Kombani amefariki nchini India wakati akipata matibabu. 

MVI 13342

UGONJWA WA DAMU HATARI UNAOWEZA KURITHIWA

$
0
0
Na Mwandishi Wetu, 

Ibrahim (jina limebadilishwa) alizaliwa nchini Tanzania na alipokuwa na umri wa miezi 9 tu alionekana anang’aa na hakuwa na uwezo wa kula na kukua vizuri kama watoto wengine wa umri wake. Alikuwa na maambukizi ya mara kwa mara na vipimo vya damu vilionyesha upungufu mkubwa wa damu na kiwango cha ukosefu wa damu kwa gm 3.5! Ibrahim alikuwa akiishi na chini ya robo ya kiwango cha oksijeni kinachohitajika kwenye damu na alihitaji haraka kuongezewa damu ili kuokoa maisha yake. Vipimo vya damu yake na ya wazazi wake vilithibitisha kuwa alikuwa na thalasemia kuu.

Thalassaemia kuu ni hali ya kurithi ambapo huwa na ukosefu wa chembe nyekundu za damu. Katika mwili seli shina Uboho huzalisha aina tatu za seli za damu katika mwili- nyekundu, nyeupe na chembe chembe za damu. Thalasemia ni hali ya kurithi inayoathiri seli nyekundu za damu. Hutokea wakati mtu anashindwa kuzalisha kiasi cha damu kinachotakiwa. Mwili wako hautafanya kazi vizuri kama chembechembe nyekundu za damu hazizalishi damu ya kutosha yenye afya.

Dkt. Revathi Raj wa  Hospitali za Apollo Chennai anaeleza zaidi kwamba thalasemia ni ya kurithi. Ni kutoka kwa wazazi kwenda kwa watoto kwa njia ya jeni. Watu ambao hurithi jeni za damu mbaya kutoka kwa mzazi mmoja lakini jeni za kawaida kwa mzazi mwingine wanaitwa kitaalamu ‘career’. ‘Carriers’ mara nyingi hawana dalili za ugonjwa mwingine zaidi ya kuoneshwa upungufu mkubwa wa damu. Hata hivyo, wanaweza kurithisha jeni mbaya kwa watoto wao. Watu ambao wana wastani wa kati wa thalasemia wamerithi jeni mbaya kutoka kwa wazazi wote wawili. Kama ‘carriers’ wawili wakizaa mtoto, kuna 25% ya nafasi ya kuwa na mtoto aliyethirika.
Kwa mujibu wa Dkt Revathi Raj madhara ya kuacha thalassaemia bila kutibiwa ni pamoja na kushindwa kwa wengu, ini na moyo. Pia, inaweza kusababisha mifupa myembamba na migumu na mikunjo usoni. Ni kawaida kwamba watoto wasiotibiwa hudumaa ukuaji wa mwili na akili. Watoto wenye Thalasemia huwa wanakufa kutokana na moyo kushindwa kufanya kazi na maambukizi ikiwa hali hiyo haitatibiwa.
Matibabu pamoja na kuongezewa damu mara kwa mara na dawa za kuzuia maambukizi huweza kupunguza kasi ya ugonjwa. Watoto wenye thalasemia wanaweza kutibiwa kwa kuongezewa damu mara kwa mara. Zoezi hili linatakiwa kufanyika kila baada ya wiki 3 au 4 na husaidia kuweka kiwango cha damu kawaida. Wakati viwango vya damu vikiwa kawaida mtu anaweza kujaribu kuzuia baadhi ya matatizo ya ugonjwa kwa hiyo kuzuia moyo kushindwa kufanya kazi na ulemavu wa mfupa na hivyo kupelekea ukuaji mzuri na afya kwa ujumla.
Hali ya Ibrahim ina maana kwamba wazazi wake walihitaji kusafiri pamoja naye kwa zaidi ya km 1,000 kila mwezi kwa ajili ya kuongezewa damu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kutosha Tanzania. Huku kuongezwa damu kulihitajika ili kuendelea kwa maisha yote ya Ibrahim hii ikiwa ni hali ya kudumu.

Wangewezaje kutoa damu kila mwezi? Kwa nini hakuna mtu aliyegundua kwamba walibeba jeni mbovu ambazo zinaweza kuleta madhara kwa mtoto wao? Haya ni baadhi tu ya maswali kadhaa ambayo wazazi wa mtoto huyu wanakabiliwa nayo.


