DKT. NCHIMBI AMKABIDHI RASMI OFISI MKUU MPYA WA MKOA WA SINGIDA
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi (kulia) akimkabidhi kabrasha Mkuu wa Mkoa huo Mpya Dkt. Bilinith Mahenge katika hafla iliyofanyika ofisi ya mkuu wa mkoa mjinini hapa.Aliyekuwa...
View ArticleMeja Jenerali Charles Mbuge awasili mkoani Kagera
Meja Jenerali Charles Mbuge akipokelewa baada ya kuwasili mkoani Kagera. Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti akimpokea mkuu mpya wa mkoa huo Meja Jenerali Charles Mbuge...
View ArticleNMB yaendesha semina ya walimu kuwapa elimu ya fedha
Washiriki wa Semina ya walimu wakuu wa Shule za msingi na wakuu wa Shule za Sekondari zilizopo Mkoa wa Arusha, wakisikiliza hotuba ya mgeni rasimi kwenye uzinduzi wa semina ya mafunzo ya bidhaa za...
View ArticleWAZIRI AWESO ATOA ONYO KALI JUMUIYA ZA MAJI, AJA NA SULUHISHO LA KUMALIZA...
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso,ameagiza kuvunjwa kwa Jumuiya ya Maji katika kijiji cha Berege wilayani Mpwapwa huku akitoa onyo kali la ubadhilifu wa fedha za Jumuiya ya watumia maji katika mradi wa maji...
View ArticleWizara ya Afya yaanza utekelezaji wa maboresho ya huduma za matibabu kwa Wazee
Na WAMJW-DodomaWizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kufanya ufuatiliaji wa maelekezo yake katika kuboresha huduma za matibabu kwa wazee kwenye vituo vya kutolea huduma...
View ArticleADO SHAIBU AKABIDHI SARUJI MSIKITI WA MSINJI-TUNDURU
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu ambaye pia alikuwa Mgombea wa Ubunge katika Jimbo la Tunduru Kaskazini Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020, leo amekabidhi Mifuko thelathini (30) ya Saruji kwa...
View ArticleKALEMANI ATOA MAAGIZO MAZITO KWA REA
NA HAMIDA RAMADHANI, DODOMAWAZIRI wa Nishati Medard Kalemani amewaagiza wakandarasi wa mradi wa wakala wa umeme vijijini (REA) awamu ya tatu mzunguko wa pili kuhakikisha hadi kufikia 2022 vijiji...
View ArticleTutamuenzi hayati JPM kwa kutimiza ahadi zake Veta
Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Dk. Bujulu akitoa maelekezo kwa Waziri Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako na Balozi wa China hapa Tanzania, Ke kuhusu vifaa vilivyotolewa na serikali ya...
View ArticleVIONGOZI SIMAMIENI HAKI, MAENDELEO KATIKA UKUSANYAJI MAPATO-MKUU WA MKOA WA...
Na Lydia Lugakila, BukobaAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amekabidhi rasmi ofisi za mkoa tayari kuelekea Mtwara kituo chake kipya cha kazi, Brigedia Gaguti amekabidhi...
View ArticleRC MAKALLA AONYA MAJAMBAZI DAR AAGIZA POLISI KUYAKAMATA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa huo, Amos Makalla, akizungumza kuhusiana na watu wanaojihusisha na ujambazi na kuliagiza Jeshi la Polisi...
View ArticleRC Makalla akutana na Wazee wa CCM Dar, awaahidi ushirikiano
Na Hussein Ndubikile, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam , Amos Makalla ameanza rasrmi majukumu yake kwa kukutana na Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi wa mkoa huo na kuahidi...
View ArticleMikopo ya NMB Masta Boda sasa yatua rasmi Kanda ya Kaskazini
Kutoka Kushoto: Mwendesha bodaboda wa Jijini Arusha Stella Nguma, Mkuu wa kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB Alex Mgeni, Mwenyekiti wa chama cha pikipiki za miguu mitatu Twaha Mpera, Mwenyekiti wa...
View ArticleMaelekezo ya Rais Samia, IMF yaanza kutekelezwa
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kulia)akimsikiliza Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Fedha Kimataifa (IMF) nchini, Bw. Jens Reinke (kushoto) katika kikao kilichofanyika...
View ArticleWANANCHI TUNDURU WATAKIWA KUTUMIA VYEMA UJUZI WA KUKABILIANA NA TEMBO
Afisa Wanyamapori Wilaya ya Meatu, Revocatus Menei akitoa maelekezo ya namna ya kutumia tochi maalum kufukuza tembo kwa baadhi ya wanakijiji cha Jakika Wilaya ya Tunduru katika mafunzo kwa vitendo...
View ArticleVyuo Vikuu vyahimizwa kufanya tafiti zenye tija kijamii na kiuchumi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Leonard Akwilapo (kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Mhadhiri Mwandamizi Idara ya Sayansi na Teknolojia, Dk. Lilian Kaale alipotembelea...
View ArticleMwakinyo kumpa asante Rais Samia kwa kumchapa Mayala
Bondia Hassan Mwakinyo ameahidi kumpa kipigo kikali mpinzani wake Antonio Mayala kutoka Angola ikiwa asante kwa Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.Mwakinyo ambaye atawania...
View ArticleMKUU WA MKOA WA PWANI AKUTANA NA WADAU WA ZAO LA KOROSHO WILAYANI RUFIJI...
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Aboubakar Kunenge akizungmza katika kikao cha wadau wa zao la Ufuta kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo cha ufundi stadi cah (FDC) ambacho kilihudhuliwa na viongozi mbali mbali...
View ArticleALICIOS AJA NA KIMYAAAA, KIZITOOO
Mwanamuziki Mashughuli kutoka Congo na Afrika Mashariki - ALICIOS baada ya kutoa albamu yake 2020 na kufanya vizuri katika Mitandao maarufu ya kusikiliza muziki ndani na nje ya afrika . Mwezi huu wa...
View ArticleWILAYA YA MANYONI YAZINDUA TASAF AWAMU YA TATU SEHEMU YA PILI
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) kutoka Makao Makuu,, Peter Lwanda akisoma taarifa ya TASAF Awamu ya Tatu Sehemu ya Pili wakati wa hafla ya uzinduzi...
View ArticleJAMII YA WAFUGAJI MBARALI KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA MKURABITA KUBORESHA MAISHA YAO
Meneja Urasimishaji Ardhi Vijijini wa Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (Mkurabita), Anthony Temu (wa pili kulia) akiwaelekeza maafisa wa Halmashauri ya Wilaya ya...
View Article