MTANDAO WA ELIMU TANZANIA KUADHIMISHA JUMA LA ELIMU WILAYANI RORYA
Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Ochola Wayoga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na Maadhimisho ya Juma la Elimu (Global...
View ArticleZAWADI MISS KAGERA 2021 HII HAPA
Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo akizunguza baada ya kuzindua zawadi ya gari kwa ajili ya mshindi wa taji la miss Kagera 2021.Mkuu wa wilaya ya katika majaribio ya gari hilo jipya.Mwekezaji...
View ArticleKUNENGE ATUA BAGAMOYO KWA KISHINDO AANZA KUWAPA SOMO WATAALAMU WAZEMBE KATIKA...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kungenge akiwa amenyanyua zawadi maalumu aliyopatiwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Bagamoyo kwa ajili ya kukaribishwa rasmi, kulia kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani...
View ArticleMHE.CHAMUHIRO ATEMBELEA BANDA LA BRELA KATIKA MAONESHO YA WADAU WA SEKTA YA...
Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Mhandisi Leonard Chamuhiro, akipatiwa maelezo na maafisa wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), alipotembelea banda hilo mapema leo, baada ya...
View ArticleRais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa...
View ArticleMAJALIWA: NACTE VISAIDIENI VYUO KUTOA ELIMU YENYE KUKIDHI MAHITAJI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameliagiza Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) liimarishe usimamizi na kuvisaidia vyuo kutoa elimu inayozingatia viwango vya ubora na vyenye kukidhi mahitaji ya soko...
View ArticleSerikali kuweka sera nzuri kwa Vyuo vya Ufundi na Sekta Binafsi
Na Jasmine Shamwepu, DodomaWAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuweka sera nzuri zinazotoa fursa kwa Vyuo vya ufundi na sekta binafsi ili kuhakikisha mafanikio...
View ArticleMarie Stopes, Lavy Pads washerehekea hedhi salama
Na Irene MarkSiku ya hedhi duniani huadhimishwa kila mwaka, siku ya tarehe 28 Mei. Siku hii ina lengo la kuwakutanisha wadau mbalimbali kwa dhumuni la kuongeza uelewa kuhusu maswala ya hedhi na...
View ArticleMAJALIWA: MARA WEKENI MKAKATI WA KUITANGAZA MBUGA YA SERENGETI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Mwongozo wa Uwekezaji Mkoa wa Mara kwenye ukumbi wa Bishop Rudin uliopo kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari ya Mwembeni mjini Musoma, Mei...
View ArticleWAJASILIAMALI WAASWA KUZALISHA BIDHAA ZENYE BORA
********Wajasiriamali kote nchini wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kuweza kuhimili ushindani katika soko la ndani na kimataifa.Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe ameyasema hayo...
View ArticleKIVUMBI CHA MASHINDANO YA UMITASHUMTA MKOA WA PWANI CHAZINDULIWA RASMI
Baadhi ya wanafunzi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga wakiwa katika maandamano huku wakipiga saluti kwa mgeni rasmi hayupo picha wakati wa ufunguzi wa michuano ya umoja wa michezo na taaluma...
View ArticleWAITARA ATAKA TATHMINI MV MBEYA II
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara, akishuka katika chelezo kilichopo bandari ya Kiwira, mara baada ya kukagua chelezo hicho wilayani Kyela, Mkoani Mbeya. Naibu Waziri wa Ujenzi na...
View ArticleNMB yazindua jukwaa la kuwawezesha vijana
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu, Patrobas Katambi (wapili kulia), Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe (wa tatu kulia) na Afisa Mkuu...
View ArticleTaaasisi ya MOI ina uhitaji wa damu
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dkt. Respicious Boniface. NA ASHA MWAKYONDE. DAR ES SALAAMMKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dkt. Respicious Boniface...
View ArticleACT yahimiza mshikamano
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo ambae pia ni Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Othman Masoud Othman amewataka wanachama wa chama hicho kushikamana kwa pamoja ili...
View ArticleSHAMBA LENYE EKARI 100 LINAUZWA,LIMEPIMWA
Shamba lenye Ekari 100 ambalo tayari limeishapimwa linauzwa .Mahali: Shungumbweni, Mkuranga karibu na Kiwanda cha Chumvi Neel SaltBei: Mil.150,000,000 (mazungumzo yapo) .Umbali: Kilomita 5 kutoka...
View ArticleVIONGOZI TUMIENI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2021 KUTATUA CHANGAMOTO...
Na James Mwanamyoto-KaremaKatibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro amewataka viongozi katika Taasisi za Umma kutumia Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...
View ArticleWAZALISHAJI WA MAZIWA TANGA WAJIUNGA NA NHIF KWA KUWEZESHWA NA BENKI YA CRDB
Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya CRDB Dkt. Joseph Witts kushoto akiwa Mkurugenzi wa Huduma za Wanachama wa NHIF, Christopher Mapunda kulia wakisaini makubaliano na Wazalishaji wa Maziwa kupitia...
View ArticleMabalozi Wahimizwa Kulitumia Bakita
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul ametoa wito kwa mabalozi wa nchi mbalimbali zilizopo hapa nchini kulitumia Baraza la Kiswahili la...
View ArticleJAFO ATOA MIEZI MIWILI KWA UONGOZI WA KIWANDA CHA QUAIM STEEL MILLS...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo akitoa maelekezo kwa viongozi wa kiwanda cha Quaim Steel Mills limited mara baada ya kutembelea kiwanda hicho katika...
View Article