Changamoto nyingine iliyowakumba wazazi Ibrahim ililikuwa kwamba pamoja na kila kuongezewa damu kuna hatari ya madini chuma katika kila kiasi cha damu kinachoongezwa. Kujijenga kwa madini chuma husababisha uharibifu wa moyo na ini na viungo vingine. Kuepuka, kuzuia au kuchelewesha madini chuma kujijenga mtu anahitaji tiba ya madawa kila siku. Kwa bahati mbaya hata hivyo, kwa Tanzania tiba hii si rahisi hivyo kupatikana. Maisha kwa Ibrahim yalionekana hatarini sana mpaka baada ya familia kusikia kuhusu BMT kusaidia kumtibu mtoto wao mdogo na kusafiri hadi Hospitali ya Apollo, Chennai nchini India ambako walikutana na Dkt Revathi Raj. Hospitali ya Apollo, India ni jina la kuaminiwa katika BMT kwa ajili ya wagonjwa wa kimataifa, kama hospitali ina si tu yenye timu ya BMT inayosifika, lakini pia masharti magumu sana kudhibiti maambukizi ambayo ni muhimu kwa ajili ya wagonjwa wa BMT.
Kwa BMT ‘Haematopoietic’ seli shina inapatikana kutoka kwa ndugu ambaye hajaathirika anayeendana au mfadhili yeyote na kupandikizwa kwa mtu mwenye thalasemia. Kwa bahati mbaya, Ibrahim hakuwa akiendana na wafadhili wa familia. Hata hivyo, mfadhili waliyeendana kikamilifu katika shina kiini la uboho aliyejisajili nchini India aitwaye DATRI alitoa mwanga mpya wa matumaini.
Mkakati wa kupandikiza uboho kwa watoto katika Hospitali ya Apollo nchini India ina timu ya wataalam wenye ujuzi wa juu na mratibu wa BMT anayefanya kazi kama sehemu ya timu ya wataalam mbalimbali kutoa huduma iliyoboreshwa kwa ajili ya watoto ambao wanapata tiba ya shina. Hospitali za Apollo nchini India zina uzoefu mkubwa nchini humo katika kuhudumia watoto wachanga na wadogo wanaoendelea na upandikizaji wa seli za shina.

BMT ni tiba yenye hatari kubwa ambayo inawezekana kwa asilimia ndogo sana ya wagonjwa iwapo mfadhili uboho anayefaa yupo. Hata kama kiwango cha mafanikio ya BMT ni sawa na 95%, ni kazi ya hatari na huweza kusababisha kifo. Kiwango cha mafanikio hutegemea zaidi iwapo au hakuna uharibifu mkubwa uliofanyika kwa kiungo chochote kama vile madini chuma kwenda mahali pasipofaa.

Dawa mpya katika soko na muendelezo wa ugunduzi katika taaluma ya utabibu imewezesha mchakato wa upandikizaji kuwa salama zaidi, hata kwa watoto wachanga na watoto wadogo. Hospitali Maalum ya Apollo, imelifanya upandikizaji wa seli shina kwa zaidi ya wagonjwa 800 ikiwa zaidi ya robo kati yao waliokuwa na thalasemia na zaidi ya kufanikiwa kwa Zaidi ya 90%.

Ujumbe muhimu zaidi mtu anahitajika kuchukua katika hili ni umuhimu wa kupima wajawazito. Vipimo vya damu vinaweza kuonyesha kama mtu ana thalasemia au ni ‘carrier’ kwa kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Dkt Revathi Raj katika Hospitali ya Apollo Chennai anashauri kuwa ni bora kumweleza daktari wako kumpima mtoto wako kiwango cha ‘ferritin’ cha mtoto wako kama ana upungufu wa damu kabla ya maagizo ya vitamini yoyote. Ni jambo la kawaida kwa madaktari kutoa maelekezo ya vitamini kwa watoto ambazo huonyesha dalili za upungufu wa madini chuma. Hata hivyo, ni muhimu kuchunguza tahadhari, kwa maagizo ya kuongeza madini chuma kwa ajili ya upungufu wa madini hayo anemia inaweza kuwa sahihi, inaweza kusababisha kuzidi kwa madini chuma kwa watoto wenye aina yoyote ya thalasemia. Jaribio rahisi kuamua kiwango cha madini chuma, au kiwango cha ‘ferritin’, katika mwili wa mtu linaweza kufanywa. Kama mtu anaonekana kuwa na upungufu wa madini chuma, lakini kiwango cha ‘ferritin’ kipo kawaida, pengine wana aina ya kwanza ya ‘beta thalasemia’.

Ndugu kuoana mara kwa mara pia husababisha mtu kuwa ‘carrier’ wa thalasemia. Ndoa kati ya ndugu ziepukwe kwa kuwa kuna ongezeko la ugonjwa wa kurithi na kama inaepukika uchunguzi wa damu kwa wanandoa kabla ya ndoa unashauriwa.

Tunahitaji pia kuongeza uelewa miongoni mwetu Watanzania juu ya umuhimu wa kujitolea kwa kuchangia damu na seli za shina kama msaada kuokoa maisha haya. Kuna matumaini kwa watoto wote kupata nafasi ya tiba kwa kuwa kuna wengi waliojisajili – hasa watu wazima ili kusaidia wagonjwa wote wa thalasemia kuu.


Imechangiwa na:

Dkt. Revathi Raj
Mtaalamu wa magonjwa ya watoto ‘Hematology’, Kupandikiza uboho (BMT)
Apollo Hospitals Chennai

MKUU WA MAJESHI CDF JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI

$
0
0
 Taarifa zinazosambaa kumhusu Mkuu wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali  Davis Mwamunyange zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii kwamba amekula chakula chenye sumu na amekimbizwa jijini Nairobi nchini Kenya kwa matibabu hazina ukweli wowote.Ni uzushi.

Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani na hajambo kabisa na yu bukheri wa afya.


Hii ni changamoto kwa wakala wa mawasiliano nchini (TCRA) ambayo imekuwa ikilaumiwa kwa ukimya wake wa kutochukua hatua thabiti kuthibiti uongo kama huu kwa kuwatafiti, kuwabaini na kuwachukulia hatua watu kama hawa wenye nia ya kuleta taharuki na machafuko nchini.

Wananchi wengie waliohojiwa na Globu ya Jamii wanahoji endapo kama kweli TCRA ipo na kama ipo ina vifaa vya kisasa iliyodai wanavyo kuwabaini watu kama hawa, na kwa nini hawajafanya kweli toka sheria ya mitandao (Cyber Law) iliyoanza kutumika.

