Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIOTA KIPYA CHA MARAHA CHA JOZI LOUNGE CHAZINDULIWA MSASANI VILLAGE JIJINI...

Kiota Kipya Cha Maraha kimezinduliwa Kimezinduliwa Jijini Dar es Salaam jana Jiioni. Kiota hicho Jozi Lounge, inapatikana Pande za Msasani Village, jirani kabisa na Shule ya Msingi Msasani.  Mmiliki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL, ASHIRIKI KUAGA MWILI WA BABA WA MKURUGENZI WA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha kumbukumbu kufuatia kifo cha Baba wa Mkurugenzi wa NHC Nehemia Mchechu alipofika nyumbani kwake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MAGUFULI AREJEA JIJINI DAR BAADA YA KUJITAMBULISHA MIKOA KADHAA,APOKELEWA...

 Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Chalinze (hawapo pichani) alipokuwa akirejea jijini Dar jana jioni akitokea mkoani...

View Article

NANI NI NANI KATI YA YANGA NA KHARTOUM JUMAPILI?

Hatua ya makundi ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kukamilika kesho jumapili kwa michezo miwili kupigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku...

View Article

Kigaila wa Chadema awabwaga washindani wake kura za maoni Dodoma Mjini

Na Bryvceson Mathias, DodomaMKURUGENZI wa Oganaizeisheni na Mafunzo ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila, ameibuka Mshindi katika Kura ya Maoni ya Chama hicho, kugombea ubunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEMA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA NA JOYCE MUKYA

Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akizungumza katika uchaguzi wa kumpata Mbunge pamoja na Mbunge viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA)jijini Arusha ambapo aliibuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa...

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar Ndg Adila Hilal Vuai, akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari Diaspora kutoka Washington walioletwa na Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA MOSHI MJINI WAMPITISHA JAFARY MICHAEL KUWANIA UBUNGE WA JIMBO HILO

Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Moshi mjini wakiwa katika mkutano maalumu wa kumchagua mtia nia atakaye peperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI KUPITIA CCM WAJINADI MBELE YA...

Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini Priscus Tarimo akijinadi mbele ya wajumbe wa CCM kata ya Mawenzi.Baadhi ya wajumbe wa Chama cha Mapinduzi kata ya Mawenzi wakiwasikiliza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YAIFUNGA KHARTOUM YA SUDAN 1-0

Mshambuliaji wa Yanga, Amisi Tambwe akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuifungia timu yake bao pekee katika mchezo wa Kombe la Kagame dhidi ya Khartoum ya Sudan uliofanyika kwenye Uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Phidesia Mwakitalima ashinda kura za maoni

Mbunge viti maalum Wazazi Phidesia Mwakitalima aliyeshinda katika kura za maoni za kutafuta wabunge wa viti maalum mkoa wa Arusha kupitia jumuiya ya wazazi wa CCM akizungumza katika mkutano wa chama...

View Article

Bulaya: Asante kuuhesabu U-DC, uwaziri kama majitaka

Na Bryceson MathiasAKIHUTUBIA katika mkutano wa hadhara uliofanyikia katika viwanja vya stendi ya zamani mjini Bunda hivi karibuni, aliyekuwa Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ester Bulaya, baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article


Chadema: Magufuli, CCM hawamtangulizi Mungu

 Na Bryceson Mathias, MorogoroCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimempasha na kumjibu mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli, kwamba CCM imemtanguliza shetani badala ya...

View Article

ROBO FAINALI KAGAME KUANZA KESHO

Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kuanza kesho Jumanne kwa michezo miwili kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es...

View Article


Jezi mpya za Simba Sports Club kupatika kwenye duka la mtandao Jumia

NA TATU MOHAMEDKLABU ya Simba kwa kushirikiana na Kampuni ya kuuza vitu kwa njia ya Mtandao ‘Jumia’ wamezindua huduma ya kununua jezi za Simba 2015-2016 ‘Jumia – Simba Online Shop’ kupitia katika duka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE CHIKU ABWAO WA CHADEMA AMFUATA ZITTO KABWE ACT-WAZALENDO

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

View Article


WAMACHINGA WALIOVAMIA JANGWANI WAPEWA SIKU 2 KUHAMA

MKUU wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi akishirikiana na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Issaya Mngurumi, wametoa siku mbili kwa wafanyabiashara ndogondogo (Wamachinga), waliovamia eneo la Jangwani kuwa hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATUNI YA LEO

View Article

Wakulima waruhusu maiti waliyoizuia ichukuliwe na Polisi

 Na Bryceson Mathias, KilosaHATIMAYE wakulima wenye hasira wa Kijiji cha Mbigiri, Kilosa Morogoro, wameruhusu maiti ya Maiko Ngorongoro(40), aliyeuawa na vijana zaidi ya 40 wa jamii ya Kimasai (morani)...

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>