Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) watia fola maonesho ya wiki ya...

 Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Charles Chacha  (mwenye suti) akiwa katika picha na waongoza ndege wakati alipotembelea kwenye banda la Tcaa liliopo kwenye Maadhimisho ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ansaf, RCT waishauri Serikali ushuru wa mchele

Mkurugenzi Mtendaji wa Ansaf, Audax Rukonge akizungumza na waandishi wa habairi jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima wa mchele,Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI IKULU LEO

 Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza, Balozi Libereta Mulamula katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo.  Rais Kikwete akimpongeza Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKWASA KOCHA MPYA STARS, NOOIJ AWAAGA WATANZANIA

 Rais wa TFF Jamal Malinzi akizungumza na waandishi wa habari wakati akimtangaza kocha mpya wa Stars, Charles Boniface Mkwasa. (Picha na Francis Dande) Rais wa TFF, Jamal Malinzi akitafakari jambo....

View Article

Viongozi wa dini: Kikwete simamisha Muswada wa Habari

Na Bryceson Mathias, DodomaWAJUMBE 205 wa Kamati ya Maadili ya Amani na Haki ya Jamii ya Viongozi wa Dini nchini, wameitaka Serikali kusimamisha Muswada wa Uhuru wa Kupata Habari kujadiliwa bungeni kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEDIA CAR WASH FOR CANCER JULAI 4, 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkwasa atambulishwa rasmi

 Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine akimtambulisha rasmi kocha mkuu wa taifa stars, Charles Boniface (kushoto), wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni kocha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPB YAZINDUZ HUDUMA LAAMU YA AKAUNTI KWA VIKUNDI VISIVYO RASMI

 Katika jitihada za kuwafikia Watanzania mbalimbali Benki ya Posta Tanzania (TPB) imezindua akaunti maalum kwa ajili ya Vikundi Visivyo Rasmi. Uzinduzi huo ulifanywa na Katibu Mtendaji  wa Shirika la...

View Article


VICKY KAMATA AUKUBALI MZIKI WA KINANA GEITA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI KWA WATUMISHI WA UMMA NA WANANCHI MBALIMBALI...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mhe. Abbas Kandoro baada ya kumtunuku nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza, ambayo hutolewa kwa wananchi waaminifu ambao kwa kujitolea kwao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA

Rubani wa Helkopta akimfunga mkanda Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar kabla ya kuanza safari ya kuelekea katika mikutano ya hadhara ya kuhasisha wananchi kujitokeza kujinadikisha...

View Article

VILABU VYATAKIWA KUWALIPIA KODI, WALIMU NA WACHEZAJI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeviagiza vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu ya nchini (mpira wa kulipwa) Tanzania, kuhakikisha kuwa wanalipa kodi kutokana na kuajiri makocha na wachezaji kutoka ndani na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CRDB kuanza kuuza Hisa Stahili Juni 26

 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akifungua mkutano wa wanahisa wa benki hiyo katika Hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam. Katibu wa Benki ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKOA WA DAR ES SALAAM WAMDHAMINI MEMBE

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akionyesha fomu zilizojazwa na wanaCCM wa Mkoa wa Dar es Salaam zaidi ya 1,500 kwa ajili ya kumdhamini ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS, MHARIRI WA MWANAHALISI ONLINE AFARIKI DUNIA

Mhariri  wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TADWU CHAMKABIDHI RASIMU YA MKATABA WA MABORESHO YA MASLAHI YAO KWA MLEZI WAO...

 Mlezi wa chama cha wafanyakazi madereva Tanzania (TADWU), Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na madereva kabla ya kukabidhiwa rasimu ya maboresho ya maslahi ya madereva...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vibe magazine is Now for Free

A prominent entertainment monthly magazine The Vibe which published by ABC Bros  was re launched and now will be distributed free to the readers. This will make it Tanzania’s number 1 FREE...

View Article


Chadema yakomba 300 toka CCM Kikombo, Chololo.

Na Bryceson Mathias, Kikombo ChamwinoCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata ya Kikombo Wilaya ya Chamwino Dodoma, kimekomba Wanachama 300 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa Vijiji vya Kikombo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOMREDI KINANA ASABABISHA WAPINZANI LUKUKI KUHAMIA CCM MAGU

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipokea kadi za vyama vya upinzani kutoka kwa watu waliovihama vyama hivyo na kujiunga na CCM, katika mkutano wa hadhara akatika Mji wa Kisesa, wilayani Magu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIA WAJITOKEZA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM KUMUAGA...

 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo asubuhi, kwa ajili ya kuagwa....

View Article
Browsing all 19659 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>