"Endapo kama TCRA watashindwa kumnasa mhusika wa uongo huu wa kuogofya, inabidi mamlaka husika iangalie upya ajira ya watendaji wake maana kama taasisi nyeti kama JWTZ inaguswa na wao wakae kimya tu basi ujue kuna tatizo ambalo inapaswa Serikali ilifanyie kazi", amesema msomaji mmoja wa Globu ya Jamii katika maoni yake.

Taarifa mpya kuhusu mtoto aliyepotea na house-girl

$
0
0

Taarifa mpya kutoka kwa familia ya Jullu inasema kuwa mtoto wao Loveness Coletha aliyepotea na yaya wake amepatikana na mzazi wake amesafiri kwenda jijini Mwanza kumchukua.

Tunashukuru wote waliojumuika kuifariji familia kwa maneno ya kutia moyo, walioguswa na kuombea matumaini kwa sala, wote waliosambaza ujumbe kwa njia mbalimbali na zaidi sana, kwa watendaji wote wa mamlaka husika waliofanya kazi yao katika kufanikisha hili.

Asanteni!


KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

$
0
0
 Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa shindano la Wajasiriamali ambapo ametoa wito kwa watu kushiriki ili wajiweke katika nafasi ya kushinda fedha taslimu dola za kimarekani 20,000 ambazo kila mshindi atapewa azitumie katika utekelezaji wa mawazo yao ya kibunifu.
  Meneja wa nchi wa Reach for Change, Peter Nyanda, akizungumza katika mkutano huo.
 Muhasisi wa Mfuko wa APPS and Girls, Carolyne Ekyasisiima, akizungumza jinsi mfuko huo unavyofanyakazi ya kusaidia watoto katika masomo.
 Mwanzilishi wa Shule Direct, Iku Lazaro akizungumza kwenye uzinduzi huo.

TBL YAANZISHA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NCHINI

$
0
0
 Ofisa Uhusiano wa TBL Doris Malulu, akizungumza na wadau wafanyabiashara wa vinywaji vyao katika semina ya biashara Dar es Salaam jana,ambao wanafadhiliwa na TBL.(kulia) ni Mkufunzi Msimamizi Taasisi ya washauri wa Biashara (TAPBDS CO LTD) Joseph Migunda
 Sehemu ya Wafanya biashara wakisikiliza kwa makini wakati semina hiyo ya jinsi ya kuendesha biashara.ya vinywaji vyao

  Mkufunzi Msimamizi Taasisi ya washauri wa Biashara (TAPBDS CO LTD) Joseph Migunda akiendesha mafunzo hayo
 Ofisa Uhusiano wa TBL Doris Malulu, akizungumza na wadau wa biashara (pichani hawapo) ambao wanafadhiliwa na TBL wakati wa semina ya kuboresha biashara.vinywaji vyao
 Mshauri wa Biashara, Nyainja Manyama, akizungumza na wafanya Biashara mbalimbali (pichani hawapo) wakati wa semina hiyo iliyo fanyika Dar es Salaam

 Mshauri wa Biashara, Nyainja Manyama, akizungumza na wafanya Biashara mbalimbali (pichani hawapo) wakati wa semina hiyo iliyo fanyika Dar es Salaam
 Mshauri wa Biashara, Nyainja Manyama, akizungumza na wafanya Biashara mbalimbali (pichani hawapo) wakati wa semina hiyo iliyo fanyika Dar es Salaam
Maofisa wa TBLK wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara hao

VUGU VUGU LA AJENDA YA WATOTO NA UCHAGUZI MKUU LAENDELEA KIBAHA MKOANI PWANI

$
0
0
Mtoto Loida Goodluck Kutoka shule ya Sekondari ya  Simbani akichangia mada katika Mdahalo huo.
Mjumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa mtoto Joyce Michael akizungumza jambo wakati wa Mdahalo  huo
Jastin Moses Mratibu wa mradi wa kuzuia ukatili dhidi ya mtoto kutoka Plan International akichangia mchango wake wakati wa mdahalo huo.
Wananchi wakiwa wanafuatilia kwa makini mdahalo huo

Na Mwandishi Wetu 

Jamii imetakiwa kuwa karibu zaidi na watoto ili kuhakikisha wanalindwa dhidi ya ukatili na kuhakikisha wanapata haki zao stahiki. Rai hiyo imetolewa na wakazi wa Kibaha Mkoani Pwani katika Mdahalo wa Walinde Watoto uliowaleta pamoja wapiga kura, watoto na wagombea wa nafasi za Ubunge na Udiwani.

Kwa upande wake mgombea Ubunge wa Kibaha vijijini kupitia ACT Wazalendo Dk. Rose Mkonyi alisema kuwa chama chake kinaangalia ni kwa namna gani watazingatia katika Lishe bora ya mtoto pamoja na namna gani mtoto atainuliwa Kielimu. 

Aidha Mgombea Udiwani wa kata ya maili moja kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ‘CHADEMA’ Ramadhani Lutambi alisema chama chake kitaangalia zaidi afya ya mtoto na kuhakikisha Bohari ya dawa inakuwa na dawa za kutosha.

Hata hivyo, Watoto waliohudhuria mdahalo huo waliwataka wagombea kutimiza ahadi wanazotoa wakati wa Kampeni ili na wao waweze kufikia malengo yao. Watoto walipendekeza serikali ijayo iangalie namna ya kuwalinda hasa wanapoelekea mashuleni kwani wamekuwa wakitembea mwendo mrefu kwenda na kurudi shule ambako wamekuwa wakipata madhara na vishawishi vingi wanapokuwa njiani. 

