Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA NANENANE LINDI

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) inashiriki kwenye maonesho ya Nanenane ambayo Kitaifa yanafanyika kwenye viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.Katika maonesho hayo ambayo yanabebwa na Kauli Mbiu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article


Lowassa aliipenda CCM Isiyompenda

‘Je Tuseme Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa Jiwe Kuu la Pembeni?’ Na Bryceson MathiasKATIKA gazeti la Tanzania Daima, Toleo Na.3729 Jumatano, Februari 18, 2015 kwenye  Ukurasa wa Saba, lenye kichwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswa FC yashinda 5-3, yaomba udhamini kwa wadau

Mchezaji wa Taswa FC, Shadrack Kilasi akimiliki mpira katika moja ya mechi za timu hiyo mkoani Iringa.Na Mwandishi wetuTimu ya soka ya waandishi wa habari za michezo nchini, Taswa FC imeendelea kutamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015

Kombe la Kagame walilotwaa Azam FC. (Picha zote na Francis Dande) Nahodha wa Azam John Bocco akipokea kitita cha dola za kimarekani dola elfu 30.Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONNY MWAITEJE AITIKISA DIAMOND JUBILEE

Mwimbaji nguli wa muziki wa injili Bonny Mwaitege akiimba katika uzinduzi wa albam zake kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana, uzinduzi ambao ulihudhuriwa na maelefu ya wapenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILA LA HERI BINTI YETU ZAHARA KWENYE KURA ZA MAONI ZA UBUNGE WA CCM VIJANA...

Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana...

View Article


MALINZI AMSHUKURU TENGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi amemshukuru Rais wa CECAFA, Leodgar Tenga kwa kuipa Tanzania uenyeji wa mashindano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILAMU MPYA YA WAKE-UP KUZINDULIWA AGOSTI 30

 Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu filamu hiyo mpya inayotarajiwa kuzinduliwa Agosti 30,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA NIC LASHIRIKI MAONYESHO YA NANENANE MKOANI LINDI

Mkurugenzi wa Bima za Maisha Shirika la Bima la Taifa NIC Bi. Rose Lawa wa pili kutoka kulia na Elisante Maleko Kaimu Mkurugenzi wa masoko na Huduma kwa wateja kushoto pamoja na maofisa wengine wa...

View Article

Waziri wa Kikwete akaribishwa Chadema atubu dhambi

Na Bryceson Mathias, MvomeroBAADA ya Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, kuangukia pua kwenye uchaguzi wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mvomero, Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYALANDU ASHINDA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM SINGIDA KASKAZINI

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Singida...

View Article


Chadema msitumike kuchafuana

Na Bryceson Mathias, MvomeroKATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mvomero, Ramadhani Mrisho, amewataka washindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa marehemu mzee Francis Kitime wasafirishwa kwa mazishi

Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime wakiwa katika ibada ya kumuombea jana jijini Dar es Salaam. Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Huruma ya Wagonjwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANDA LA NSSF LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA NANENANE LINDI

Meneja wa Mfuko wa PPF Kanda ya Kusini, Ndandavala akipewa maelezo na Ofisa Uhusiano  Muandamizi  Salim Kimaro alipotembelea Banda la NSSF kwenye maonyesho ya Nananane.Afisa Uendeshaji Muandamizi Bi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO KWA KIPINDI CHA MWAKA...

 Msajili Mkuu wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Steven Mlote (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAJITOKEZA DK. MAGUFULI AKICHUKUA FOMU YA URAIS

Dk. John Magufuli na mgombea mwenza wakianza safari ya kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi. (Picha na Francis Dande)Makada wa CCM wakiongonzwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ASAINI SHERIA MPYA YA USIMAMIZI WA MAFUTA NA GESI

Rais Jakaya Kikwete akitia sahihi sheria mpya ya usimamizi wa mapato ya mafuta na gesi jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya. (Picha na Loveness Bernard). Aliyekuwa Mkurugenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WA VIJIJI VYA DOLE WAKABIDHIWA HATI YA UMILIKI WA ENEO LA KILIMO

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi Hati  ya umiliki wa eneo la Kilimo kwa Bwana Yuweni Kibwana Nzukwi  Mmoja miongoni mwa wakulima wa Vijiji vya Dole, Ndunduke na...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>