ASKOFU; NI BAJETI NILIYOISHANGAA, HAISEMI UKWELI
Walalahoi na Wadau; Bajeti inatuumiza na ina maneno matupu..!!Na Bryceson Mathias, Mvomero, Morogoro.ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekosti na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za...
View ArticleDIAMOND KUIBEBA VIDEO YA KIMADOIDO
NA ELIZABETH JOHNMFALME wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz’ ndiye atakayegharamia gharama za kutengeneza video ya ngoma ya ‘Cheza Kimadoido’ iliyoimbwa na kundi la Yamoto...
View ArticleSTARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
Kikosi cha Stars kikijifua.Msafara wa timu ya Taifa ya Tanzania (taifa Stars) inayodhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro Premium Lager tayari umewasili salama katika eneo la Borg El Arab jijini...
View ArticleMWAMNYANGE AZINDUA BARAZA LA USHAURI TCAA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Monica Mwamyange akizungumza wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) na semina ya wadau wa usafiri wa...
View ArticleChadema; Tumejipanga kukabili Njama za Ulaghai wa BVR-Morogoro
Na Bryceson Mathias, MorogoroKATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Morogoro, Samuel Kitwika, amesema, kutokana na uandikishaji wa wapiga kura katika daftari la kudumu kwa mfumo wa...
View ArticleLOWASSA ATUA KIGOMA LEO
Wananchi wa Mji wa Kigoma wakiwa wamejipanga kando ya Barabara kuu ya Kutoka Ujiji, kumpokea Mtangaza nia ya Kuwania Urais kwa tiketi ya CCM, Mh. Edward Lowassa. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZIMtangaza...
View ArticleNSSF YAWANUFAISHA YATIMA NA WAHUDUMU WA WAGONJWA MAHOSPITALINI
Mhasibu Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdulkarim Kisuguru akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi misaada ya vyakula pamoja na vifaa vya shule katika Kituo cha Kulelea...
View ArticleMCHAKAMCHAKA WA KINANA WATUA WILAYANI NGARA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuweka tone la chanjo mtoto wa miezi sita wakati wa uzinduzi wa chanjo kwa watoto wilayani Ngara.Kinana akiangalia kikundi cha ngoma alipowasili wilayani Ngara.
View ArticleWAZIRI BERNARD MEMBE ATEMBELEA KABURI LA HAYATI ABEID AMAN KARUME MJINI ZANZIBAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (wa pili kushoto) akifafanua jambo wakati alipotembelea chumba ambacho muasisi wa Mapinduzi na Rais wa...
View ArticleWAZIRI BERNARD MEMBE APATA UDHAMINI ZANZIBAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akishuhudia mmoja wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akitia saini kumdhamini kwenye fomu...
View ArticleSEMINA YA BENKI YA CRDB YA VIONGOZI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA KANDA YA...
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Huduma kwa Wateja Tully Mwambapa akizungumza kwenye semina iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kuhusu huduma za fedha zinazotolewa na benki hiyo kwa serikali. Semina hiyo...
View ArticleNHC yakabidhiwa cheti cha Mwajiri Bora 2015
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga (wa kwanza kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka 2014 mara...
View ArticleKOMREDI KINANA AHITIMISHA ZIARA KAGERA,ASAFIRI KM 4884 KWA MAGARI, MITUMBWI...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Biharamulo leo,wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi cya chama hicho...
View ArticleMAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA HAYANA MFANO, AZIDI KUDHAMINIWA KWA...
Sehemu ya Wakazi wa mji wa Bukoba Mkoani Kagera wakiwa nje ya Uwanja wa Ndege wa Bukoba, wakimsubiri kumlaki Mtangaza nia ya Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mh. Edward Lowassa, tayari...
View ArticleBENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA...
Keki iliyoandaliwa na wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.Watoto Halima Revocatus (7) na Filex Mustach (6) wakikata keki wakati wa...
View ArticleJK AONGOZA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA SHEIKH MKUU
Jeneza lenye mwili wa Marehemu, Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, likitolewa nyumbani kwake, tayari kwa safari ya kwenda msikitini kuswaliwa na baadae kwenye mazishi, yaliyofanyika...
View ArticleWAZIRI MEMBE ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI ISSA SHABAN BIN SIMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba wakati wa mazishi yaliyofanyika...
View ArticleBENKI YA CRDB YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA SHINDANO LA "TUMA PESA NA...
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka (kushoto) akikabidhi funguo ya gari kwa mshindi wa Shindano la "Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo" kwa mwezi wa Aprili 2015, Anna Shirati wa...
View ArticleTANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA DARAJA KATIKA VIJIJI VYA SINGANA SUNGU...
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati wa kuzindua rasmi mradi wa daraja uliofadhiliwa na Hifadhi za Taifa ,Tanzania (TANAPA) kwa ajili ya wakazi wa vijiji vya Singa na Sungu...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI, ANGELA KAIRUKI ATEMBELEA...
Ofisi za Shirika la Nyumba la Taifa mkoani Kilimanjaro.Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumza na wafanyakazi wa shirika laArdhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Angela...
View Article