Aidha watoto pia waligusia suala la rushwa na kwa namna gani linavyorudisha nyuma maendeleo yao na kuwaomba wagombea wa ngazi zote katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuwa waadilifu ili watoto wapate haki zao.

Mdahalo huo ulioandaliwa na kampuni ya True Vision production chini ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto wakishirikiana na UNICEF uligusa maeneo kumi muhimu ya uwekezaji kwa watoto ikiwemo kuwekeza kuokoa maisha ya watoto na wanawake, kuwekeza kwenye lishe bora, kuwekeza kwenye usafi, udhibiti wa miundombinu ya maji taka na ugavi wa maji katika shule na kwenye huduma za afya pamoja na kuwekeza katika kumwendeleza mtoto akiwa bado mdogo.

Mengine ni pamoja na kuwekeza kwenye elimu bora kwa watoto wote, kuwekeza katika kuzifanya shule kuwa mahali pa usalama, kuwekeza katika kuwalinda watoto wachanga na wasichana dhidi ya VVU, kuwekeza katika kupunguza mimba za utotoni, kuwekeza katika kuwanusuru watoto na vurugu, udhalilishaji na unyonyaji pamoja na kuwekeza kwa watoto wenye ulemavu. 

Vuguvugu hili la kusambaza ajenda ya watoto kupitia midahalo na wagombea wa nafasi mbalimbali linaendelea kupita mikoa mbalimbali nchini Tanzania kwani tunaamini kuwekeza katika maeneo haya ya kipaumbele kunaweza kupunguza umasikini na kuwezesha kuwepo kwa taifa linalostawi na la usawa.

Unaweza kusikiliza kipindi cha redio cha Walinde Watoto mahali popote kupitia redio shiriki 19 ikiwemo TBC inayorusha matangazo hayo siku ya Jumamosi kuanzia saa nane mchana na pia kupitia tovuti ya www.walindewatoto.org na
 www.facebook.com/WalindeWatoto

THURSDAY TALK

UBORESHAJI WA USALAMA BARABARANI KWA USAFIRISHAJI WA MASAFA MAREFU

$
0
0
 Fuso ikipita Njiani kwenye Maonyesho ya "NDIO Fuso ni Faida" jijini Dar, Maonyesho hayo yanatarijiwa kupita kwenye Mikoa kama Tanga – Moshi- Arusha- Mwanza –Shinyanga -Kahama- Dodoma – Iringa – Mbeya  na Songea ambapo shughuli mbali mbali za uchimbaji wa madini, kilimo, ujenzi na usafirishaji wa mizigo zinafanyika
 Wadau wa Usafirashaji wakiwa katika Maonyesho ya 'Fuso ni faida' jijini Dar.

Na Mwandishi Wetu,

Mtandao wa miundombinu ya barabara nchini Tanzania inayokadiriwa kuwa na kilometa za mraba 91,049 ambayo ni mara 30 zaidi ya mtandao wa reli ambayo inaambaa kwenye eneo lenye ukubwa wa takribani kilomita za mraba 3,682 ikidhihirisha kuwa barabara ndiyo njia kuu inayopendelewa kutumika katika usafirishaji wa mizigo.

Usafirishaji nchini Tanzania unajumuisha mitandao ya barabara, anga, reli na maji ambapo katika njia zote hizi, barabara na reli zinaongoza zikifuatiwa na maji na anga.  Hakika katika suala la umbali, mtandao wa barabara za Tanzania unashika nafasi ya 51 duniani, kutokana na taarifa zilizonukuliwa katika kitabu “ CIA world fact book”

Wakati ajali za barabarani zikiendelea kugharimu maisha ya watu, ufanisi wa njia hii ya usafirishaji kwa ujumla wake unahitaji kudumisha ubora wa usafirishaji wa barabara nchini Tanzania kutokana na ufanisi wake, kuokoa mda na kuaminika pamoja na kuchukuliwa kuwa kiunganishi kikubwa cha barabara ndogo kwenye barabara kuu za nchi.

Diamond Motors limited hivi karibuni wamekuwa katika safari ya kuzunguka mtandao huu wa barabara wakihamasisha pamoja na mambo mengine usalama barabarani katika kampeni yao ya “Ndio! Fuso ni Faida” Kampeni hiyo iliyozinduliwa mwezi julai mwaka huu jijini Dar es salaam ilifika katika mikoa ya Tanga-Moshi- Arusha – Mwanza – Shinyanga – Kahama – Dodoma – Iringa – Mbeya – na Songea ambapo shughuli mbali mbali za uchimbaji wa madini, kilimo, ujenzi na usafirishaji wa mizigo zinafanyika. Pamoja na mambo mengine, kampeni hiyo ilidhamiria kujenga uelewa kwa wateja wake juu ya jinsi ya kuboresha usafirishaji salama wa mizigo kwa kutumia magari ya kisasa zaidi.

Akifafanua kwa undani juu ya malori mapya yaliyohusika katika kampeni hiyo ya “Ndio! Fuso ni Faida” msemaji rasmi wa kampuni ya Diamond Motors Limited ambao ni wadau na wataalamu katika sekta ya usafirishaji wa masafa marefu kwa kutumia malori yao ya Fuso alisema soko la Tanzania linahakikishiwa malori ya aina ya Fuso FZ na FJ yaliyoboreshwa kiteknolojia na kuwa na uwezo wa kuboresha usalama barabarani. 

