Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI MADARASA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA MBWENI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha Taaluma za Sayansi ya Afya,Dk.Haji Mwita,alipotembelea kuona vifaa mbali mbali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AZINDUA MBIO ZA BENDERA MKOANI IRINGA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akisalimiana na wananchi wa eneo la Ruaha Buyuni waliokuja kumpokea tayari kwa uzinduzi wa Mbio za Bendera. Wamama kutoka mkoa wa Iringa wakicheza...

View Article


MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI BAADA YA...

View Article

STARS YAMALIZA VIBAYA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA

BANJUL, GambiaTaifa Stars imemaliza vibaya mechi za mchujo za Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika baada ya kufungwa na Gambia huku Kocha Kim Poulsen akisema timu yake imefungwa mabao mepesi.Wenyeji Gambia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Exim yapiga tafu mfuko wa udhamini wa Benki Kuu

 Kaimu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) , Sera za Uchumi na Fedha Dkt. Natu Mwamba (kushoto) akipokea hundl la shilingi milioni kumi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Anthony Grant...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA KIPINDI CHA INJILI KUTOKA SWAHILI RADIO NA MTANGAZAJI WAKO MARY MGAWE

LEO JUMAPILI SEPTEMBA 08, 2013 KATIKA KIPINDI  CHA INJILI  SWAHILI RADIO Muasisi na aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola enzi wa Uhai wakeMtangazi wako Mary Mgawe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndugai atakuwa wa kwanza kuhatarisha Amani ya Nchi

 Na Bryceson MathiasKWA muda mrefu nimekuwa simuelewi, Naibu Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai, kama yale anayoyafanya akiwa kwenye kiti cha Spika huwa anayafanya kwa maslahi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NARIETHA BONIFACE ATWAA TAJI LA REDD’S MISS TANZANIA TOP MODEL

 Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania Top Model 2013, Narietha Boniface akipozi kwa picha mara baada ya kushinda taji hilo jana na kuwa mrembo wa pili kuingia katika nusu fainali za Miss Tanania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMI MBARONI KWA WIZI WA KAZI ZA WASANII

MKURUGENZI wa Msama Auction Mart, Alex Msama akifafanua jambo jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu kukamatwa kwa wafanyabiashara haramu kumi wa kazi za wasanii pamoja na mashine zao za kudurufu katika CD...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA WANOGESHA TAMASHA LA "TUKO WANGAPI? TULIZANA"

Wafanyakazi wa Tulizana wakiwaamasisha wananchi waliofika kwenye viwanja vya Leaders Clubs kupima Virus vya Ukimwi na pia kutoa elimu ya maambukizi ya Virus hivyoMmoja wa wafanyakazi akimweleza jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI TUJITOKEZE KUMSAIDIA MWENZETU ZUBERI MUSSA- MPIGA PICHA WA...

 Zuberi Mussa  katika mwonekano wa picha tofauti tofauti nje ya Ofisi ya Mtendaji Kata ya Mazinde.Zuberi Mussa (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mwandishi Dotto Mwaibale (kushoto), Mashaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAENDELEO BANK YAANZA KUTOA HUDUMA

Sekta ya fedha ni kati ya sekta zinazokuwa kwa kasi sana nchini Tanzania. Hadi sasa kuna zaidi ya mabenki 50 yanayotoa huduma nchini Tanzania. Pamoja na ukuaji huu mahitaji ya sekta hii ya fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AWASILI NZEGA, APOKEA PIKIPIKI 9 KUTOKA...

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Siasa Ndugu Nape Mosses Nnauye ukiwasili katika mji wa Nzega Katika wilaya hiyo Tayari kwa kuanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatosha yaendelea kuwapa washindi mamilioni

Furaha ya ushindi.  Mshindi wa promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina la Airtel yatosha shinda nyumba 3, Bw. Hashim Mtindo mkazi wa Kigamboni akiwa ameshikilia pesa zake baada ya kukabidhiwa...

View Article

Ndugai alipotaja mapungufu ya wapiga kura wake na ya Watanzania

Na Bryceson MathiasNAIBU Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai, katika Mkutano wa 12 wa kikao cha 2 cha Bunge Dodoma Jumatano, Agost 28, 2013, alishindwa kuvumilia na kuficha hisia...

View Article


KIMONDO KUCHEZA MBOZI, KURUGENZI WAMBI FDL

Timu za Kimondo SC ya Mbeya na Kurugenzi ya Mafinga zitatumia viwanja vya Mbozi na Mafinga kwa ajili ya mechi za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) inayoanza Jumamosi (Septemba 14 mwaka huu).Kimondo SC sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KING PROMOTERS YAMKABIDHI CHETI ALEX MSAMA

 Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama akipokea cheti kutoka kwa Mwandaaji wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala kutokana na kutambua mchango wake katika kufanikisha shindano la Redd's Miss...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"KILI MUSIC TOUR 2013" KUHITIMISHWA JIJINI DAR JUMAMOSI

 Hitimisho la Kili Music Tour 2013. Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuhusiana na tamasha kubwa la "Kili Music Tour...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI SHINYANGA NA KUANZA...

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na Khamis Mgeja Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga mara baada ya kupokelewa katika mji mdogo wa Isaka Viongozi mbalimbali wa Chama wakimpokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ningekuwa Pindi Chana, Ningejiuzulu na kuiomba radhi Jamii!

Na Bryceson MathiasKUTOKANA na kinachoonekana kuwa Mwavuli wa Pindi Chana uliokusudiwa Kuifunika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukivusha katika  Mchakatao wa Mapendekezo ya Katiba Mpya Umetoboka!.Ingawa...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>