Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU APOKEA TAARIFA YA TIMU YA UCHUNGUZI WA MKONGE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati  Maalum aliyoiunda ya kuchunguza zao la mkonge, Gerlad Kusaya  baada ya taarifa hiyo kusomwa  mbele ya Waziri Mkuu katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI SINGIDA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZA WATU 14 KUUAWA WILAYANI...

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike, akizungumza na waandishi wa habari kukanusha kuwepo kwa mauaji wilayani Manyoni. Waandishi wa habari mjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC Kufanyika tarehe 16 - 17 Machi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushiriikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC utakaofanyika Machi 11 – 17 jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANROADS TABORA YAOMBA BILIONI 23.3 MWAKA UJAO WA FEDHA ZA MATENGENEZO YA...

 Mkuu wa  Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akifungua kikao cha Bodi ya Barabara cha Mkoa wa Tabora.Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania(TANROAD) Mkoa wa Tabora Ndamiani Ndabalinze akitoa mada jana wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILIONI 50 KUJENGA KIWANJA CHA NDEGE CHA MTWARA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga (katikati), akielekeza jambo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafungwa 150 wapelekwa Kwitanga kulima Mchikichi

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili kulia) na Mkuu wa Gereza Kwitanga, Mrakibu Mwandamizi, Dominick Kazmil wakiangalia matunda ya mchikichi yaliyovunwa katika gereza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madiwani Waazimia kuwawajibisha watumishi wanaokula njama na wakwepa ushuru

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mheshimiwa Steven Kayogolo akitoa maagizo ya mwisho kwa Afisa utumishi na  Mwanasheria wa Halmashauri hiyo (hawapo pichani) juu ya kutafuta vifungu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya NMB yanogesha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Simiyu

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Magharibi - Sospeter Magesse (kushoto), akimkabidhi fulana 1800 Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu - Jumanne Sagini kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ufaransa yatumia Euro milioni 760 kuchangia maendeleo Tanzania

Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Fr'ed'eric Clavier(wa tatu kulia) akiwa na maseneta sita kutoka nchini Ufaransa ambao wamekuja nchini kwa ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Balozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masauni-Wahamiaji Haramu kusakwa Nyumba za Wageni, Mahotelini

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akiongozana na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwenda  kukagua maeneo mbalimbali yanayosemekana yanatumika kupitisha wahamiaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwanasiasa Mkongwe ambaye ni Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad kwa kutokugusana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DStv yaja na ‘Jiongeze tukuongezee’

*Mteja akilipia kifurushi cha juu yake kuunganishwa cha juu zaidi bila gharama ya ziadaWateja wa DStv wanaendelea kufurahia ofa kabambe zinazotolewa na MultiChoice na sasa imezindua kampeni mpya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOROGORO-DODOMA HAKUNA MAWASILIANO BAADA YA BARABARA KUKATIKA

 Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) inautarifu Umma kuwa sehemu ya barabara eneo la Kiyegeya (Magubike) katika Wilaya ya Kilosa kwenye Barabara Kuu ya Morogoro – Dodoma imekatika na hakuna...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI TIGO TANZANIA ALIVYOSHIRIKI TIGO KILI HALF MARATHON 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tigo Tanzania, Simon Karikari, akikimbia mbio za Tigo Kili Half Marathon 2020, zilizofanyika Jumapili mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA KUGOMBEA MALI ZA BILIONEA ULOMI YARUDI MAHAKAMANI KUTAKA MJANE AONDOLEWE

Mjane Zainabu Mkwama na mtoto wa marehemu Mume wake Julius Olomi wakiwa mahakamani wakipinga kutaka kuondolewa katika usimamizi wa mirathi.   Na Mwandishi WetuKESI ya kugombea mali za marehemu bilionea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi apokea hati za utambulisho kutoka UN, UNHCR

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akimfafanulia jambo Mratibu Mkazi wa Shughuli za Umoja wa Mataifa (UN) Bw. Zlatan Milisic katika Ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ushirikiano Serikali ya SMT na SMZ wazidi kupaa

Mwenyekiti wa kikao cha kujadili maeneo ya ushirikiano baina ya Serikali ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Mahmoud Omar Hamad, ambaye ni Mkurugenzi wa Mipango,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM

Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi ya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vijana Wapo Hatarini Kupata Matatizo ya Usikivu

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Masikio, Pua na Koo wa MNH-Mloganzila, Dk. Jonas Ndasika, akimfanyia uchunguzi wa awali mtoto Lailat Mohamed aliyefika hospitalini hapa kwa ajili ya kupimwa usikivu.Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTT--AMIS YATOA ELIMU JUU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWA WASTAAFU WATARAJIWA WA TRA

Mkurugenzi wa Uwekezaji wa UTT AMIS,  Pamela Nchimbi, akitoa darasa juu ya Uwekezaji wa Pamoja katika semina iliyoandaliwa na IMED kwa wastaafu watarajiwa wa TRA jijini Morogoro.Baadhi ya washiriki wa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>