 “Malori haya yametengenezwa na kitako imara kilichotengenezwa kwaajili ya uzito mkubwa na mazingira magumu ya kufanya kazi” alisema Meneje Mkuu (Masoko) wa diamond Motors Ltd bwana Laurian Martin.  Aliongeza kusema kuwa “tuna nia ya kuborsha sekta ya usafirishaji iliyo bora na salama kwa kutumia malori yetu ya Fuso yaliyo boreshwa ki teknolojia”

Alisistiza na kusema kuwa “aina mbali mbali mpya za malori yatolewayo na Diamond Motors Ltd sio yanaaminiki katika utendaji tu, bali pia yana uwezo mkubwa wa ubebaji ambayo ni sifa pekee isiyopatikana katika malori mengine ambayo yanalazimika kutumia mafuta mengi ili kukidhi kigezo hicho. Kizuri zaidi, malori haya gharama zake za matengezo ni ndogo zaidi na hutembea umbali mrefu zaidi wa takribani kilomita 45,000 kabla ya kuhitaji matengenezo ya kawaida kama kubadilisha vilainishi”.

Bwana Laurian Martin aliendelea kusema kuwa “Sifa hizi ndizo zinafanya malori ya Fuso FZ na FJ kuwa suluhisho kamili la usafirishaji na biashara nchini Tanzania”. 

Katika kampeni hiyo mikoa ya kaskazini ikiwemo Tanga, Kilimanjaro, na Arusha ilipata  fursa ya kuona faida zinazopatikana katika malori haya mbalimbali ya Fuso maboyo ni malori ya ubebaji mkubwa yanayopatikana katika kampuni ya Diamond Motors Ltd.  Miji ya mikoa hii imendelea kukua katika shughuli za kiuchumi kama vile usafirishaji wa mizigo, biashara, viwanda kama vile cementi, malighafi mbalimbali, maua, matunda, mazao mbalimbali yatokanayo na miti yanayohitaji kusafirishwa kwenda katika sehemu mbalimbali za nchi na nje ya nchi. 

 Wasafirishaji kutoka mikoa hii wameaswa kutumia teknolojia hii ya malori ya Fuso FZ na FJ ambayo inaweza kuwapatia Faida zaidi katika biashara zao.

Kampeni hiyo pia  ilifika katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ambayo imeunganishwa katika ukanda wa kaskazini na barabara za nchi za jirani kama Kenya na Uganda kupitia mipaka yake ya Namanga ikiwa na biashara nyingi baina ya nchi hizo zinazopitia njia ya barabara. 

 Wakazi na wafanyabiashara waliohudhulia kampeni hiyo walipata fursa ya kujionea sifa zipatikanazo katika malori hayo ya Fuso Fz kutoka Diamond Motors Limted ambayo yanauwezo wa kubeba mizigo mikubwa katika mazingira magumu katika ukanda huo. 

 “Ni kwa teknolojia ya kisasa ya magari haya mabapo wafanya biashara wanaweza kupata Faida ya biashaza zao kwa kutumia malori haya inayotumia mafuta vizuri, ambapo gari hii ina kifaa maalumu cha kuzuia mafuta yasitumike endapo gari hii inatembea katika mteremko ili kukupa umbali mrefu zaidi kwa mafuta kidogo.

Mikoa ya Mwanza na Shinyanga ambayo ni kitovu cha biashara, usafirishaji, ushirikano wa kikanda na maendeleo ya kiuchumi katika kanda ya ziwa ikiunganishwa na bandari kavu ya Isaka, ilifikiwa na maonyesho haya ya Fuso Fz.  Mikoa hii pia inaunganisha nchi jirani za Uganda, Kenya, Rwanda, Burundi and Demokrasia ya Kongo ambazo ni nchi zenye biashara nyingi kubwa miongoni mwake na Tanzania.

Kwa usafirishaji wa masafa marefu katika nchi hizi, Fuso Fz ina muundo maridhawa kupasua upepo usiwe kizingiti ambayo haikupatii umbali mrefu tu, bali pia inampunguzia dereva uchuvu kwa kuwa na kibini iliyoninginizwa vizuri kupumguza sana mtikisiko wa barabarani hasa kwenye matuta au barabara mbovu na kupunguza kelele za kutoka kwenye injini.

  Sifa hii ni muhimu sana kumpunguzia dereva uchovu na hivyo kuweza kutosababisha ajali zitokanazo na uchvu wa dereva na kusinzia wakati akiendesha. 

Mikoa ya nyanda za juu kusini pia ilikuwa katika mpango wa kupata faida zitokanazo na matumizi ya malori mapya Fuso Fz yenye teknolojia mpya kutoka Diamond Motors ltd baada ya kufikiwa na kampeni hiyo ya “Ndio! Fuso ni Faida” Kampeni hiyo ilipokelewa vizuri na wakazi wa mikoa ya Dodoma, Iringa, Mbeya na Songea ambapo pia kuna shughuli za kiuchumi kama uchimbaji wa madini, kilimo cha chai, misitu na kilimo cha kibiashara. 

 Wafanyabiashara walionyeshwa haja ya wao kubadilisha njia za usafirishaji kwa kutumia Fuso Fz na Fuso FJ na hivyo kupunguza gharama za uendeshaji na kupata Faida zaidi katika biashara za kiuchumi nchini na ukanda wa Africa Mashariki na kati.

Viongozi wa CHADEMA Gairo, Mikumi Wakimbilia CCM, Bi. Suluhu Awapokea...!

