Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONYESHO LA EID AL FARIS KUUNGURUMA IJUMAA JUNI 7 DAR ES SALAAM

Mratibu wa Onyesho la muziki lijulikanalo kama ‘The Eid Al Faris 2019", Antonio Nugaz, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Juni 6, 2019, wakati wa kutambulisha onyesho hilo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAFANYA OPERESHENI KALI KATIKA MAKAZI YALIOTUMIWA NA WAHALIFU...

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberates Sabas, akikagua mradi wa ujenzi wa Nyumba za Askari Polisi uliofadhiliwa na Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACB YAKABIDHI VIFAA VYA USAFI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA 2019

Na George Binagi-GB Pazzo, BMGKatika kuadhimisha kilele cha Siku ya Mazingira Duniani Juni 05, 2019, benki ya Akiba 'Akiba Commercial Bank' imekabidhi vifaa vya usafi kwa uongozi wa Soko Kuu jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ENDELEZENI UADILIFU MLIOUONESHA KIPINDI CHA MFUNGO-MAJALIWA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Sheikh Abubakar Zuberi Bin Ally, Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kushiriki katika Baraza la Eid kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENDA ASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID NA WATOTO YATIMA WA MAUNGA

Meya Mstaafu wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Juma Mwenda na Mkewe, Tausi Sangawe Mwenda wakigawa zawadi kwawatoto wanaoelelewa katika kituo ha watoto yatima cha Maunga  nyumbani kwake Mikocheni jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB YATOA MSAADA WA MADAWATI 150 NA VIFAA TIBA WILAYANI MKURANGA

 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwandege wilayani Mkuranga wakibeba madawati na viti mara baada ya kukabidhiwa na viongozi wawakilishi wa Benki ya NMB.Benki ya NMB imezipiga jeki shule...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKAA ENDELEVU WAINGIZA BILIONI 3/-

Meneja Mradi wa TTCS, Charles Leonard, akitoa mada kuhusu Mkaa endelevu  kwa maofisa mbalimbali kutoka wilaya 19 nchini.Na Suleiman MsuyaMRADI wa Kuleta Mageuzi Katika Sekta ya Mkaa Tanzania (TTCS)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEJA JENERALI KAPINGA MGENI RASMI PAMBANO LA NGUMI JUNI 7 JIJINI DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mafunzo na Utendeji Kivita wa JWTZ Meja Jenerali Alfred Kapinga ambaye atakuwa mgeni rasmi katika pambano la ngumi Juni 7, 2019 katika ukumbi wa 361 Mwenge jijini Dar es Salaam. (Picha kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA...

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wafanyabiashara Wakubwa kutoka katika Wilaya zote nchini pamoja na Wajumbe wa Baraza la Biashara la Taifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPANUZI KITUO CHA AFYA BWISYAKISIWANI UKARA WAFIKIA ASILIMIA 95

Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akiangalia ramani ya upanuzi wa Kituo cha Afya Bwisya kilichopo katika Kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe.Na George Binagi-GB Pazzo, BMGMkuu wa Mkoa Mwanza, John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KUKUZA UTALII NCHINI

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo wakipewa maelezo na Wily hida kuhusu uimara wa gari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. SHEIN AZUNGUMZA NA UJUMBE WA TAASISI YA AL-HIKMA

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayuko pichani), baada ya kumaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MUHEZA AWATAKA WAZAZI NA WALIMU KUHAKIKISHA KILA MTOTO ANAKUWA NA MTI...

MKUU wa wWlaya ya Muheza, Mhandisi Mwanasha Tumbo, akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kilele cha Wiki ya Mazingira Duniani ambayo wilayani imefanyika katika Kijiji cha Kimbo Kata ya Potwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF TANGA WATUMIA MAONYESHO YA SABA YA KIMATAIFA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI...

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii .Constantine Kanyasu kushoto akimsikiliza kwa umakini Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu wakati alipotembelea alipokwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILIMO CHANZO CHA UPOTEVU WA MISITU: UTAFITI

 Ofisa Misitu Mkuu wa Idara ya Misitu na Nyuki Wizara ya Maliasili na Utalii, Seleboni John, akielezea mikakati ya Wizara hiyo katika kuendeleza misitu kwa maofisa serikali kutoka wilaya mbalimbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA NA MKEWE MARY WAMJULIA HALI MAMA MARIA NYERERE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakimjulia hali Mama Maria Nyerere anayepatiwa matibabu jijini Dar es Salaam, Juni 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAONGOZA WATALII BORA NCHINI WAPEWA TUZO

  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt. Hamisi Kigwangalla akifungua hafla ya utoaji wa Tuzo za Waongoza Watalii nchini (Tanzania Tour Guides Awards 2019) kwa mwaka ,jijini Arusha. Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaohujumu miundombinu ya maji ujenzi wa hospitali ya Wilaya kukamatwa

Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo (kaundasuti nyeusi), akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Julieth Binyura, pamoja na kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa na wataalamu wengine wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SEIF ALI IDDI AKAGUA MIRADI YA MAJI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar {ZAWA} Nd, Mussa Ramadhan akimpatia maelezo Balozi Seif  hatua zinazochukuliuwa na Mamlaka hiyo katika kuona Mradi wa ujenzi wa Tangi la Maji unazingatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOGORO TEGETA MAGEREJI WAFUKUTA

Paul Makonda - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.Na Mwandishi WetuWANACHAMA zaidi ya 100 wa Tegeta Magereji Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wameamua kukusanya saini kwa ajili ya kuuondoa uongozi...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>