Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA NSSF ZAJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI NJE YA NCHI

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii - NSSF, Bw. Masha Mshomba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSOKOLO ARUDI CCM, ATAMBA KULETA MAGEUZI MAKUBWA CCM

 Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Nungwi Zanzibar kupitia Chama cha Demokrasia Makini, Hussein Ramadhan Layya maarufu Msokolo. Na Mwandishi Wetu, Zanzibar ALIYEKUWA  Mgombea ubunge jimbo la Nungwi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SIRRO: TARI FIKENI VIJIJINI KUTOA ELIMU YA AFYA YA UDONGO

 Na  Asha MwakyondeMKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro ameiomba Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI),kutoa elimu ya afya ya udongo vijijini kwa kuwa taasisi hiyo ndiyo itakayookoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO CHA MWALIMU NYERERE CHABUNI MFUMO WA KUJAZA MAJI KWA NJIA YA SIMU

 Mbunifu Zacharia Lymo akionyesha mfumo unavyofanya kazi.Na Asha MwakyondeCHUO Cha Kumbukumbu Mwalimu Nyerere kimekuja na bunifu ya kuwasha Bomba 'Pumb' kwa mfumo wa kutumia simu ya mkononi kujaza maji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NFRA YATOA ELIMU MATUMIZI YA VIUATILIFU

Profesa Anna Tibaijuka akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea banda la Walaka wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA). Na Asha MwakyondeWAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA),imesema kuwa...

View Article


WAZIRI MKUU AKABIDHI MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI RUANGWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 08, 2022 amekabidhi mikopo yenye jumla ya shilingi, 256,158,000 iliyotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kwa vikundi 27...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA JAI YAWAFARIJI WAGONJWA KWA MISAADA

Sheikh wa Mkoa wa Singida, Issa Nassoro akionesha upendo kwa kumnywesha maji, mgonjwa Hawa Hassan kutoka Shelui, ambaye amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Singida wakatiakiwaongoza Wanajumuiya wa Taasisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJ DK. HUSSEIN ALI MWINYI AJUMUIKA NA WANANCHI WA MKOA WA...

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akitekeleza Ibada ya Suna ya kuchinja, baada ya kumaliza Sala ya Eid Al Hajj iliyofanyika Kitaifa Mkoa wa Kaskazini...

View Article


UCHAGUZI WA BABA NA MWANA

Adeladius Makwega-CHAMWINO IKULU Kuna wakati pahala fulani Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam walikuwa wakifanya uchaguzi wa jumuiya zake ndogo ndogo, nafasi zikatangazwa na kutoa fursa kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA BENKI YA DUNIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bi. Victoria Kwakwa mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMZ yatoa bei elekezi ya Mchanga

Na Talib Uss, ZanzibarSerikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema itamchukulia hatua mwananchi atakayefanya biashara ya mchanga bila kufuata utaratibu, Wizara ya Maji, Nishati na Madini (WMNM)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Samia asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Japan na Angola...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha maombolezo tarehe 11 Julai, 2022 katika Ubalozi wa Angola Jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha Rais wa zamani wa...

View Article

Mkojo wa Sungura kutumika kukufukuza wadudu shambani

NA TATU MOHAMED CHUO Kikuu cha Mzumbe kimekuja na  ubunifu wa mkojo wa Sungura kutumika kwa kilimo cha matunda na mbogamboga ili kufukuza wadudu waharibifu. Katika kufanya tafiti zake, imegundulika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VETA KIHONDA YAWAITA WAWEKEZAJI KWENYE KILIMO

NA TATU MOHAMED MAMLAKA  ya  Elimu na Ufundi Stadi (VETA) ,Kihonda Morogoro, kimewasihi wawekezaji nchini  kuja kuwekeza katika sekta ya kilimo kwani upatikanaji wa malighafi za kilimo kwa sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WAZIRI MKUU YAONDOKA NA MKURUGENZI WA JIJI KWA TUHUMA ZA UBADHIRIFU...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, Bw. Jumanne Shauri pamoja na watumishi wengine tisa wa jiji hilo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU MWENYEKITI WA BODI YA PSSSF DKT. AGGREY MLIMKA AFURAHISHWA NA MATUNDA...

MAKAMU Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Dkt. Aggrey Mlimuka ametembelea banda la USHIRIKIANO linalotumiwa na Mfuko huo na ule wa NSSF kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MWINYI AHIMIZA WANANCHI KUWALEA WATOTO YATIMA

 Na Mauwa Mohammed Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Husein Ali Mwinyi amesema suala la kuwashughulikia na kuwatunza watoto yatima ni jambo jema sana mbele ya mwenyezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB atunukiwa Tuzo ya uongozi bora wa biashara Afrika

Afisa Mkuu wa Teknolojia na Mabadiliko ya Kidijitali wa NMB - Kwame Makundi akipokea tuzo maalum ya uongozi wa biashara barani Afrika mwaka 2022 kutoka kwa Waziri wa Biashara Ofisi ya Waziri Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi waitwa kuijua TET

Na Irene MarkTaasisi ya Elimu Tanzania ( TET) imewaomba wananchi  wa Mkoa wa Dar es Salaam kutembelea katika banda lao lilipo Jakaya Kikwete kwenye maonesho ya 46 ya kitaifa ya kibiashara maarufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA (TEA) YAFURAHIA UTENDAJI KAZI WA BARAZA LA...

Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la TEA Bi. Bahati Geuzye (wa pili kulia) akisisitiza jambo wakati wa kikako cha Baraza hilo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni mwakilishi wa Mkurugenzi wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>