$
0
0
Msafara wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan ukiwasili Gairo mkoani Morogoro.
Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) akiwashukuru baadhi ya wananchi waliofika kumpokea mpakani mwa Mkoa wa Dodoma na Morogoro alipokuwa akiwasili kuanza ziara ya kampeni mkoani Morogoro leo.
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais CCM, Bi. Suluhu (kushoto) akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Morogoro walipofika kupokea akitokea mkoani Dodoma. Mgombea huyo ameanza ziara ya kampeni Mkoa wa Morogoro leo.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kumpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu alipowasili Mkoa wa Morogoro tayari kwa ziara ya kampeni.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la Gairo leo Morogoro.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la Gairo leo Morogoro.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la Gairo leo Morogoro.
WanaCCM na wananchi wengine wakiwa katika mkutano wa kwanza wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Suluhu (hayupo pichani) katika Jimbo la Gairo.
WanaCCM na wananchi wengine wakiwa katika mkutano wa kwanza wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Suluhu (hayupo pichani) katika Jimbo la Gairo.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby akizungumza na wanaCCM na wananchi waliofika katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza nafasi ya urais wa CCM.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby (kulia) akizungumza jambo na mgombea mwenza wa nafasi ya urais CCM, Bi. Suluhu katika mkutano wa kampeni Gairo.
Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu alipowasili katika mkutano mdogo wa kwanza kuinadi ilani ya CCM Jimbo la Gairo leo Morogoro.
Mbunge wa Afrika Mashariki, Angela Kiziga akizungumza katika mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika Jimbo la Gairo.
Baadhi ya vijana wakiwa wamepanda juu ya gari lililoegeswa ili kumuona mgombea mwenza wa CCM, alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni Gairo.
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumpta Mshama akiwahutubia wanaCCM na wananchi wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro.
Baadhi ya wanachama wa CCM na wapenzi wa chama hicho wakimpokea mgombea mwenza wa CCM, Bi. Samia Suluhu alipowasili katika Jimbo la Mvomero leo ambapo alifanya mkutano wa kampeni.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby akiwahutubia wanaCCM na wananchi wa Jimbo la Gairo Mkoani Morogoro.

CCM Oyeeeeeeee....! Mkutano Jimboni Gairo.
*Imeandaliwa na www.thehabari.com

EAMCEF FUNDRAISING GALA 2015


Upendo Nkone kuzindua albamu ya tano leo

$
0
0
Uendondo Nkone (katika) akiimba moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano na waandashi wa habari kuhusu  kuadhimishi miaka 10 tangu aanze huduma ya uimbaji.

 NA MWANDISHI WETU

MWIMBAJI mahiri wa nyimbo za injili nchini Upendo Nkone, kesho anatarajiwa kuadhinisha miaka 10 tangu aanze huduma hiyo ya uimbaji sambamba na uzinduzi wa albamu yake ya tano iitwayo ‘Omba Yesu Anasikia’ yenye jumla ya nyimbo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Nkone alisema mbali ya tukio hilo la kesho kubeba uzinduzi wa albamu mpya na maadhimisho ya miaka yake 10 katika huduma hiyo, pia kwake ni kumshukuru Mungu kujamlia uzima na afaya.

Alisema kudumu kwa miaka yote hiyo katika huduma hiyo yenye vikwazo na hila za kila aina, ni jambo la kumshuruku Mungu ikiwemo kumvusha salama katika matatizo ya kiafya aliyopata mwaka jana hadi kufanyia upasuaji mkubwa.

“Upendo wa Mungu ni mkubwa mno kwangu. Kufanya huduma hii ya uimbaji kwa miaka yote hii 10, sio kitu kidogo. Lakini pia kupitia tukio hili la Jumapili (kesho), nitalitumia kurejesha sifa na utukufu kwa Mungu kunivusha salama katika upasuaji ambao hata madaktari walikiri ulikuwa mgumu,” alisema.

Kuhusu uzinduzi huo utakaofanyika katika ukumbi wa Kanisa la TAG-Upanga lililopo chini ya Askofu Mwasongole, Upendo alisema maandalizi yamekwenda vizuri na atasindikizwa na waimbaji wengi mahiri katika tukio hilo muhimu kwake.

Anawataja baadhi ya waimbaji watakaomshindikiza, ni Bonny Mwaitege, Masanja Mkandamizaji, Messi Chengula, Jesca Boniface Magupa ‘BM’, Bahati Bukuku na wengineo kibao na kutoa wito kwa wapendwa na wapenzi wa muziki wa injili kujitokeza kwa wingi.

Upendo alisema tukio hilo litakaloanza majira ya saa nane mchana, kiingilio cha juu kitakuwa shilingi 5,000 kwa wakubwa na watoto ni shilingi 2000 na kusema kila atakayefika ukumbini, hatajutia muda wake.

Akizungumzia mafanikio ya huduma yake, Upendo amemshukuru Mkurugenzi wa Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama kwa saopoti kwani kupitia matamasha yake ya Pasaka na Krismasi, yamempa nafasi ya kujulikana na kukua zaidi kihuduma.

YANGA YAIFUMUA SIMBA 2-0

$
0
0
Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia na Kelvin Yondan (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


Mshambuliaji wa Yanga, Malimi Busungu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Simba.
Raha ya ushidi..............
Mshambuliaji wa Simba, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Yanga, Salum Telela na Haruna Niyonzima  wakati wa mchezo wa Liku Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein Atowa Mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee wa Welezo na Sebleni Zanzibar

$
0
0
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif Ali Iddi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ustawi wa Jamii Zanzibar Bi Asha Abdalla wakiongozana na mlezi wa Wazee Welezo wakiwasili katika viwanja vya Makaazi ya Wazee Welezo Unguja kumuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kutowa Mkono wa Eid kwa Wazee hao kusherehekea Sikukuu hiyo ya Eid El Hajj.

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha akizungumza na Wazee wa Welezo wakati alipofika katika makaazi yao kuwajulia hali na kutoa mono wa Eid El Hajj kwa Wazee hao kwa Niaba na Mama Mwanamwema Shein.
Wazee wa Makaazi ya Wazee Welezo Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha wakati alipofika katika makaazi ya Wazee Welezo kuwatembelea na kutoa Mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee hao.  
Wazee wa Makaazi ya Wazee Welezo Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha wakati alipofika katika makaazi ya Wazee Welezo kuwatembelea na kutoa Mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee hao
Kwa Niaba ya Wazee wanaoishi Makaazi ya Wazee Welezo Mzee Shein Kombo akitowa shukrani kwa niaba ya wazee wezake kwa Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kwa kuwajali na kuwatembelea mara kwa mara anapopata nafasi kuja kuwajuliana hali na kujua shida zao,  
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akitowa mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee wa Welezo kwa Niaba ya Mama Mwanamwema Shein, 
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akimjulia hali na kumpa mkono wa Eid El Hajj Mzee Chui anayeishi katika makaazi ya Wazee Welezo Zanzibar 
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akimjulia hali Bi Riziki anayeishi katika Nyumba za Makaazi ya Wazee Welezo wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid kwa wazee hao kwa niaba na Mama Mwanamwema Shein.

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif akizungumza na Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar, alipofika kuwatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj kwa niaba ya Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein.  
Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha Balozi wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj. 
Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha Balozi wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj. 
Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar wakimsikiliza Mama Asha Balozi wakati alipowatembelea na kutoa mkono wa Eid El Hajj. 
Mzee Omar akisoma Dua wakati wa hafla hiyo 
Wazee wakiitikia dua. 
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi akitowa mkono wa Eid El Hajj kwa Wazee wa Nyumba Sebleni Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Ustawi wa Jamii Ndg Asha Abdalla akitowa mkono wa Eid kwa Wazee wa Makaazi ya Wazee Sebleni Zanzibar kwa niaba ya Mama Mwanamwema Shein.
Imetayarishwa na Othmanmapara.Blogspot. zanzinews.com. 

Mkutano wa Kampeni Mgombea Urais wa CCM Zanzibar Dk Shein, Viwanja vya Bungi Zanzibar

$
0
0
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM  Mhe Shamsi Vuai Nahodha akisalimiana naViongozi wa CCM wa Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kuwasili katika viwanja vya mkutano wa hadhara wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, uliofanyika viwanja vya mpira bungi. 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja alipowasili katika viwanja vya mpira bungu kuhudhuria Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.
Wanachama wa CCM wakiingia katika viwanja vya mkutano wa kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, wakiwa na picha za Wagombea 
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ndg Ramadhan Abdalla alipowasili katika viwanja vya Bungu kuendelea na Kampeni zake za kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya mkutano Bungi akiwapungia mkono Wananchi waliohudhuria mkutano huo wa Kampeni katika viwanja vya mpira Bungi akiongozana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali Vuai . 
Mgombea Urais wa Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya bungi kuaza kwa kampeni yake akiwa na Viongozi wa CCM kushoto Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali Vuai na kushoto Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ndg Ramadhan Abdalla, wakielekea jukwaa kuu kwa ajili ya mkutano huo. 
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimsikiliza Mgombea Urais wa Zanzibar  kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein. uliofanyika katika viwanja vya bungi.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ndg Ramadhan Abdalla akiwahutubia Wananchi wakati wa mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika viwanja vya mpira Bungi Unguja.
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakishangia wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM uliofanyika katika viwanja vya Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali Vuai akiwahutubia WanaCCM wa Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM akisoma Ilani ya Uchaguzi ya CCM ambayo ilivyotekelezwa kwa kiasi kikubwa katika miradi mbalimbali ya maendeleo Zanzibar, na kuwataka Wananchi kumchagua Dk Shein kwa maendeleo zaidi kwa Zanzibar na Wananchi wake.
Kada wa CCM Bi Amina Salum Ali akiwahutubia Wananchi wakati wa mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM na kuwata kumpigia Kura ya Ndio Dk Ali Mohamed Shein, ili kuendelea kuwaletea maendeleo. 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mhe Shamsi Vuai Nahodha akiwahutubia Wananchi wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya mpira Bungi Wilaya ya Kati Unguja.

Wanachama wa CCM wakishangia wakati wa Mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar katika viwanja vya Bungi Unguja.
Wanachama wa CCM wakimshangilia Mgombea wa Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein wakati akiwahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vha mpira Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
Viongozi wa meza kuu wakimkaribisha Mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein, akipanda jukwaani kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi katika mkutano wake wa Kampeni katika viwanja vya Bungi Wilaya ya Kati Unguja
Wanachama wa CCM wakimshangilia Mgombea wa Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein wakati akipanda jukwaani kwa ajili ya kuwahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vha mpira Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
Viongozi wa meza kuu wakimkaribisha Mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein, akipanda jukwaani kwa ajili ya kuwahutubia Wananchi katika mkutano wake wa Kampeni katika viwanja vya Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi na Wana CCM katika mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mpira Bungu Wilaya ya Kati Unguja na kuomba Kura kuendelea kuiongoza Zanzibar kwa Maendeleo katika sekta mbalimbali za Kijamii na kuendeleza kukuza Uchumi wa Zanzibar.  

Wanachama wa CCM wakimshangilia Mgombea wa Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein wakati akiwahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vha mpira Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia mkutano wa Mgombea Urais wa CCM Dk.Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya bungi Wilaya ya Kati Unguja wakati akitangaza Sera za CCM katika mkutano wake wa Kampeni Unguja. 
Wagombea Uwakilishi katika Jimbo la Kiembesamaki Mhe Mahmoud Thabit Kombo na Mgombea Uwakilishi Jimbo la Muyuni Mhe Jaku Ismail wakifuailia mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Bungi Wilaya ya Kati Unguja.
Kijana akitowa ishara kwa Wananchi wenye ulemavu wa kutokusikia kwa alama ya Ishara wakati mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein, akihutubiwa katika mkotano wake wa Kampeni katika viwanja vya mpira Bungi Wilaya ya Kati Unguja. 
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika viwanja vya mpira Bungi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia na kutangaza Sera za CCM katika kipindi kijacho cha Uongozi wake kuendelea Maendeleo kwa Wananchi wa Zanzibar katika Sekta mbalimbali Zanzibar.
Taswira katika viwanja vya mkutano wa Kampeni ya Mgombea Urais kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein viwanja vya Bungi Wilaya ya Kati Unguja, mwananchi huyu akifuatilia Sera za CCM wakati Mgombea akiwahutubia. 
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimshangilia Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, wakati akihutubiwa Wananchi katika Mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya mpira Bungi Unguja.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Wananchi Wanachama wa CCM baada ya kumaliza kwa mkutano wake wa Kampeni ya Kugombea Urais wa Zanzibar uliofanyika katika viwanja vya mpira Bungi miembe mingi Wilaya ya Kati Unguja Mkoa wa Kasini Unguja.

Imetayarishwa na Othmanmapara.Blogspot. Zanzinews,com 

Dk Shein Mgeni Rasmin Baraza la Eid El Hajj Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotono Mkoa wa Kaskazini Unguja

$
0
0
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akipokelewa na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, akiwasili na katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akisalimiana na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais Mstaaf wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume,akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akipokelewa na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili kwa msafara wa mapikipiki ya Polisi wa Usalama Barabara kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj zilizofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja,  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili kwa msafara wa mapikipiki ya Polisi wa Usalama Barabara kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj zilizofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja, 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Juma Kassim Tindwa , tayari kwa huhudhuria hafla ya Baraza la Eid El Hajj zilizofanyika Kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwasili viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akiongozana na Kamishna wa Polisi Zanzibar Kamishna Hamdani tayari kwa kupokea salamu za Bwaride lililoandaliwa kwa ajili yake na Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU, katika viwanja hivyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akipokea saluti maalum ilioandaliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU kwa ajili ya Baraza la Eid El Hajj.lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni Unguja.
Kikosi cha FFU kikitowa heshima ya Bwaride Maalum lililoandaliwa kwa Ajili ya Baraza la Eid El Hajj kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akielekea Ukumbi wa Baraza la Eid El Hajj baada ya kupokea Saluti ya Bwaride Rasmin la Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU.
Viongozi wa meza Kuu wakiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Viongozi wengine wakimsikiliza msoma Quran wakati wa ufunguzi wa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika kitaifa katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, kutoka kushoto Naibu Musti wa Zanzibar Shekh. Mussa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad na kulia Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Abubakar Khamis Bakar Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Rais Mastaaf wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume na Mama Fatma Karume. 
Msoma Quran Ust Juma Said akisoma Quran wakati wa ufunguzi wa Baraza la Eid El Hajj lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar. 
Ust. Machano Faki akisoma Tafsiri ya Quran wakati wa hafla ya Baraza la Edi El Hajj lililofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Zanzibar Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Waziri wa Sheria Katiba Zanzibar Mhe. Abubakar Khamis Bakar akitowa maelezo na kukaribisha Mgeni Rasmin, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kuhutubia Wananchi katika Hafla ya Baraza la Eid lililofanyika Kitaifa Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia Wananchi katika Baraza la Eid El Hajj katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja. 
Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar wakati wa hafla ya Baraza la Eid El Hajj.
Viongozi wa Serikali na Wananchi wakihudhuria Baraza la Eid El Hajj wakifuatilia Hutuba ya Baraza la Eid iliyokuwa ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid ikisomwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Baraza la Eid El Hajj Kitaifa limefanyika katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) wakiwa kazini kurusha matangazo wakati wa hafla ya Baraza la Eid El Hajj lililofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar.
Naibu Mufti wa Zanzibar Shekh. Mussa, akisoma dua baada ya kumalizika kwa hutuba ya Mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.
Viongozi wa Serikali wakiitikia dua.
Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiitikia Dua.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi Ali Karume nje ya Ukumbi wa Baraza baada ya kumalizika kwa hafla hiyo wakipata viburudisho vilivyoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Hajj.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Viongozi wa Serikali kutoka kushoto Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalif Seif Shariff Hamad, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Rais Mstaff wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume.
Viongozi na Wananchi wakipata dhifa ilioandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Hajj kwa Wananchi katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni Zanzibar.
Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,  
Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,  

Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,  
Wananchi wakipata vitafunio baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Hajj kumalizika kwa hutba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein. 
Viewing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>